Mchepuko wangu kashauriwa bora azae kwanza na yeyote atakayepatikana

Mchepuko wangu kashauriwa bora azae kwanza na yeyote atakayepatikana

kuna namna ameona kama umeshampotezea, ukikaa sawa nae atafunguka tu. pia fahamu kuwa hakuna tena siri ya ndani yuko nayo atakushirikisha tena.
Hakika,
Uyu keshaanza kushikwa maskio na shoga zake.
 
Ila ushaur alioutoa shoga ake umenistua Sana,

afu Cha kusikitisha mamaJ kaupokea na kaahidi kuufanyia kazi[emoji26]
Huwez jua wakikaa huko huwa anakuzungumziaje, na aliwah kukueleza anataka azae kabla hajafika 30 na wewe hauko tayari kuzaa nae labda ndio sababu kaafiki ushaur wa shoga yake mana umri unasonga na anachokitaka hapat anaona labda ajaribu kwingine. Pia nimegundua unampenda sana huyo mwanamke shida ni waruwaru mno pole sana.
 
Nachoona wewe na mama J mmezoena Sana mpaka mnakosa mipaka ya maongezi,alikosea kuongea alivyoongea na wewe pia ulikosea kumwambia ulivyomwambia....
uko SAHII kabisa dada angu
 
Huwez jua wakikaa huko huwa anakuzungumziaje, na aliwah kukueleza anataka azae kabla hajafika 30 na wewe hauko tayari kuzaa nae labda ndio sababu kaafiki ushaur wa shoga yake mana umri unasonga na anachokitaka hapat anaona labda ajaribu kwingine. Pia nimegundua unampenda sana huyo mwanamke shida ni waruwaru mno pole sana.
Binafs mpango wa KUZAA nae haujuepo kutokana na tabia zake waluwalu.

Sema nikikua namkwepa TU kijanja ntazaa na ila moyon najua Ni ngumu atanisumbua.
 
Hapo ni kumfata yule mdada wa Saloon, mkazie sana na ikiwezekana mt*mbe ili kuweka mizani level.
 
Insecurities Kivipi dada angu
Michepuko inajijua tayari kuwa ni wakupita tu.Sasa wewe kukaa naye muda mrefu hivyo umempa kujiamini kuona anapendwa sana na haumchukulii kama malaya wengine.Sasa huo mgomvi na hayo maneno yako ndio yamemuamsha kua japo huoneshi ila ndio unamchukulia hivyo
 
Michepuko inajijua tayari kuwa ni wakupita tu.Sasa wewe kukaa naye muda mrefu hivyo umempa kujiamini kuona anapendwa sana na haumchukulii kama malaya wengine.Sasa huo mgomvi na hayo maneno yako ndio yamemuamsha kua japo huoneshi ila ndio unamchukulia hivyo
Aisee nmejutia sana Maneno yale
 
Back
Top Bottom