Mchezaji gani aliyestafu ungependa arudi uwanjani

Mchezaji gani aliyestafu ungependa arudi uwanjani

Zile chenga zake na mpira wa kutulia. Penati zake alivyokua anazichota

Nilikua nampenda sana,1998 aliiweka brazil kiganjani, aliwafanya kama watoto wake na kanzu za kumwaga kama hana akili, alaf kuna baadhi ya mijitu eti inadai players walipuliziwa dawa ya kuwalewesha, sijui ni kutokusoma ama ni nini!😀😀...tutammis sana zizzo
 
8744
Nilikua nampenda sana,1998 aliiweka brazil kiganjani, aliwafanya kama watoto wake na kanzu za kumwaga kama hana akili, alaf kuna baadhi ya mijitu eti inadai players walipuliziwa dawa ya kuwalewesha, sijui ni kutokusoma ama ni nini!😀😀...tutammis sana zizzo
5
 
At human Juma Chamaa aka Jogoo,Mohamed Alkhatib(Egypt), Roger Mills,Abed Pelle, Jay Jay Okocha, Diego Maradona,Pele WA Brazil,
 
LEO tukiwa tunaadhimisha miaka 37 ya kuzaliwa kwa Ronaldinho Gaucho, mmoja kati ya Wanasoka mahiri kuwahi kutokea katika uso wa Dunia.

Wengi wanaamini bado hakuna mchezaji aliyefanikiwa kuziba pengo lake licha ya uwepo wa Messi na Ronaldo, wapenda soka wote wanam-miss na wanatamani siku zingerudi nyuma ili Gaucho arudi uwanjani.

Je wewe ukiwa kama shabiki na mpenzi wa soka, kama siku zingerudi nyuma ni Mchezaji gani wa soka aliyestafu ungetamani umuone akisakata tena kabumbu?
Hivi Shehan Rashid hiki kifaa kilipotelea wapi?
 
manuel rui costa
45561_ori_rui_costa.jpg
 
Back
Top Bottom