Hizi takwimu upo sahihi boss,acha nihakikishe idadi ya matchPia alipokuwa PSV Eindhoven msimu wake wa kwanza kabla hajapata injury alipiga goli 12 kati ya game 13, vile vile aliporudi msimu wa pili akiwa fiti alifunga goli 54 kati ya mechi 58 alizocheza msimu mzima.
Hata alipochukua tuzo ya pichich akiwa na barca alifunga goli 34 kati ya mechi 37 alizocheze za laliga.
Timu ya Taifa ya brazil ana goli 62 kati ya mechi 98 alizochezea.
Ebana kuna watu walizaliwa kufunga acha tu, sio akina geroud wanaocheza dakika 700+ alafu goli 5 tu.
Ndio Mara moja kwenye world cup ya 2010 dhidi ya ivory coast.Haaa haaa haaa,hivi jamaa aliwahi kupewa kadi nyekundu?
Pengine kweli kwa upande wako,acha niamini ninachokijua. Baki uamini unachokijua piaUbaya ni kwamba pamoja na ufundi wote na kipaji maridhawa alichobarikiwa na Mungu, Garrincha hakuwahi kucheza Ulaya.
Bila kuwasahauRichard mwanza
Eston mulenga
Derby makinka
Numba mwila
Moses chikwakwala
Kk eleven *R.I.P*
Hujui soka na bado katika zama hizi unaishi kijima. Kama huna uhakika google utuletee nondo jukwaani.Pengine kweli kwa upande wako,acha niamini ninachokijua. Baki uamini unachokijua pia
Ninge tamani kuwaona Eric Cantona,Thienry Henry, Zinedine Zidane,Ronaldo De Lima, Paul Scholes,David Beckam, Makerere Claud,Lilian Thuram,Kaka Ricardo,Paolo Maldin,Ruud Van Nistelrooy,Edger Davies,Nedved Pavel,Gaucho na Super Austin Jay Jay Okocha he was soo good that they named him twice,waliyafanya maisha yangu kuwa ya furaha kila nilipo watazama
Haya buanawalaa mimi fan wa everton[emoji23]