''Mchepuko'' ulivyotaka kuharibu shughuli ya msiba wa muimbaji wa nyimbo za injili Marco wa Zabron Singers

''Mchepuko'' ulivyotaka kuharibu shughuli ya msiba wa muimbaji wa nyimbo za injili Marco wa Zabron Singers

Unao wangap mkuu,mi nina kamoja ka siri..sijutii kuwa naye. Kwanza mama yake ana kipato kikubwa..hawezi kuja kuleta vurugu kama hizo
Kama mtoto wako wa nje Ni mkubwa kwa umri kuliko Hawa wa ndani, Hilo linazungumzika. Kama Ni mdogo kuliko hao wa nyumbani, kaa kimachale.
Yuko jamaa yangu amezaa na singo maza jirani kabisa halafu huyo singo maza anatoka sehemu moja na mkewe. Jamaa Hana Amani kabisa kibaya zaidi sura ya mtoto Ni Kama alijipiga photocopy.
 
Kama mama yake bado hajaolewa usijipe moyo. Single mother Ni MTU mmoja huwezi kufanya naye deal.
Kuna siku atamleta mchana kweupe ili tu atambuliwe na Wana ukoo.
Tena anaweza kukuvizia umetoka out na wife mko sehemu mnainjoi ndio anamleta ili tu amtie wife nyongo.
Amlete hata kesho,watoto ni ndugu zangu..na siwezi kukana mkuu. Ataondoka mwanamke aniachie mtoto..huwa sijali. Wewe utakuwa mke wako anakupa backup ya kipato ndo maana unahofu kumuacha
 
Nilipoiona nilijisikia aibu mpaka nikasema kumbe marehemu alikuwa na makando kando mengi pengine ikasababisha hata moyo kulemewa.

Hatujui inawezekana huyo mwanamke alitumia mtoto kama fimbo ya kumtesa marehemu.

Anyways huyo dada aliona ndiyo wakati sahihi kwake kusikilizwa anyway.

Umesema alikuwa na mtoto mmoja kwenye ndoa, wale wengine wawili je?

Wanaume heeee, heeee
Waandishi wamekuza hii habari kwa vile jamaa ni mtu maarufu .Misiba mingi tu nimeshuhudia watu wanaleta watoto ni copy kabisa na marehemu wakidai alizaa nje , nimeshuhudia mpaka mtu ana watoto wa nje watatu ..
 
Mtoto haramu au wa nje ya ndoa hatambuliki kidini na kisheria

Sheria haitambui kitu kinachoitwa mtoto wa nje ya ndoa .
Embu soma hiyo sheria ya mtoto hapo chini ili utanue uelewa wako . Mtoto ni mtoto tena sheria inakataza ubaguzi wa aina yeyote kwa mtoto.
Hilo suala la mtoto wa nje ya ndoa lipo tu kwa mujibu wa sharia za kiislamu kwenye mirathi yao
Ila kiserikali hakuna hicho kitu
 

Attachments

Kuna wanawake ni nusu watu nusu hayawani.

Takriban wiki moja iliyopita muimbaji wa nyimbo za injili Marco Zabron wa kundi la Zabron Singers alifariki jijini Dar es salaam.

Mapema wiki hii shughuli ya mazishi ikawa inafanyika huko Kahama mkoani Shinyanga kwao na marehemu

Marehemu alikuwa ameoa na ana watoto

Katikati ya majonzi msibani akaibuka huyu nusu mtu nini sijui na kudai yeye eti alikuwa mchepuko wa mtumishi amezaa nae na anataka mgawo wa mali au mtoto atambulike rasmi

Mchepuko umekuja na kadi ya clinic ,mawasiliano ya watsapp na picha walizopiga na marehemu kama ushahidi

yaani disco luliingia mmasai.
kwa nini hakusubiri msiba ukaisha akaenda kistaarabu kujitambulisha.

nimelia sana maana hata mi nikifa leo naweza kupata aibu kama hiyo.na ninavyo heshimika kanisani
Mh hiyo ngumu kwa mwanaume lijali kuitolea maamuzi.
Wacha nikae kimya
 
Back
Top Bottom