Mchezaji gani Simba anaweza akaingia kwenye First Eleven ya Yanga?

Ni sawa na kuuliza ni mchezaji gani wa Bayern Munich anaweza kupata namba Arsenal...

Wanaojua soka wamenielewa...

Ni hatari kulinganisha timu ya kimataifa na ya mchangani...

Thread ingeleta mantiki kama ungeuliza ni wachezaji gani wa IHEFU wanaweza kupata nafasi YANGA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…