Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio muachie nayeye akaanzishe familia yake mkuu! Azae mapema atulie kula maisha TU!Ila ushaur alioutoa shoga ake umenistua Sana,
afu Cha kusikitisha mamaJ kaupokea na kaahidi kuufanyia kazi[emoji26]
Imetosha muache aende akaanze maisha mapya kasheshe huko je ataweza???Mmh! Wee acha tu mkuu, Kias chake bhana[emoji26]
Huwez jua wakikaa huko huwa anakuzungumziaje, na aliwah kukueleza anataka azae kabla hajafika 30 na wewe hauko tayari kuzaa nae labda ndio sababu kaafiki ushaur wa shoga yake mana umri unasonga na anachokitaka hapat anaona labda ajaribu kwingine. Pia nimegundua unampenda sana huyo mwanamke shida ni waruwaru mno pole sana.Ila ushaur alioutoa shoga ake umenistua Sana,
afu Cha kusikitisha mamaJ kaupokea na kaahidi kuufanyia kazi[emoji26]
simshauri mama j atafute wake azae
hahahaaaaaaaaaa nimefurahNi jina la mtoto wetu wa kwanza atakaezaliwa Kama atakua wa kike.
Binafs mpango wa KUZAA nae haujuepo kutokana na tabia zake waluwalu.Huwez jua wakikaa huko huwa anakuzungumziaje, na aliwah kukueleza anataka azae kabla hajafika 30 na wewe hauko tayari kuzaa nae labda ndio sababu kaafiki ushaur wa shoga yake mana umri unasonga na anachokitaka hapat anaona labda ajaribu kwingine. Pia nimegundua unampenda sana huyo mwanamke shida ni waruwaru mno pole sana.
Sasa mtaishi hivyo mpaka lini mana muda unasongaBinafs mpango wa KUZAA nae haujuepo kutokana na tabia zake waluwalu.
Sema nikikua namkwepa TU kijanja ntazaa na ila moyon najua Ni ngumu atanisumbua.
Michepuko inajijua tayari kuwa ni wakupita tu.Sasa wewe kukaa naye muda mrefu hivyo umempa kujiamini kuona anapendwa sana na haumchukulii kama malaya wengine.Sasa huo mgomvi na hayo maneno yako ndio yamemuamsha kua japo huoneshi ila ndio unamchukulia hivyoInsecurities Kivipi dada angu
Aisee nmejutia sana Maneno yaleMichepuko inajijua tayari kuwa ni wakupita tu.Sasa wewe kukaa naye muda mrefu hivyo umempa kujiamini kuona anapendwa sana na haumchukulii kama malaya wengine.Sasa huo mgomvi na hayo maneno yako ndio yamemuamsha kua japo huoneshi ila ndio unamchukulia hivyo