Mchezaji gani aliyestafu ungependa arudi uwanjani

View attachment 496610mkuu huyo Garincha hajawahi kukiputa Madrid....labda km unazungumzia yule Stephen Mapunda Garincha aliyechezea Simba na Real Madrid ya Kolomije
Huko huko google. Huyo huyo garrincha,msome club alizochedhea. Mwanzo nilimix madesa rite now,I'm very sure na ninachokisema. Kapita juve na Madrid huyo
 
MwaArgentina huyu Alfredo de stefano__alikuwa ni balaa, jezi aliyovaa ni RIVER PLATE iliyobeba ubingwa amerika ya kusini mwaka jana kama sikosei wandugu. Ningetamani arudi

 
Huko huko google. Huyo huyo garrincha,msome club alizochedhea. Mwanzo nilimix madesa rite now,I'm very sure na ninachokisema. Kapita juve na Madrid huyo
Ubaya ni kwamba pamoja na ufundi wote na kipaji maridhawa alichobarikiwa na Mungu, Garrincha hakuwahi kucheza Ulaya.
 
Suker aling'aa World Cup ya mwaka 1998 pale Ufaransa.

Walishika nafasi ya tatu kama sikosei kulikuwa na fundi wa mpira aliyeitwa Zvonomir Boban jamaa alikuwa analijua kabumbu haswa ndio maana sikushangaa Haruna Moshi alipoiga jina la Boban.
Aisee kuna Watu huwa mna angalia vingi,yeah huyu Bonan naye ni moja ya mafundi wa mpira niliowahi kuwaona nikiwa na umri mdogo tu
 
Nimeshalisahau acha nilitafute aisee nijikumbushe
 
Haaa haaa haaa,hivi jamaa aliwahi kupewa kadi nyekundu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…