Mcheza karate mahiri zaidi aliyetikisa mchezo wa karate Tanzania. Khalifa Kiumbe Moto (Chief Kiumbe)

Mkuu pushing 40 been training since iwas like 10yrs old ,slowed down past ten yrs (by doctors recommendation) due to some heart condtions! Now am just packing my daughter with knowledge ,i pitty who would be her husband kama litatokea fumanizi.
Wish i could send some photo kwa msisitizo but u know how it is with identity and things we say in public
 
Damn , nime ku admire mkuuu. For sure yani .

Kama ungekuwa na son ingekuwa ni very bad news kwa wauza sura wa kitaaaaa.

Una mfundisha mchezo gani, au ndio misingi ming ming na combs mbalimbali.??

Au umempeleka academy then una top up ukipata time.

How du manage life la sasa, kazi na kupata extra time ya kutrain. Na fail hapo katika muda, bt mchezo ni mtamu sana ukikolea
 
Nimemwandikisha dojo ana train shotokan (ndio niliyo anza nayo mimi baadae nikaenda gojuryu ambayo iko vizuri kwa watu wa umri na uzito mkubwa )
When u settle in life iwill get time at least on week ends or some cool evenings!
We punguza maandalizi ya happy hrs unapata muda kama una msingi one hour is about it almost daily and more than i hrs if you do aweekly basis.
 
Mi nacheza mchezo wa hela .hata maadili ya michezo hii huyajui utabaki unachezesha miguu tu na viuno
Karateka mdomo kapovuka,
Kuhusu hela usiseme kitu utachekwa
Maana tunaongelea karate wewe unasema hela,na maranyingi MTU dhaifu wa jambo fulani ndo huwa maarufu kuwasema wengine juu ya hilo,
Haunijui unaongeaje kuhusu hela,
Wenye akili kubwa washakusoma
Shame karateka mdomo
 
acha bana . ivi umenielewa hapo nilovyo sema mi nacheza mchezo wa hela?
 
Word nmepata kitu here
 
Mtaalamu wa haya mambo tuonane Nina mambo kazaa tuongee nipo Dodoma
 
Kama kuna mtu ana dojo kilimanjaro ani pm nahitaji mafunzo makali ya shotokan
 
satani hivi yupo maana nae manzese alikua noma miaka hiyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…