''Mchepuko'' ulivyotaka kuharibu shughuli ya msiba wa muimbaji wa nyimbo za injili Marco wa Zabron Singers

''Mchepuko'' ulivyotaka kuharibu shughuli ya msiba wa muimbaji wa nyimbo za injili Marco wa Zabron Singers

Kuna wanawake ni nusu watu nusu hayawani.

Takriban wiki moja iliyopita muimbaji wa nyimbo za injili Marco Zabron wa kundi la Zabron Singers alifariki jijini Dar es salaam.

Mapema wiki hii shughuli ya mazishi ikawa inafanyika huko Kahama mkoani Shinyanga.

Marehemu alikuwa ameoa na ana mtoto,

Katikati ya majonzi msibani akaibuka huyu nusu mtu nini sijui na kudai yeye eti alikuwa mchepuko wa mtumishi amezaa nae na anataka mgawo wa mali au mtoto atambulike rasmi

Mchepuko umekuja na kadi ya clinic ,mawasiliano ya watsapp na picha walizopiga na marehemu kama ushahidi

yaani disco luliingia mmasai.
kwa nini hakusubiri msiba ukaisha akaenda kistaarabu kujitambulisha.

nimelia sana maana hata mi nikifa leo naweza kupata aibu kama hiyo.na ninavyo heshimika kanisani
Kwa nini umefanya ubadhirifu wa machozi hivyo?
 
Sema Tanzania tuna waandishi na watangazaji makanjanja sana kujisemea Mzee Mkapa.

Just imagine mtangazaji anaongea lugha ya ajabu kama Marehemu ambaye ameweza kufariki dunia“ sasa sijui ni mbwembwe wanaongeza hadi kukuta wamekosea?
 
Nilipoiona nilijisikia aibu mpaka nikasema kumbe marehemu alikuwa na makando kando mengi pengine ikasababisha hata moyo kulemewa.

Hatujui inawezekana huyo mwanamke alitumia mtoto kama fimbo ya kumtesa marehemu.

Anyways huyo dada aliona ndiyo wakati sahihi kwake kusikilizwa anyway.

Umesema alikuwa na mtoto mmoja kwenye ndoa, wale wengine wawili je?

Wanaume heeee, heeee
 
Sema Tanzania tuna waandishi na watangazaji makanjanja sana kujisema Mzee Mkapa.

Just imagine mtangazaji anaongea lugha ya ajabu kama Marehemu ambaye ameweza kufariki dunia“ sasa sijui ni mbwembwe wanaongeza hadi kukuta wamekosea?
Eti yanasemwa maneno mengine yanayo mkwaza marehemu hata kama amefariki 😆
 
Kuna wanawake ni nusu watu nusu hayawani.

Takriban wiki moja iliyopita muimbaji wa nyimbo za injili Marco Zabron wa kundi la Zabron Singers alifariki jijini Dar es salaam.

Mapema wiki hii shughuli ya mazishi ikawa inafanyika huko Kahama mkoani Shinyanga.

Marehemu alikuwa ameoa na ana mtoto,

Katikati ya majonzi msibani akaibuka huyu nusu mtu nini sijui na kudai yeye eti alikuwa mchepuko wa mtumishi amezaa nae na anataka mgawo wa mali au mtoto atambulike rasmi

Mchepuko umekuja na kadi ya clinic ,mawasiliano ya watsapp na picha walizopiga na marehemu kama ushahidi

yaani disco luliingia mmasai.
kwa nini hakusubiri msiba ukaisha akaenda kistaarabu kujitambulisha.

nimelia sana maana hata mi nikifa leo naweza kupata aibu kama hiyo.na ninavyo heshimika kanisani
Aisee tulio na watoto wa Siri tujipange.
Kumbe dogo alikua na sehemu anakwenda kupona wakati kanisani anakaa viti vya mbele.
 
Back
Top Bottom