Conquistador
JF-Expert Member
- Jun 10, 2024
- 1,435
- 3,463
Kama mtoto wako wa nje Ni mkubwa kwa umri kuliko Hawa wa ndani, Hilo linazungumzika. Kama Ni mdogo kuliko hao wa nyumbani, kaa kimachale.Unao wangap mkuu,mi nina kamoja ka siri..sijutii kuwa naye. Kwanza mama yake ana kipato kikubwa..hawezi kuja kuleta vurugu kama hizo
Amlete hata kesho,watoto ni ndugu zangu..na siwezi kukana mkuu. Ataondoka mwanamke aniachie mtoto..huwa sijali. Wewe utakuwa mke wako anakupa backup ya kipato ndo maana unahofu kumuachaKama mama yake bado hajaolewa usijipe moyo. Single mother Ni MTU mmoja huwezi kufanya naye deal.
Kuna siku atamleta mchana kweupe ili tu atambuliwe na Wana ukoo.
Tena anaweza kukuvizia umetoka out na wife mko sehemu mnainjoi ndio anamleta ili tu amtie wife nyongo.
Ukiwa na pesa wanakushobokea ukijaa tu basi utazaa kila kona kama panya .Hawa hutoaga vikojoleo kwa wenye uwezo mawazo yakiwa kwenye MALI tu
Yani wanazaa kwa mrengo wa pesa tu hakuna kingine
Ndio maana baadhi yao wakiona haukufi (voice of dj afro) wanakuwahisha ili kutimiza dhamira yao.
Waandishi wamekuza hii habari kwa vile jamaa ni mtu maarufu .Misiba mingi tu nimeshuhudia watu wanaleta watoto ni copy kabisa na marehemu wakidai alizaa nje , nimeshuhudia mpaka mtu ana watoto wa nje watatu ..Nilipoiona nilijisikia aibu mpaka nikasema kumbe marehemu alikuwa na makando kando mengi pengine ikasababisha hata moyo kulemewa.
Hatujui inawezekana huyo mwanamke alitumia mtoto kama fimbo ya kumtesa marehemu.
Anyways huyo dada aliona ndiyo wakati sahihi kwake kusikilizwa anyway.
Umesema alikuwa na mtoto mmoja kwenye ndoa, wale wengine wawili je?
Wanaume heeee, heeee
tulia wewe nyie hamsaliti?Wanaume mtakufa midomo wazi jamani! Yani mke unalia misiba miwili, kumpoteza mume na usaliti aliokuwa akikufanyia mume mpaka na mtoto kazaa kabisa!
Mungu atusaidie.
Sio hii ni trending ya vionline tv kutembea na kiki ili kupata viewers?Yaani kwa Wasabato huyo dada angeongea kabla ya mazishi wasingemzika, hata kama waliweka msalaba kwenye kaburi watautoa.
He lost his identity.
Wosia ndio mpango ila watanzania ukiandika watasema eti unajiombea kufa .Wanaume wenzangu tuwe makini Kuna watoto wana kadi saba za clinic. Usizae na mchepuko na kama ikitokea jihakikishie pasi na shaka mtoto ni wako baada ya hapo andika wosia kabisa.
Dah imebidi nichekee tu, nilikuwa na mawazo mpaka ya me is happening πππnimelia sana maana hata mi nikifa leo naweza kupata aibu kama hiyo.na ninavyo heshimika kanisani
Hii ndio changamoto ya sheria zetu, hapo kinachotakiwa kama una mtoto wa nje mweke kabisa kwenye mirathi yako, hapo lazima atapata mgawo wake, vinginevyo itakuwa changamotoMtoto haramu au wa nje ya ndoa hatambuliki kidini na kisheria
Mtoto haramu au wa nje ya ndoa hatambuliki kidini na kisheria
Si maigizo ni halisi ikiwa unauwezo wa kujicontrol. Of course, it needs commitment.Kumbe ndoa za mke mmoja ni maigizo tu aisee tujitafakari.
Mh hiyo ngumu kwa mwanaume lijali kuitolea maamuzi.Kuna wanawake ni nusu watu nusu hayawani.
Takriban wiki moja iliyopita muimbaji wa nyimbo za injili Marco Zabron wa kundi la Zabron Singers alifariki jijini Dar es salaam.
Mapema wiki hii shughuli ya mazishi ikawa inafanyika huko Kahama mkoani Shinyanga kwao na marehemu
Marehemu alikuwa ameoa na ana watoto
Katikati ya majonzi msibani akaibuka huyu nusu mtu nini sijui na kudai yeye eti alikuwa mchepuko wa mtumishi amezaa nae na anataka mgawo wa mali au mtoto atambulike rasmi
Mchepuko umekuja na kadi ya clinic ,mawasiliano ya watsapp na picha walizopiga na marehemu kama ushahidi
yaani disco luliingia mmasai.
kwa nini hakusubiri msiba ukaisha akaenda kistaarabu kujitambulisha.
nimelia sana maana hata mi nikifa leo naweza kupata aibu kama hiyo.na ninavyo heshimika kanisani
Huyo jamaa alikuwa mlokole?Hainaga ulokole hiyo