Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisa wote wawili changamotoUwezo wa muandishi kielimu na kuhoji ni changamoto nyingine ukiondoa huo mchepuko
Kwamba ungefanyaje?Weeee mi tungegawana ustaarabu hapo msibani nisingejali nipo kwenye kufiwa na Mume.
Damu ingemwagika hapo chupa za soda zingepasukia kwenye mwili wa mtu.Kwamba ungefanyaje?
Sasa ikimwagika ndio mtoto hatopata Urithi?Damu ingemwagika hapo chupa za soda zingepasukia kwenye mwili wa mtu.
SahihiYaani kwa Wasabato huyo dada angeongea kabla ya mazishi wasingemzika, hata kama waliweka msalaba kwenye kaburi watautoa.
He lost his identity.
Kwanza kwenye Urithi huyo mtoto aliyefishwa kama utumbo hatopata hapo kipigo ni kuleta usumbufu kwenye msiba.Sasa ikimwagika ndio mtoto hatopata Urithi?
Utakuwa hulii wewe,pili sheria ziko wazi lazima apateKwanza kwenye Urithi huyo mtoto aliyefishwa kama utumbo hatopata hapo kipigo ni kuleta usumbufu kwenye msiba.
Haisomi biblia hiyoHainaga ulokole hiyo
Mtoto haramu au wa nje ya ndoa hatambuliki kidini na kisheriaUtakuwa hulii wewe,pili sheria ziko wazi lazima apate
Hauna cha kufanya mbele ya utelezi.Msabato aliteleza😄😄
Na huyo ndo msabato sasa hawa kina karunguyeye wasiojua hata mlango wa kanisa itakuwaje? Demu lenyewe baya pua zimemsambaa uso mzima
Asante kwa kunipa moyo rasmi sasa siuachi tena mchepuko wanguWewe ukifa utapaje aibu wakati hujui linaloendelea? Kwa mwanaume hilo si ajabu kuwa na mtoto nje na wala haiwezi kuwa aibu. Kikubwa no kupatata uthibitisho basi inatosha
Jaribu kutochukulia kila maoni ya mtu ni sharti yafanane na ya kwako. Mambo ya kunizaa yanatoka wapi?Uchungu? Ni alikuzaa? Hapo ana uchungu na Watoto wake aliozaa na marehemu
Kama mama yake bado hajaolewa usijipe moyo. Single mother Ni MTU mmoja huwezi kufanya naye deal.Unao wangap mkuu,mi nina kamoja ka siri..sijutii kuwa naye. Kwanza mama yake ana kipato kikubwa..hawezi kuja kuleta vurugu kama hizo
Sure,wengine hawataki mali bali kutambulika tuKama mama yake bado hajaolewa usijipe moyo. Single mother Ni MTU mmoja huwezi kufanya naye deal.
Kuna siku atamleta mchana kweupe ili tu atambuliwe na Wana ukoo.
Tena anaweza kukuvizia umetoka out na wife mko sehemu mnainjoi ndio anamleta ili tu amtie wife nyongo.
Hawa wasabato wa kiume wengi wao ni wazinzi balaa. ( Sijajua kuhusu wa kike)Na huyo ndo msabato sasa hawa kina karunguyeye wasiojua hata mlango wa kanisa itakuwaje? Demu lenyewe baya pua zimemsambaa uso mzima