Kommando muuza madafu
JF-Expert Member
- Aug 30, 2022
- 3,216
- 7,254
Sasa ndio anavaa vizuri hizo mask na kucheza ile character ya devil maana wapo wote sasa. Uzima na pumzi ya bure inadanganya sana watu.daaah mwamba Wangu kabisa huyu
I always side up on villain hasa alipo kua anavaa Ile devil's mask
Jeff hardy alikuwa na pacha wakeSome of my wwe I love most wa enzi zile.....
1.jeff hardy
2. John Cena
3.batista
4.Rom van Damme ( RVD)
5. Matty hardy
6.Undertaker
7.Ray my sterio
8.Roman reign
9.shawn Michael (roho ya paka)
10. Triple H
11. Booker T (king booker)
12. Christian
13.Koffi Kingston
14
15.
16.
17.
18.
19.
20
Matty hardy
Steroids imewamaliza wengi hata Chris Benoit ilichangia ukijumlisha kubamizwa bamizwa kichwani hupelekea damage kwenye brain.............Nafikiri ni steroids, zinawauwa wengi na kuwanyima nguvu za kiume wakifika 35.
Mkuu hivi ni vitu vizuri sana ukiwa kijana miaka ishirini hivi. Hujali chochote. Baadaye ubongo, miwili unapigwa kila siku kwa miaka kumi/ ishirini kutakuwa na damages hasa ubongoni.Steroids imewamaliza wengi hata Chris Benoit ilichangia ukijumlisha kubamizwa bamizwa kichwani hupelekea damage kwenye brain.............
Umenikumbusha Kifo Cha Eddie Guerrero
Pia Roman Van Damme (RVD) aliwai kupigwa super kick na Shawn Michael ikampa damage kwenye brain 🧠
Yaan BrockSema Brock huyu Ni zaidi ya monster🤒
Wa Shycom au Shybush?😂😂😂R.i.P Classmates...😥
Lane unamaanisha Kane?Batista
Lane ndugu yake Undertake
Edge
Umaga
Umaga aliwai kupigwa na Ray my sterio...Lane unamaanisha Kane?
Umaga nae alishapumzika kwa amani muda mrefu nae ni heart attack
Hapana mkuu, ni hapa mpigamiti ukipita kijiji cha ibologeloWa Shycom au Shybush?😂😂😂
Dah shisha hizi😂🤣🤣Tema mate chini mama dickson.....😓
Huyo dogo alikua mtu wangu wa karibu sana, maana wakati analetwa na babaake steji wani... mimi nilikua steji seveni ati ze sem akuuli...😥
Sio China mzee😂🤣Hapana mkuu, ni hapa mpigamiti ukipita kijiji cha ibologelo
Hauna adabu kwanza haujanisalia wakati ulipita sebleni ukiwa umevaa jinzi kama inataka kuanguka lakini ikawa ineishia kwenye magoti...🙁☹️Dah shisha hizi😂🤣🤣
Ume sahau nakutunzia Siri, jinsi ulivyo kuwa una mpigisha mswaki house girl🤣😂🤒Hauna adabu kwanza haujanisalia wakati ulipita sebleni ukiwa umevaa jinzi kama inataka kuanguka lakini ikawa ineishia kwenye magoti...🙁☹️
Rudisha sim ya mama yako haraka, usije ukaharibu mipango hapa..🤨Sio China mzee😂🤣
Vipi mna endelea viZuri huko uzunguni😂😁Rudisha sim ya mama yako haraka, usije ukaharibu mipango hapa..🤨
Kwanza tangu alipo letwa sijawahi kumuona ana nawa uso, kwahiyo nina uhakika hata huo mswaki hana...🙄Ume sahau nakutunzia Siri, jinsi ulivyo kuwa una mpigisha mswaki house girl🤣😂🤒