Mchepuko wangu kashauriwa bora azae kwanza na yeyote atakayepatikana

Mchepuko wangu kashauriwa bora azae kwanza na yeyote atakayepatikana

mwamba kazini

deep pond na mchepuko wake😂😂😂

wala usizae na mama j… alishawahi kumtukana wife, siku ukimpa tiket ya kuwa na mtoto nae wife amekwisha
 
Duh
Nilichojifunza,sio rahisi ukamfuna mtu,au ukajua then wakakwambia wameavhana eti na we ukaamini kirahisi kabisa!
Hakuna kitu km hicho,huwa wanapumzika tu kupisha Shari!

Niache mume kisa kazaa au amegonga nje? (Japo inauma) ila sikuachii ng'ooo labda kuwe na shida nyingine au hatimizi majukumu yake km baba!
Ila na huo mchepuko ujipange aisee

Sent using Jamii Forums mobile app


Nimekuelewa @ My,

Ná nakubaliana na perception yako lakini kwa upande wangu ni tofauti.

Naona siwezi ku-pretend hata kidogo!

Though pia huwa inategemea na facts around the case!

Incidences huwa zinatofautiana mara nyingi!


Kama unaweza kusamehe kabisa na kuishi bila sononi moyoni ni vizuri zaidi.
 
Limbwata si mchezo!

Pole mwaya maana umekamatika si kidogo!
Serious mkuu,
Hamna limbwata pale,
yule mwanaMke uku Chini kaumbika vizur balaa, afu mambo anayajua sijawai ona[emoji4]
 
Amekuweka kwenye bakuli sijui chupa?!

Hufurukuti!

Kutoka kwenye hicho kifungo siyo rahisi.
Yaan huwa nawaza kile kidudu chake labda wakakizibe Ndo akili yangu itatulia.

Mda wote nyege juu yake
 
Duh
Nilichojifunza,sio rahisi ukamfuna mtu,au ukajua then wakakwambia wameavhana eti na we ukaamini kirahisi kabisa!
Hakuna kitu km hicho,huwa wanapumzika tu kupisha Shari!

Niache mume kisa kazaa au amegonga nje? (Japo inauma) ila sikuachii ng'ooo labda kuwe na shida nyingine au hatimizi majukumu yake km baba!
Ila na huo mchepuko ujipange aisee

Sent using Jamii Forums mobile app
Unaonekana una wivu Sana au mshari Sana Wewe ukiibiwa utam wako[emoji4]
 
Duh
Nilichojifunza,sio rahisi ukamfuna mtu,au ukajua then wakakwambia wameavhana eti na we ukaamini kirahisi kabisa!
Hakuna kitu km hicho,huwa wanapumzika tu kupisha Shari!

Niache mume kisa kazaa au amegonga nje? (Japo inauma) ila sikuachii ng'ooo labda kuwe na shida nyingine au hatimizi majukumu yake km baba!
Ila na huo mchepuko ujipange aisee

Sent using Jamii Forums mobile app



Kama unakubaliana na maisha ya ukeweza yaani mitala Sawa!

Maana mume atakuwa ana nyumba mbili ya ndoa ya awali na hiyo ya mchepuko alozaa naye maana sasa inakuwa ni nyumba kamili anaihidumia kwa malazi, chakula, mavazi, Ada , matibabu n.k

Kwa hiyo akienda kwa mchepuko anaenda nyumbani kwake, akifika baba kafika , mume kafika chungu cha ugali kinabandikwa attention kama zote [emoji108][emoji108]

Sasa gharama za ukewenza unazijua?

Risks zinazoambatana na ukewenza unazijua?

Umejipanga kukabiliana nazo ili ubaki salama?

Hayo ni machache ya kutafakari.
 
Serious mkuu,
Hamna limbwata pale,
yule mwanaMke uku Chini kaumbika vizur balaa, afu mambo anayajua sijawai ona[emoji4]


Alorogwa hawezi kujitambua kuwa karogwa uchawi unapomkolea !

Mfano mwendawazimu unazani huwa anajitambua kuwa na wazimu?

Wale wanaomzunguka ndio wanaweza kumsaidia!

Wewe unahitaji nduguzo wakusaidie uokoke !
 
Apo Ndo pagumu
Yaan nawaza mpk KICHWA kinauma maana wife baada ya lile sekeseke la mwaka Jana kufumania,mpk nikamchane makofi mamaJ tukafikishana mpk polisi. wife alinisanehe kwa moyo mmoja

Na Anauhakika 100% Mimi na mama J tushaachana MDA mrefu Sana, Sasa akija kuskia tena mpk nmezaa nae. Aisee ataumia sana wife. Na sijui km anaweza nisamehe Wala kunielewa Tena.

Ndo maana kweny icho kipungele Cha KUZAA nae Niko dillema Sana[emoji848]
Chiee kumbe umeshafumaniwaga na Uzi ulileta humu mm nikajuwa hujawai hisiwa hata na wife wako
 
Wewe unaumia nn na wakati ni dhahiri dhahiri utaki muoa uyo binti utaki mzalisha unataka uwe una mt*mb* tu we mtoto wa watu unazani yy anampenda kuwa mchepuko mm Naona tatizo like kwako ww bro uyo mwanamke umemfanya kama Malaya wako Yani ww KAZI yako kumtomb** Tu na kumuachia pesa ya meza huu ni undazi Sana in short unazingua mno tena Sana Ila ujue nn KARMA

Is the BITCH ww pia utapata mtoto wa kike au kama huna mtoto wa kike wajuu zako watoto wa kike watakaozaliwa na watoto wako wa kiume nao watafanyiwa hivyo hivyo kama ww unavyomfanyia uyo binti umuoi ww KAZI yako kumgonga Tu binti wa watu umechukulia umaskini wake ndo kama fimbo ya kumchapia dah....

NB:Wanaume hi hii tabia ya umalaya tuache sio nzuri kwanza ni hasara tupu na gharama why usitulie na mkeo???tunawatesa sana hawa wakina mama,akuna mwanamke asiependa kuwa mke kuolewa kuwa na familia iyo mchepuko mm nashauri ni Bora tuioe na sio kuichezea tuu sio tabia nzuri...
 
Back
Top Bottom