Mchepuko wangu kashauriwa bora azae kwanza na yeyote atakayepatikana

Mchepuko wangu kashauriwa bora azae kwanza na yeyote atakayepatikana

Michepuko inajijua tayari kuwa ni wakupita tu.Sasa wewe kukaa naye muda mrefu hivyo umempa kujiamini kuona anapendwa sana na haumchukulii kama malaya wengine.Sasa huo mgomvi na hayo maneno yako ndio yamemuamsha kua japo huoneshi ila ndio unamchukulia hivyo
Kiukwel nikikumbuka machoz yake,
Najiona kweli nilimkosea Sana,

japo yeye Maneno yake Yale anajitetea kua ilkua Ni PAST sio vizur kuconclude Ni Malaya kwa aliyoyasema
 
Sasa hapo utaendelea kubaki na mgodi wa nafsi na kuumia tu...
Yaan nawaza mpk KICHWA kinauma maana wife baada ya sekeseke la mwaka Jana,

Anauhakika Mimi na mama J tushaachana MDA Sana, Sasa akija kuskia tena mpk nmezaa nae. Aisee ataumia sana wife.

Ndo maana Niko dillema
 
Ndo umzalishe Sasa ili utam unoge
Apo Ndo pagumu
Yaan nawaza mpk KICHWA kinauma maana wife baada ya lile sekeseke la mwaka Jana kufumania,mpk nikamchane makofi mamaJ tukafikishana mpk polisi. wife alinisanehe kwa moyo mmoja

Na Anauhakika 100% Mimi na mama J tushaachana MDA mrefu Sana, Sasa akija kuskia tena mpk nmezaa nae. Aisee ataumia sana wife. Na sijui km anaweza nisamehe Wala kunielewa Tena.

Ndo maana kweny icho kipungele Cha KUZAA nae Niko dillema Sana[emoji848]
 
Pole sana... fanya tu maamuzi magumu no way wife unampenda na Mama J pia hutaki kumkosa!
Yaan nawaza mpk KICHWA kinauma maana wife baada ya sekeseke la mwaka Jana,

Anauhakika Mimi na mama J tushaachana MDA Sana, Sasa akija kuskia tena mpk nmezaa nae. Aisee ataumia sana wife.

Ndo maana Niko dillema
 
Apo Ndo pagumu
Yaan nawaza mpk KICHWA kinauma maana wife baada ya lile sekeseke la mwaka Jana kufumania,mpk nikamchane makofi mamaJ tukafikishana mpk polisi. wife alinisanehe kwa moyo mmoja

Na Anauhakika 100% Mimi na mama J tushaachana MDA mrefu Sana, Sasa akija kuskia tena mpk nmezaa nae. Aisee ataumia sana wife. Na sijui km anaweza nisamehe Wala kunielewa Tena.

Ndo maana kweny icho kipungele Cha KUZAA nae Niko dillema Sana[emoji848]
Wanaume hamshindwi jambo lakini,,
 
Apo Ndo pagumu
Yaan nawaza mpk KICHWA kinauma maana wife baada ya lile sekeseke la mwaka Jana kufumania,mpk nikamchane makofi mamaJ tukafikishana mpk polisi. wife alinisanehe kwa moyo mmoja

Na Anauhakika 100% Mimi na mama J tushaachana MDA mrefu Sana, Sasa akija kuskia tena mpk nmezaa nae. Aisee ataumia sana wife. Na sijui km anaweza nisamehe Wala kunielewa Tena.

Ndo maana kweny icho kipungele Cha KUZAA nae Niko dillema Sana[emoji848]


Itakuwa ndio mwisho wa ndoa yenu nakwambia.

Kuna watu nimewaona kwenye jamii kwa senario kama hiyo ,

Mke alishawatukia mara kadhaa Mwanaume akawa anakataa na kusema ilikuwa zamani,

Mara mke akawa anakuta meseji za yule mwanamke kuomba hela, wakawa wanakataa na kubabaisha,

Baada ya muda mchepuko kategeshea mimba wakazaa,

Mke akajua,

Hivi ninavyokwambia mke alishaondoka ndoa imebaki historia,


Lakini usijali mtakapoachana akaondoka zake utaendelea kuishi na huo mchepuko wako na kuurasimisha kuwa mke.

Mshika mawili moja humponyoka!
 
Pole sana... fanya tu maamuzi magumu no way wife unampenda na Mama J pia hutaki kumkosa!
Hapa natakiwa kuumiza KICHWA Sana nifanye maamuz sahii.
Vinginevyo maamuz yake Naweza jikuta nayajutia Sana mbeleni
 
Back
Top Bottom