Mchepuko umenizalia 'Twins' kwa surprise

Mchepuko umenizalia 'Twins' kwa surprise

Kama mjuavyo makazi ni Kerege Sasa kutokana na umbali kwenda kazini (Posta mpya CBD) nikaja kupanga chumba tena kimoja maeneo ya Kinondoni Studio.

Basi, nikapata mchepuko wa kupunguza ashki katikati ya wiki (huku na kule) akanasa mimba. Sasa kajifungua Jana (Jumapili) nikawa nipo na wife Kerege sikuweza kwenda kuwaona hospitali.

Alfajiri leo (Jumatatu) nikawahi Kairuki Hospitali nikiwa njiani Mzazi mwenzangu (mchepuko) akatuma text ana surprise yangu namuuliza nini? Hajibu, ile nafika hospitali nakuta manesi wameniandalia kiti kabisa cha kukaa.

Aisee dakika 2 baadae naletewa mapacha (nimefanana nao hatari) niwabebe na picha nikapigwa toka saa 12 asubuhi nimeduwaa siamini kilichotokea.

Nawaza mengi.......nahitaji msaada wa kisaikolojia ndugu zangu. Hii Hali sikuitegemea.
NB: Usharikani Kerege ni mzee wa Kanisa sijui Mchungaji akijua itakuaje?

Mzee wa Kerege unastory sana.. Eti usharikani😎😎😎😎😎😎😎
 
Kahamia Kerege;
1. Amelazimika kupangisha
2. Ameongeza mke
3. Ameongeza watoto double
4. Na zawadi ya msongo wa mawazo

Hii ndio dunia ya 3
Ukiachilia mbali stress, amezua ugomvi baina yake na mkewe, kanisa na michepuko yake mingine hususani mama mchungaji.
 
Hongera Sana Kwa Kufika Kileleni
Uchumi Wa China Uliongezeka Kwa Kuzaliana
Hongera Sana Serikali Yetu Kuboresha Haya
 
Kama mjuavyo makazi ni Kerege Sasa kutokana na umbali kwenda kazini (Posta mpya CBD) nikaja kupanga chumba tena kimoja maeneo ya Kinondoni Studio.

Basi, nikapata mchepuko wa kupunguza ashki katikati ya wiki (huku na kule) akanasa mimba. Sasa kajifungua Jana (Jumapili) nikawa nipo na wife Kerege sikuweza kwenda kuwaona hospitali.

Alfajiri leo (Jumatatu) nikawahi Kairuki Hospitali nikiwa njiani Mzazi mwenzangu (mchepuko) akatuma text ana surprise yangu namuuliza nini? Hajibu, ile nafika hospitali nakuta manesi wameniandalia kiti kabisa cha kukaa.

Aisee dakika 2 baadae naletewa mapacha (nimefanana nao hatari) niwabebe na picha nikapigwa toka saa 12 asubuhi nimeduwaa siamini kilichotokea.

Nawaza mengi nahitaji msaada wa kisaikolojia ndugu zangu. Hii Hali sikuitegemea.
NB: Usharikani Kerege ni mzee wa Kanisa sijui Mchungaji akijua itakuaje?

Nimecheka sana hitimisho lako.Hofu yako iko kwa mchungaji sababu wewe ni mzee wa kanisa. Ujue hata mchungaji wako naye ana yake pia ambayo hayako sawa.Hofu yako ingekuwa kwa boss mkuu Mwenyewe, Mungu Baba ambaye bahati mbaya alishayayajua kabla ya mapacha kupatikana.
 
Kama mjuavyo makazi ni Kerege Sasa kutokana na umbali kwenda kazini (Posta mpya CBD) nikaja kupanga chumba tena kimoja maeneo ya Kinondoni Studio.

Basi, nikapata mchepuko wa kupunguza ashki katikati ya wiki (huku na kule) akanasa mimba. Sasa kajifungua Jana (Jumapili) nikawa nipo na wife Kerege sikuweza kwenda kuwaona hospitali.

Alfajiri leo (Jumatatu) nikawahi Kairuki Hospitali nikiwa njiani Mzazi mwenzangu (mchepuko) akatuma text ana surprise yangu namuuliza nini? Hajibu, ile nafika hospitali nakuta manesi wameniandalia kiti kabisa cha kukaa.

Aisee dakika 2 baadae naletewa mapacha (nimefanana nao hatari) niwabebe na picha nikapigwa toka saa 12 asubuhi nimeduwaa siamini kilichotokea.

Nawaza mengi nahitaji msaada wa kisaikolojia ndugu zangu. Hii Hali sikuitegemea.
NB: Usharikani Kerege ni mzee wa Kanisa sijui Mchungaji akijua itakuaje?
Ila wewe jamaa kiboko huyu mchepuko wa kinondoni si alikua hausigeli wako ukampiga denda mbele ya mke wako. Alivyofukuzwa kurudi kwao iringa ukamrudisha na kumpangia kinondoni????

Ina maana ukahama home na kuhamia kwa housegirl???????

Nimekuvulia kofia man. Ila lea hao watoto.

Na walikupaje uzee wa kanisa wakati ulimbandua mama mchungaji wa sinza? Ulivyohama ulisamehewa?

 
Kwani ulikuwa hujui kama kuna kinga? Ila ukataka nyama kwa nyama utamu kama wote hadi kisogoni. Unataka kumtelekeza awe singo maza?
Mwambie wife akupongeze Baba wawili na mwambie unajiandaa kufunga ndoa na mama wawili hivi karibuni. Hongera sana Mkuu.
Kama mjuavyo makazi ni Kerege Sasa kutokana na umbali kwenda kazini (Posta mpya CBD) nikaja kupanga chumba tena kimoja maeneo ya Kinondoni Studio.

Basi, nikapata mchepuko wa kupunguza ashki katikati ya wiki (huku na kule) akanasa mimba. Sasa kajifungua Jana (Jumapili) nikawa nipo na wife Kerege sikuweza kwenda kuwaona hospitali.

Alfajiri leo (Jumatatu) nikawahi Kairuki Hospitali nikiwa njiani Mzazi mwenzangu (mchepuko) akatuma text ana surprise yangu namuuliza nini? Hajibu, ile nafika hospitali nakuta manesi wameniandalia kiti kabisa cha kukaa.

Aisee dakika 2 baadae naletewa mapacha (nimefanana nao hatari) niwabebe na picha nikapigwa toka saa 12 asubuhi nimeduwaa siamini kilichotokea.

Nawaza mengi nahitaji msaada wa kisaikolojia ndugu zangu. Hii Hali sikuitegemea.
NB: Usharikani Kerege ni mzee wa Kanisa sijui Mchungaji akijua itakuaje?
 
Hahahaha chezeya utamu Mkuu.
Ila wewe jamaa kiboko huyu mchepuko wa kinondoni si alikua hausigeli wako ukampiga denda mbele ya mke wako. Alivyofukuzwa kurudi kwao iringa ukamrudisha na kumpangia kinondoni????

Ina maana ukahama home na kuhamia kwa housegirl???????

Nimekuvulia kofia man. Ila lea hao watoto.

Na walikupaje uzee wa kanisa wakati ulimbandua mama mchungaji wa sinza? Ulivyohama ulisamehewa?

 
,
FB_IMG_16074849538390434.jpg
 
Kama mjuavyo makazi ni Kerege Sasa kutokana na umbali kwenda kazini (Posta mpya CBD) nikaja kupanga chumba tena kimoja maeneo ya Kinondoni Studio.

Basi, nikapata mchepuko wa kupunguza ashki katikati ya wiki (huku na kule) akanasa mimba. Sasa kajifungua Jana (Jumapili) nikawa nipo na wife Kerege sikuweza kwenda kuwaona hospitali.

Alfajiri leo (Jumatatu) nikawahi Kairuki Hospitali nikiwa njiani Mzazi mwenzangu (mchepuko) akatuma text ana surprise yangu namuuliza nini? Hajibu, ile nafika hospitali nakuta manesi wameniandalia kiti kabisa cha kukaa.

Aisee dakika 2 baadae naletewa mapacha (nimefanana nao hatari) niwabebe na picha nikapigwa toka saa 12 asubuhi nimeduwaa siamini kilichotokea.

Nawaza mengi nahitaji msaada wa kisaikolojia ndugu zangu. Hii Hali sikuitegemea.
NB: Usharikani Kerege ni mzee wa Kanisa sijui Mchungaji akijua itakuaje?
We ongeza mke ukiwa nao 2 nyege zako zitaisha
 
Back
Top Bottom