Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa mkuu afu ukizingatia Marehemu hasemi.Kila mtu linaweza kumpata
Aunt Mamndenyi siku hizi wanaangalia pesa zaidi. Kenyatta pamoja na kujulikana aliwasaliti wenzake na kuua wengine, bado alizikwa na jopo la maaskofu.Yaani kwa Wasabato huyo dada angeongea kabla ya mazishi wasingemzika, hata kama waliweka msalaba kwenye kaburi watautoa.
He lost his identity.
hawa ndio wanajua kuifinyia ndani utundu mwingi watoto wa kiswahili hao ww umekariri shepu,sura na make up nyingi eti pisi kali usidharau watu mkuu oohoo.!
Huko mbali sana,Reginald Mengi alioa na kutaliki ba kuoa tena,kazikwa na maaskofu lukukiAunt Mamndenyi siku hizi wanaangalia pesa zaidi. Kenyatta pamoja na kujulikana aliwasaliti wenzake na kuua wengine, bado alizikwa na jopo la maaskofu.
Kama mchungaji ameshakula pilau la watu na kapu la sadaka linasoma hawezi kuwacha kuzika.
Ila Kama familia haina pesa Sheria itachukua mkondo wake.
Point of correction; wasabato sio walokole.Hainaga ulokole hiyo
Na huyo ndo msabato sasa hawa kina karunguyeye wasiojua hata mlango wa kanisa itakuwaje? Demu lenyewe baya pua zimemsambaa uso mzima
Endelea kujidanganya fatilia kesi za mirathi kwenye mahakama zetu ili uje ufute huu ujinga wako hapa.Mfano mimi kwenye mgawanyo wa Mali baba yetu aliwahi kuchepuka na akabahatika kupata mtoto 1 ila kwenye mgawanyo wa Mali hakuwepo.Sheria haitambui kitu kinachoitwa mtoto wa nje ya ndoa .
Embu soma hiyo sheria ya mtoto hapo chini ili utanue uelewa wako . Mtoto ni mtoto tena sheria inakataza ubaguzi wa aina yeyote kwa mtoto.
Hilo suala la mtoto wa nje ya ndoa lipo tu kwa mujibu wa sharia za kiislamu kwenye mirathi yao
Ila kiserikali hakuna hicho kitu
Labda aliamua kupotezea ila angekomaa angepata haki yake sheria inamtambua hayo mambo yapo bakwata huko ila mahakamani aliamua kupotezea ni kesi nyepesi sana hiyo nduguEndelea kujidanganya fatilia kesi za mirathi kwenye mahakama zetu ili uje ufute huu ujinga wako hapa.Mfano mimi kwenye mgawanyo wa Mali baba yetu aliwahi kuchepuka na akabahatika kupata mtoto 1 ila na kwenye mgawanyo wa Mali hakuwepo.
Hapo kwenye kutembea na mwanamke wa hovyo mkuu watu wengi hawatakuelewa ila yalishawahi kunikuta hayo ,Kosea yote maishani ila usije kosea kutembea na mwanamke wa ovyo.
Na kuchepuka kupo ila ikishakuwa umeoa inabidi u control kusikilizia utamu kupitiliza.
Huyu demu amekaa kimaslahi zaidi. Hakuna chembe ya uchungu kwenye sura yake.
Nimependa alivoenda kudai haki yake na kusimamia haki za watoto.....Umependa nini wakati wenzio tumekia sana
Hakuna cha kupotezea alikomaa kesi ilikaa miaka 5 na miezi ila watoto wa ndani ya ndoa tukashinda.Labda aliamua kupotezea ila angekomaa angepata haki yake sheria inamtambua hayo mambo yapo bakwata huko ila mahakamani aliamua kupotezea ni kesi nyepesi sana hiyo ndugu
Dah! Nimecheka sana.Na huyo ndo msabato sasa hawa kina karunguyeye wasiojua hata mlango wa kanisa itakuwaje? Demu lenyewe baya pua zimemsambaa uso mzima
Uko Sawa kwa Asilimia zooteTofauti ya wanakwaya na wasanii wa bongofleva ni aina ya nyimbo wanazoimba ila wote ni walewale tu
Du nimejikuta nacheka. Mbona wanawake wengi wa Tanzania ndiyo wanavyoongea wanapohojiwa na hizi TV za mtaani? Na mdomo kama wanaukunja dizaini fulani hivi. Ni kama fashion hivi. Huyu mnamuonea bure tu. Mlitaka afanye siri wakati ana mtoto naye?kinaongea kwa kujiamini kam kinatoa shuhuda kwa mwamposa