Mchepuko wa Zari (Farouque) abwaga manyanga

Mchepuko wa Zari (Farouque) abwaga manyanga

Jamani tupate matangazo


Wasafiiiiiiiiiiiiiiiiiii babyyyyyyytt
 
Shangaa huyu Dinazarde kisa Wema ndio amefanya ishu

Watu wengine wa mikoani inabidi uwazoee tu, watoto wa mjini wenyewe ndio wanajuwa kina nani wanakimbiza mji.

Nakuhakikishia wanaomponda Wema hawajawahi kuwa meza moja na Wema au angalau kuwa naye karibu, wengi wanamjuwa kupitia media tu.

Nilipata kukaa meza moja na Wema mara nyingi sana wakati anadate na Charlz Baba kuna hiden potential anayo wengi hawamwelewi na hata mimi namchukia kwa kukubali kutumiwa na mswahili wa Tandale.

Na tukija kwenye issue ya Umalaya Wema hayupo kwenye orodha ya Malaya mimi nipo hapa mujini tangu Dar inaitwa Mzizima nawajuwa malaya, kinachomponza Wema yuko wazi kwa kila mpenzi mpya anakuwa naye kwenye mahusiano.

Kila mfuatilia udaku ukimuuliza Wema tangu awe Miss Tanzania amedate na wanaume wangapi atakupa idadi.

Jumbe.Mr blue,Tid,Kanumba,Diamond na Clement.

Wengine waliokula mzigo kipedeshee kimyakimya anawajuwa mwenyewe.
 
Last edited by a moderator:
Mmmhh kumbe nyie ndio wale team wema mnaomwaga mitusi kule... duuhh ila sio siri mna panic vibaya sanaaa kwenye wall ya mtu....as if mnalipwa..try to control urselves gals...let them be...wema sio Mungu...team wema wanasikitisha sana..I wonder sijui ni watu wa aina gani...penny katukanwa haya ss..kajala katukanwa nae soon watachekeana..team wema wanabaki sura zimewashuka.....plz..plz msitukane...

we nae nimekwambia team wema wapi na huwa namwaga matusi...........
usitake nikutukane kweli hapa, Nampenda WEMA but hiyo hainifanyi nianze kutukana MATUSI
NEXT TIME THINK TWICE BEFORE YOU SPIT OUT..
 
Watu wengine wa mikoani inabidi uwazoee tu, watoto wa mjini wenyewe ndio wanajuwa kina nani wanakimbiza mji.

Nakuhakikishia wanaomponda Wema hawajawahi kuwa meza moja na Wema au angalau kuwa naye karibu, wengi wanamjuwa kupitia media tu.

Nilipata kukaa meza moja na Wema mara nyingi sana wakati anadate na Charlz Baba kuna hiden potential anayo wengi hawamwelewi na hata mimi namchukia kwa kukubali kutumiwa na mswahili wa Tandale.

Na tukija kwenye issue ya Umalaya Wema hayupo kwenye orodha ya Malaya mimi nipo hapa mujini tangu Dar inaitwa Mzizima nawajuwa malaya, kinachomponza Wema yuko wazi kwa kila mpenzi mpya anakuwa naye kwenye mahusiano.

Kila mfuatilia udaku ukimuuliza Wema tangu awe Miss Tanzania amedate na wanaume wangapi atakupa idadi.

Jumbe.Mr blue,Tid,Kanumba,Diamond na Clement.

Wengine waliokula mzigo kipedeshee kimyakimya anawajuwa mwenyewe.

Umesema vyema. Wako wanawake Malaya mjini ucpime ila siri mioyoni
 
we nae nimekwambia team wema wapi na huwa namwaga matusi...........
usitake nikutukane kweli hapa, Nampenda WEMA but hiyo hainifanyi nianze kutukana MATUSI
NEXT TIME THINK TWICE BEFORE YOU SPIT OUT..

Me pia ameniblock ila hata sijamtukana. Kuna mtu aliandika kuusifia utajiri na wakati huo akawa anamlinganisha na Wema. Nilichoandika kumjibu ni je ubajua chanzo cha hayo mapato umesifia? Nikashangaa nimeblockiwa.
 
Me pia ameniblock ila hata sijamtukana. Kuna mtu aliandika kuusifia utajiri na wakati huo akawa anamlinganisha na Wema. Nilichoandika kumjibu ni je ubajua chanzo cha hayo mapato umesifia? Nikashangaa nimeblockiwa.

Afadhali tu kakublock hapendi usumbufu Zari teh teh .........
 
Afadhali tu kakublock hapendi usumbufu Zari teh teh .........

haha naclick kucheki muendelezo nastukia this user has not shared any photo.. Muoga bwana ila full mafumbo alafu anajifanya hajali...why ablok km hajali?
 
Si angeachia ngazi kimya kimya!! Kwani mpaka alalamike!? Alivyoandika hvyo amelipwa!? Ovyooooo
 
haha naclick kucheki muendelezo nastukia this user has not shared any photo.. Muoga bwana ila full mafumbo alafu anajifanya hajali...why ablok km hajali?

Mabango yako nani ayavumilie bora akublock tu hhhhhhgaaaaa
 
Mabango yako nani ayavumilie bora akublock tu hhhhhhgaaaaa

Hahahah Nahisi walikuwa wanaambiana na domo manake sijakaa sawa km afta 2 days nashangaa domo nae ameniblok hehehe nikajisemea moyoni kwani mnagawa mishahara kwa followers kwendreeeni huko
 
Hahahah Nahisi walikuwa wanaambiana na domo manake sijakaa sawa km afta 2 days nashangaa domo nae ameniblok hehehe nikajisemea moyoni kwani mnagawa mishahara kwa followers kwendreeeni huko

Hhhhhhhhhaaaaaq
 
Mmmhh kumbe nyie ndio wale team wema mnaomwaga mitusi kule... duuhh ila sio siri mna panic vibaya sanaaa kwenye wall ya mtu....as if mnalipwa..try to control urselves gals...let them be...wema sio Mungu...team wema wanasikitisha sana..I wonder sijui ni watu wa aina gani...penny katukanwa haya ss..kajala katukanwa nae soon watachekeana..team wema wanabaki sura zimewashuka.....plz..plz msitukane...

Na wema alimtongozaga Daimond

Hahahah Nahisi walikuwa wanaambiana na domo manake sijakaa sawa km afta 2 days nashangaa domo nae ameniblok hehehe nikajisemea moyoni kwani mnagawa mishahara kwa followers kwendreeeni huko

Umezidi mwaya hahahaha pole wacha wale maisha mAisha yenyewe mafupi heheheheheh
 
Back
Top Bottom