Mcheza karate mahiri zaidi aliyetikisa mchezo wa karate Tanzania. Khalifa Kiumbe Moto (Chief Kiumbe)

Mcheza karate mahiri zaidi aliyetikisa mchezo wa karate Tanzania. Khalifa Kiumbe Moto (Chief Kiumbe)

Huyu kiumbe moto alishapigwa mara 2 na master kaini wa tanga kwenye mchezo wa kick boxer ddc Magomeni kuondoa
 
Mnakumbuka rajabu juckchein? Alipanda jukwaani akaomba pambano na khalifa kiumbe moto. Siku ya pambano alipigwa round ya pili na akafariki. Sababu zikaongezeka za kufuta mchezo wa karate au kuwekewa sheria
Acha uongo marehemu rajabu jack Chan hajafa kwa sababu ya game.... Marehemu rajabu jack Chan amekufa mwaka juzi sasa Hebu niambie kiumbe moto na rajabu wamepigana mwaka juz?.... Acha kupamba pamba Watu ovyo.... Rajabu jack Chan amefariki mwaka juzi na alikuwa anasumbuliwa na tb na mara ya mwisho enzi za uhai wake alikuwa ni getman pale RAMBO VIEW manzese.... Acha uongo kiumbe moto alikuwa mkali Kiasi chake na kulikuwa na Watu wanampiga kiumbe moto Kila game muulize kiumbe moto anamjua MASTER IMANUEL KAINI wa TANGA?
 
Tatizo sio kushinda au kushindwa. Tunazingumzia uwezo wake tu kwenye hii game
Mkuu unajua umemsifia sana kiumbe moto.... Kharifa wa kawaida sana....mimi nipo kwenye hili game muda sana na nilikuwa natrain tambaza gym.... Kiumbe moto alikuwa wa kawaida tofauti na wewe unavyomtunisha.... Mbona ameshachezea sana za chembe nje ya ring....
 
Kharifa kiumbe moto ni kweli ametrain na Mtu wa siku nyingi kwenye mazoezi lakini alikuwa wa kawaida.... Kwa sababu sisi watu wa sanaa hizi za mapigano tuna usemi tunapenda sana kuutumia MAZOEZI NI KITU KINGINE NA SPARING NI KITU KINGINE
 
Labda nikuulize swali unaikumbuka game yoyote ya kharifa kiumbe moto na japhet kaseba?
 
cc15db022ba471005cbb5d64f71e1aa8.jpg

Huyo wa kwanza kushoto ndio master kaini ndo alikuwa kiboko wa kharifa kiumbe moto
 
cc15db022ba471005cbb5d64f71e1aa8.jpg

Huyo wa kwanza kushoto ndio master kaini ndo alikuwa kiboko wa kharifa kiumbe moto
Mkuu huko nyuma kama ulisoma niliweka wazi kua sio kama hajapoteza pambano. Ila nilisema naongelea uwezo wake kwenye game. Nikasema kua kushinda ni kitu kinaweza kutokea. Ila Kiutaalam wa mchezo bado kaini hakumfikia halifa. Na hata waliporudiana pambano halikwisha kwa fujo
 
Utaalam upi.... Kaseba ameshaomba game mara nyingi kwa kharifa anakimbia..... Moja ya Watu kharifa kiumbe moto alikuwa anawaogopa ni japhet kaseba..... Mpaka kharifa anatoka kwenye ishu za ring hakuwahi kupigana na kaseba.... Licha ya kaseba kwenda na meneja wake BABYFACE zaidi ya mara 9 kharifa anachomoa.... Yaani mkuu kuhusu hawa Watu nawajua vizuri sana mimi nimetrain muay tai pale tambaza gym tukiwa na wakina kaseba, ziadi , inno, Ali tambaza,master msakala, putile Gama, husen mombwe (marehemu).... Kifupi kharifa alikuwa wa kawaida sana.... Seba mwanangulo tu alikuwa anamjambisha kharifa
 
Mkuu huko nyuma kama ulisoma niliweka wazi kua sio kama hajapoteza pambano. Ila nilisema naongelea uwezo wake kwenye game. Nikasema kua kushinda ni kitu kinaweza kutokea. Ila Kiutaalam wa mchezo bado kaini hakumfikia halifa. Na hata waliporudiana pambano halikwisha kwa fujo
Unajua mkuu.... Narudia tena kharifa ni wa kawaida sana mimi Watu ninaowajua wamempga kharifa 6
 
Na kisa cha kustaafu kharifa amemkimbia kaseba kwa sababu kaseba ndo alikuwa bingwa na ilikuwa lazima akutane na kharifa hapo ndo bwana mkubwa akatundika grov
 
Sifa ulizompa kharifa sio zake..... Sifa hizo ulitakiwa kumpa SATANA master wa manzese ndo mbabe aliyesumbua ambaye anaheshimika miaka leo upande wa karate ma - master wote uliowataja wanamjua SATANA nani
 
Na kisa cha kustaafu kharifa amemkimbia kaseba kwa sababu kaseba ndo alikuwa bingwa na ilikuwa lazima akutane na kharifa hapo ndo bwana mkubwa akatundika grov
Hahaha. OK nashukuru kwa hilo. Ila yeye kaseba namfahamu vizuri. Na yeye alishakiri kwangu mimi kua hakuna mcheza karate kama halifa Tanzania
 
Sifa ulizompa kharifa sio zake..... Sifa hizo ulitakiwa kumpa SATANA master wa manzese ndo mbabe aliyesumbua ambaye anaheshimika miaka leo upande wa karate ma - master wote uliowataja wanamjua SATANA nani
Mkuu satana nilikuwepo alipovamia dojo ya pale kanisani manzese. Aliitwa khalifa ndo alimpiga akamkimbiza nikishuhudia
 
Naomba kujua tofauti ya Karate, Judo na Kung Fu

Karate unatumia hands and feet to deliver and block blows pia ni kwa ajili ya self defense karate origin yake ni japan

Kung inahusisha martial arts na mambo ya kiroho mfano kwenye kungu fu hata kabla hamjaanza mazoezi dojo lazima kuna sala muiseme na hata mkimaliza pia kung fu asili ni china.pia kung fu ina style nyingi mpaka zinazofanana na wanyama

Judo yenyewe wanajifunza zaidi jinsi ya kumzibiti adui kama kumdondosha na kumtia lock asifurukute mcheza judo anaitwa Judoka
 
Mkuu satana nilikuwepo alipovamia dojo ya pale kanisani manzese. Aliitwa khalifa ndo alimpiga akamkimbiza nikishuhudia
Uliza ma master wote uliowataja inasemekana Santana alikuwa na uwezo wa hali ya juu kwenye sanaa ya mapigano Kiasi cha wachina wa urafiki enzi hizo kumpa jina la SATANA.... SATANA ni jina la master wa kichina huko China kizazi cha zamani... Yaani ma Master wanaocheza Kung fu ya kitamaduni yaani hiyo ufundishwi mpaka master akutunuku ndio anakupa huo ufundi tena sio yote kidogo tu....
 
Back
Top Bottom