Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
Ha ha ha hapana mkuuHONGERA SANA MKUU AU WEWE NI YULE JAMAA WA "MKE WANGU MJAMZITO"
Kweli mkuu,najitahidi kuwa makini nisiwe nae karibu kabisa zaidi ya kutuma muamala tusafi sana ila angalia sana huo mchepuko usije kuvunja ndoa yako
Asante mkuuHii nayo kweli .
Hongera Kaka.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Ha ha ha mkuu kwa nini ume-quote hiyo point?nilichojifunza, wengine wanatelekeza uzao wao kutokana na changamoto za kutoa 'product' isiyoeleweka.
Kazi kwenu wakuu...
Jr[emoji769]
Imebeba maana kubwa sana hujui tuuha ha ha mkuu kwa nini ume-quote hiyo point?
Wa kwako lini mkuu?
ha ha ha ha HB + Beautiful mom = Good product๐๐๐hako kabeutifu girl kanafanana na nani? Wewe mwenyewe au mama?
Wengine wana sura ya kizee
Kweli mkuu, kuanzia siku inaingia tena nilimlazimisha, tunairutubisha, mpaka imekomaa na kukamilika nilikuwa nawajibika ipasavyoUna hakika lakini kama mtoto ni wako?