Mchepuko wangu kashauriwa bora azae kwanza na yeyote atakayepatikana

Mchepuko wangu kashauriwa bora azae kwanza na yeyote atakayepatikana

Siyo kila kitu cha kutumia ubabe my dear.

Sometimes unamwambia tu kwa upendo kwamba mamy usinisimulie mambo yako ya zamani..Unapiga hard sex matata hapo mpaka atubu kutosimulia mambo yake ya nyuma

Simple..
Ha ha ha ...apo nmekupata sawia KABISA dada suzie
 
Uko SAHII mkuu,
Nifafanulie Sasa Ni madhara gani Ayo ya kusex too much mkuu?[emoji848]


1. Kuchanganyikiwa, muda mwingi kuwa unawaza ngono tu,

2. Kuonekana kama limbukeni wa mapenzi kama wadau wengine walivyochangia mada hapo

3. Kuhatarisha ndoa

4. Kupoteza rasilimali za familia (fedha na muda)

5. Kukosekana Kwa furaha kwenye ndoa sababu nature is ordered always

6. Risks nyinginezo
 
1. Kuchanganyikiwa, muda mwingi kuwa unawaza ngono tu,

2. Kuonekana kama limbukeni wa mapenzi kama wadau wengine walivyochangia mada hapo

3. Kuhatarisha ndoa

4. Kupoteza rasilimali za familia (fedha na muda)

5. Kukosekana Kwa furaha kwenye ndoa sababu nature is ordered always

6. Risks nyinginezo
Umetaja vitu ordinary Sana na vya kufikirika.

Alokwambia ndoa yangu Haina furaha Nani?
 
Umetaja vitu ordinary Sana na vya kufikirika.

Alokwambia ndoa yangu Haina furaha Nani?


Umesema wife aliwahi wafumania in the past na kwamba unazani anajua mlishaachana na mchepuko kitambo, na kwamba una wasiwasi atakapokuja kujua kuwa uhusiano uliendelea na pengine kuweka alama ya kudumu (mtoto) je ndoa itabaki salama?!

Sasa hayo mashaka ya namna hiyo unaona yanakupa furaha?

Ni vile jinsi mwenyewe unajieleza na mtiririko wa maelezo yako kwa ujumla!
 
Kama unakubaliana na maisha ya ukeweza yaani mitala Sawa!

Maana mume atakuwa ana nyumba mbili ya ndoa ya awali na hiyo ya mchepuko alozaa naye maana sasa inakuwa ni nyumba kamili anaihidumia kwa malazi, chakula, mavazi, Ada , matibabu n.k

Kwa hiyo akienda kwa mchepuko anaenda nyumbani kwake, akifika baba kafika , mume kafika chungu cha ugali kinabandikwa attention kama zote [emoji108][emoji108]

Sasa gharama za ukewenza unazijua?

Risks zinazoambatana na ukewenza unazijua?

Umejipanga kukabiliana nazo ili ubaki salama?

Hayo ni machache ya kutafakari.
Hapana,kuzaa na mtu sio lzm uwe nyumba ndogo,wengi tu wamezaa na wanahudumia watt tu!
Suala la mitala kwangu hapana,ila huyo aliyezaa atasanda na atajuta!
 
Hapana,kuzaa na mtu sio lzm uwe nyumba ndogo,wengi tu wamezaa na wanahudumia watt tu!
Suala la mitala kwangu hapana,ila huyo aliyezaa atasanda na atajuta!

Sasa hapo pa kuhudumia mtoto napo ni mtihani mkubwa vile vile!

Fikiria kipato ambacho kingetumika kwa maendeleo ya familia kinapelekwa nje kusikostahili.

Yani kwa mfano wewe unafanyakazi kipato chako chote unakusanya na kufanya maendeleo ya familia halafu mume yeye kipato chake anatawanya kwenda kutunza michepuko na watoto wao!

Yani wakati wewe unakusanya mume anatawanya rasilimali za familia! [emoji848][emoji848]

Mmnh hapana!

Nimekuelewa hapo mwishoni kwenye sentesi ya mwisho [emoji3][emoji3][emoji3]


Kwamba utamkomesha kilanga?
 
Sasa mkuu huoni suala la yeye kuafiki kua na mtoto TU bila hata kujali atakaezaa nae huoni Ni kujirisk zaidi?
Ni kweli ni risk sana tu ila wewe pia unapaswa kulaumiwa juu ya hilo. Unautumia udhaifu wake kujifurahisha kitu ambacho si kizuri kabisa.

Na bora ingekua unamfool kwa muda bt ulishaapa kua maisha yake ndivyo yatavyokua, ni wewe tu kupata uroda toka kwake.
 
Mkuu comment Yako hii Umeandika kwa hisia Sana, Maneno yako yanachoma mno[emoji26]
Sana naongea hivyo Kwa sababu nina watoto saba ukijumlisha na mtoto wa mke wangu nilie mkuta nae mwaka 2000 wa kiume akiwa na miaka 1 na nusu lakini niliamua muoa Yule mwanamke ivyo ivyo pamoja na mtoto wake,mwaka 2002 nililipata KAZI serikalini mwaka 2003 nilimuo Yule mwanamke nimeteseka nae mno nikabahatika mzalisha watoto 6 wakiume wa 5 na kike mmoja anamiaka 9 now uyu binti nampenda mno Yani ulitaka tuonane wabaya basi mfanyie kitu sivyo huyu binti uwa,

Namfundisha vingi mno uyu binti naomba Mungu anikuzie kwenye malezi mema awe na tabia njema badae aolewe uwa naumia Sana kuona mwanaume wanachezea wanawake nimepitia Mengi mno hasa kulingana na nature ya KAZI yangu nishaona mengi mno ya kutosha yakuogopesha na kusikutisha nikushauri Tu Ndugu yangu uwo ushenzi Acha Ndugu yangu kama unampenda muoe uyo binti mke wa pili acha uwo ushetani unao mfanyia usijisifu Kwa Mambo ya hovyo nimeongea hivyo Kwa sababu mm ni mzazi Baba wa watoto 7 tena najua wazazi wanavyotamani ona watoto wao wanaoa au kuolewa

Acha iyo tabia bro nakushauri mstiri uyo binti...
 
Sasa hapo pa kuhudumia mtoto napo ni mtihani mkubwa vile vile!

Fikiria kipato ambacho kingetumika kwa maendeleo ya familia kinapelekwa nje kusikostahili.

Yani kwa mfano wewe unafanyakazi kipato chako chote unakusanya na kufanya maendeleo ya familia halafu mume yeye kipato chake anatawanya kwenda kutunza michepuko na watoto wao!

Yani wakati wewe unakusanya mume anatawanya rasilimali za familia! [emoji848][emoji848]

Mmnh hapana!

Nimekuelewa hapo mwishoni kwenye sentesi ya mwisho [emoji3][emoji3][emoji3]


Kwamba utamkomesha kilanga?
[emoji23][emoji23]kwakweli nitamfurahisha!

Ni kweli unachosema,ndo madhara mojawapo ya zinaa nje ya ndoa ni kutapanya hii watu wengi hawaelewi,!
Biblia iko wazi!
 
Back
Top Bottom