Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Thats Serious Christine1
Tatizo akishakua na mahusiano mengine, kunipa Tena itakua Ndo bye bye[emoji848]Usizae nae bwana, muache awe na mahusiano mengine!
Ila km haupo tayari kuachana nae ,ss hapo ndo balaa
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh
Nilichojifunza,sio rahisi ukamfuna mtu,au ukajua then wakakwambia wameavhana eti na we ukaamini kirahisi kabisa!
Hakuna kitu km hicho,huwa wanapumzika tu kupisha Shari!
Niache mume kisa kazaa au amegonga nje? (Japo inauma) ila sikuachii ng'ooo labda kuwe na shida nyingine au hatimizi majukumu yake km baba!
Ila na huo mchepuko ujipange aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Hataki tu kukiriPond kiukweli unampenda sana mama J yani unampenda mnoooo!!
Miaka 27 na wewe bado hutaki kumwoa wala kumzalisha?Hichi Ni kipengele,
Ukzngatia tukifikia stage iyo suala la Siri wife asijue litakua hamna Tena[emoji848]
Unaonekana una wivu Sana au mshari Sana Wewe ukiibiwa utam wako[emoji4]Duh
Nilichojifunza,sio rahisi ukamfuna mtu,au ukajua then wakakwambia wameavhana eti na we ukaamini kirahisi kabisa!
Hakuna kitu km hicho,huwa wanapumzika tu kupisha Shari!
Niache mume kisa kazaa au amegonga nje? (Japo inauma) ila sikuachii ng'ooo labda kuwe na shida nyingine au hatimizi majukumu yake km baba!
Ila na huo mchepuko ujipange aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Duh
Nilichojifunza,sio rahisi ukamfuna mtu,au ukajua then wakakwambia wameavhana eti na we ukaamini kirahisi kabisa!
Hakuna kitu km hicho,huwa wanapumzika tu kupisha Shari!
Niache mume kisa kazaa au amegonga nje? (Japo inauma) ila sikuachii ng'ooo labda kuwe na shida nyingine au hatimizi majukumu yake km baba!
Ila na huo mchepuko ujipange aisee
Sent using Jamii Forums mobile app
Serious mkuu,
Hamna limbwata pale,
yule mwanaMke uku Chini kaumbika vizur balaa, afu mambo anayajua sijawai ona[emoji4]
mwamba kazini
deep pond na mchepuko wake[emoji23][emoji23][emoji23]
wala usizae na mama j… alishawahi kumtukana wife, siku ukimpa tiket ya kuwa na mtoto nae wife amekwisha
Ha ha ha.....wataalam wanasema kufanya Sana kunaurudisha mwili ujana.
Hiyo tafiti yako itakua ya yule professa wa mto Mara mtani Wangu Watu8
[emoji23][emoji23][emoji23]Hakika watu mnautumia muda vizuri sana.
Chiee kumbe umeshafumaniwaga na Uzi ulileta humu mm nikajuwa hujawai hisiwa hata na wife wakoApo Ndo pagumu
Yaan nawaza mpk KICHWA kinauma maana wife baada ya lile sekeseke la mwaka Jana kufumania,mpk nikamchane makofi mamaJ tukafikishana mpk polisi. wife alinisanehe kwa moyo mmoja
Na Anauhakika 100% Mimi na mama J tushaachana MDA mrefu Sana, Sasa akija kuskia tena mpk nmezaa nae. Aisee ataumia sana wife. Na sijui km anaweza nisamehe Wala kunielewa Tena.
Ndo maana kweny icho kipungele Cha KUZAA nae Niko dillema Sana[emoji848]