Ha ha ha ...apo nmekupata sawia KABISA dada suzieSiyo kila kitu cha kutumia ubabe my dear.
Sometimes unamwambia tu kwa upendo kwamba mamy usinisimulie mambo yako ya zamani..Unapiga hard sex matata hapo mpaka atubu kutosimulia mambo yake ya nyuma
Simple..
Aliyepita huku hawezi kuwa limbukeni kwa kiumbe kunachoitwa mwanamke.Kote uko nmeshapita miaka mingi Sana mkuu, Tena kipind icho haijawa naarufu Kam Hivi sasa[emoji4]
Uko SAHII mkuu,
Nifafanulie Sasa Ni madhara gani Ayo ya kusex too much mkuu?[emoji848]
Umetaja vitu ordinary Sana na vya kufikirika.1. Kuchanganyikiwa, muda mwingi kuwa unawaza ngono tu,
2. Kuonekana kama limbukeni wa mapenzi kama wadau wengine walivyochangia mada hapo
3. Kuhatarisha ndoa
4. Kupoteza rasilimali za familia (fedha na muda)
5. Kukosekana Kwa furaha kwenye ndoa sababu nature is ordered always
6. Risks nyinginezo
Umetaja vitu ordinary Sana na vya kufikirika.
Alokwambia ndoa yangu Haina furaha Nani?
Basi nami naungana na shost ake, azae na yeyoteMkurugenz Mbona alishastaafu zaman Sana, story ya mkurugenz ya zamani sana
Hapana,kuzaa na mtu sio lzm uwe nyumba ndogo,wengi tu wamezaa na wanahudumia watt tu!Kama unakubaliana na maisha ya ukeweza yaani mitala Sawa!
Maana mume atakuwa ana nyumba mbili ya ndoa ya awali na hiyo ya mchepuko alozaa naye maana sasa inakuwa ni nyumba kamili anaihidumia kwa malazi, chakula, mavazi, Ada , matibabu n.k
Kwa hiyo akienda kwa mchepuko anaenda nyumbani kwake, akifika baba kafika , mume kafika chungu cha ugali kinabandikwa attention kama zote [emoji108][emoji108]
Sasa gharama za ukewenza unazijua?
Risks zinazoambatana na ukewenza unazijua?
Umejipanga kukabiliana nazo ili ubaki salama?
Hayo ni machache ya kutafakari.
Mi sio mshari ,kawaida tu niko kakaUnaonekana una wivu Sana au mshari Sana Wewe ukiibiwa utam wako[emoji4]
Ndio muache bwana na yeye awe na familiaTatizo akishakua na mahusiano mengine, kunipa Tena itakua Ndo bye bye[emoji848]
[emoji134]uwiiiiiThats Serious Christine1
Katika rukaruka zangu zote kwa WANAWAKE wote nlowai tembea nao.
MamaJmwanamke pekee anaenifikisha kileleni haswa, nikaskia kwelikweli nmefanya mapenz na nmeenjoy[emoji4]
Hapana,kuzaa na mtu sio lzm uwe nyumba ndogo,wengi tu wamezaa na wanahudumia watt tu!
Suala la mitala kwangu hapana,ila huyo aliyezaa atasanda na atajuta!
Ni kweli ni risk sana tu ila wewe pia unapaswa kulaumiwa juu ya hilo. Unautumia udhaifu wake kujifurahisha kitu ambacho si kizuri kabisa.Sasa mkuu huoni suala la yeye kuafiki kua na mtoto TU bila hata kujali atakaezaa nae huoni Ni kujirisk zaidi?
Sana naongea hivyo Kwa sababu nina watoto saba ukijumlisha na mtoto wa mke wangu nilie mkuta nae mwaka 2000 wa kiume akiwa na miaka 1 na nusu lakini niliamua muoa Yule mwanamke ivyo ivyo pamoja na mtoto wake,mwaka 2002 nililipata KAZI serikalini mwaka 2003 nilimuo Yule mwanamke nimeteseka nae mno nikabahatika mzalisha watoto 6 wakiume wa 5 na kike mmoja anamiaka 9 now uyu binti nampenda mno Yani ulitaka tuonane wabaya basi mfanyie kitu sivyo huyu binti uwa,Mkuu comment Yako hii Umeandika kwa hisia Sana, Maneno yako yanachoma mno[emoji26]
[emoji23][emoji23]kwakweli nitamfurahisha!Sasa hapo pa kuhudumia mtoto napo ni mtihani mkubwa vile vile!
Fikiria kipato ambacho kingetumika kwa maendeleo ya familia kinapelekwa nje kusikostahili.
Yani kwa mfano wewe unafanyakazi kipato chako chote unakusanya na kufanya maendeleo ya familia halafu mume yeye kipato chake anatawanya kwenda kutunza michepuko na watoto wao!
Yani wakati wewe unakusanya mume anatawanya rasilimali za familia! [emoji848][emoji848]
Mmnh hapana!
Nimekuelewa hapo mwishoni kwenye sentesi ya mwisho [emoji3][emoji3][emoji3]
Kwamba utamkomesha kilanga?