Mchezaji gani aliyefariki ulikuwa unamkubali sana?

Weka kumbukumbu sawa mwaka wa 1993 almarhumu said mwamba alikuwa bado ni mshambuliaji akisaidiwa na Eddy pamoja na mmachinga so asingeweza kumkaba musisi. Mwaka ambao mwamba alibadilika na kuwa kitasa ni mwaka wa 1998.Baada ya mechi nadhani ilikuwa na wanyarwanda au waganda mpaka half time tumekula thalatha (3)ndo akaona ujinga na kurudi mkoba mpaka tunanyanyua kwapa.
 
Morrison...
 
Nani anamkumbuka Machepe?mtangazaji wa radio Tz alisema haya pale alipofunga Simba against Yanga"Machepe anaichepea Yanga" ... alikuwa na umri mdogo , kipaji kikubwa lakini ndio hivyo mchezaji huyo aliyekuwa kipenzi Simba akapotea na kufariki mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…