Mcheza karate mahiri zaidi aliyetikisa mchezo wa karate Tanzania. Khalifa Kiumbe Moto (Chief Kiumbe)

Kigoma noma, Kuna dogo mmoja anaitwa Msabaha,wakigoma nae ni moto
Achana na msabaha kaka,kigoma ni hazina hasa ya shotokan,walikuwepo akina kiyoka,sensey wangii,rama buronge,isaya, nk hao ni wakongwe,
 
Kung fu unasema wa wanaume?
Stop fooling pple,
Umewahi cheza shotokan karate,na km umewahi ni kwa grade ipi,
Kungu fu ni laini sana km gurjoruu,
Mbwembwe nyiiiingi,
Japo haiondoi ukweli kuwa nao ni effective
Shotokan karate do usiuchanganye na mambo malaini laini,
Shotokan wengi wanakimbia sababu ya ugumu wake,kung fu na gorjoryu na the kwon do inataka unyumbulifu basi,
Km haujacheza shotokan jaribu uone halafu useme tena kung fu ndo ya wanaume,
Watu wanacheza wamejireeeeemba na matambara na stensi za kureeeemba ndo unawaita wa kiume,ipo michezo iliumbwa kwa kuwarahishia akina mama wacheze
 
Nikimpa Oezuki Chudan moja tu lazima akae...
hapo akiwa bado ana shangaa shangaa lazima nivute zero stance
kisha nimlamba Mawashageli gyakuzuki mpaka taya lote lisambaratike
Wewe si karateka wewe umekarili terminologies tu za makarateka
 
Karate ni siraha hatari kabisa wasio jua wanadharau,
 
Its about timing na usahihi wa pigo tu
 
Ahaaaaaa... Usiogope, we jichanganye tu anga zangu kisha utaleta mrejesho hapa
Projo tu,
Eleza unacheza mchezo gani,na ulifikia lever gani,nitajie nguzo za mchezo wako na baadhi ya kata zake
 
Mhh makarateka wa jamii forum baba
Hivi martial arts ni nn
Maana umechanganya habari balaa
 
Nikimpa Oezuki Chudan moja tu lazima akae...
hapo akiwa bado ana shangaa shangaa lazima nivute zero stance
kisha nimlamba Mawashageli gyakuzuki mpaka taya lote lisambaratike
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
haya na wewe bwata sasa.. et na wewe unajua karate. em nenda kaharishe huko .hata wanajua hawapo kubishana hapa shwain
Karataeka wa mdomo na hilo neno shwain ni kata gani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…