Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Wakikupania lazima ujute.Walikuwa Wana piga hao🤣😂
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakikupania lazima ujute.Walikuwa Wana piga hao🤣😂
Mh labda wenge lako tu, mi Nilikuwa namuona bado mdogoIla wazungu wanazeeka haraka, huyu jamaa nilidhani wa mwaka 75
Hiyo finishing Ni hatarii Sana.RIP Mr Sister AbiGail
Ali Hama shule mzee, au utoro uli kufanya usijue😂🙄R.i.P Classmates...😥
Nimekuwa mfatiliaji wa muda mrefu tangu ITV imeanza kurusha miaka ileKumbe babu nawe ulikuwa una fatilia mieleka🤣😂🤔
Ila wazungu wanazeeka haraka, huyu jamaa nilidhani wa mwaka 75
Kumbe jamaa alikuwa ni MbongoThe WWE universe has been thrown into a state of mourning following the demise of one of her sterling superstar and former World Champion, Bray Wyatt who passed on in the late hours of Thursday after battling with months of life threatening injuries.
Our thoughts remains with the WWE and in particular the Wyatt family at this time, may his soul Rest In Peace.
View attachment 2728137
View attachment 2728138
ACha kamba Basi🤣😂🤣🤣Kumbe jamaa alikuwa ni Mbongo
I hit you with Brock Lesnar.Some of my wwe I love most wa enzi zile.....
1.jeff hardy
2. John Cena
3.batista
4.Rom van Damme ( RVD)
5. Matty hardy
6.Undertaker
7.Ray my sterio
8.Roman reign
9.shawn Michael (roho ya paka)
10. Triple H
11. Booker T (king booker)
12. Christian
13.Koffi Kingston
14
15.
16.
17.
18.
19.
20
Kuna mazingira unaeza jiepusha nayo.- age ika enda mbeleDeath is 4 everyone no 1 can escape.
Jamaa alikuwa ana patia, sio kina Roman Wana boa Sana🤒daaah mwamba Wangu kabisa huyu
I always side up on villain hasa alipo kua anavaa Ile devil's mask
Kifo ni haki ya msingi ya kiumbe hai; huwezi kukikimbia, mwisho wa siku lazima ufe tu.Kuna mazingira unaeza jiepusha nayo.- age ika enda mbele
Dstv Wana official channel ya WWE, wafatilie Ni hatari.Nimekuwa mfatiliaji wa muda mrefu tangu ITV imeanza kurusha miaka ile
Hadi sasa naangalia, shida kuna Kijana wangu mmoja anapenda sana wasiwasi asije kupractice kwa Baba yake hapa niliyezeeka, maana nitakosa hata nafasi ya kuandika Urithi 🤪