Mchezaji gani Simba anaweza akaingia kwenye First Eleven ya Yanga?

Mchezaji gani Simba anaweza akaingia kwenye First Eleven ya Yanga?

Yanga ni wakati wao wa kufurahi..Sisi Simba tuliyaishi hayo kwa miaka minne mtawalia..kuimba kupokezana!
Wakati wa kufurahi yanga mara nyingi huwaga katika awamu nne

1. Wakati wa usajili
Hapa furaha huwa inatuzidi tunashindwa kujizuia mpaka kumbeba boss pamoja na wachezaji juu juu pale airport

2. Siku ya mwananchi
Except kapumbu asicheze siku hiyo, ila ni siku yenye vibe sanaa na wachezaji huonesha vipaji vyao vya kuimba

3. Tukimfunga simba
Hii naweza sema ndio on top, hapa kwa wahindi nafananisha na sikukuu ya dilwale, mara nyingi huu ushindi unashangiliwa mwezi mzima hata kama tuliupata kwa penalty, na sisi kama mashabki wa yanga hatuvui jezi kwa kipindi cha wiki tatu tangu tupate huo ushindi

4. kuongoza ligi
Kama huja bahatika kuona yanga tuna furaha ni hii kuongoza ligi, ni sawa na msimu uliopita tuliongoza ligi tukiwa unbeaten na hakuna sad faces katika hizo moments.

Najua utakuwa unajiuliza mbona kama kuna kipengele nimekiruka hapo sijakiandika, najaribu kujiweka kwenye mawazo yako ku-picture unacho kiwaza kwamba kwanini sijaorodhesha swala la ubingwa kua ni moja ya furaha wanayoipata yanga .

Au kwanini sija orodhesha hatua ya kufika makundi club bingwa au robo fainali kuwa ni sehemu ya yanga kupata furaha, mzee hicho kitu ni ngumu ni sawa na kuunganisha stuli na meza kwa mategemeo ya kupata kitanda
 
Nimeshangazwa sana, kwamba Simba ambayo ipo hatua ya makundi ya CC haina mchezaji anayeweza kuingia kwenye first eleven ya timu ya mchangani. [emoji23]
Yanga hata kama wakiambiwa wapewe uwezo wa kumfunga simba kila mechi ila kwa condition moja tu hawachukui ubingwa, yanga watakubali kwasababu wana dhana moja wanaitumia kama comfort "mabingwa wa kihistoria"

Kwa hiyo hata kama watakosa ubingwa mara 20 mfululizo wao hawajali watatumia hilo neno hapo juu kama backup
 
Ni sawa na kuuliza ni mchezaji gani wa Bayern Munich anaweza kupata namba Arsenal...

Wanaojua soka wamenielewa...

Ni hatari kulinganisha timu ya kimataifa na ya mchangani...
Umejibu kikubwa sana [emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Hiyo ina maanisha kwamba uwepo wa GSM pale jangwani hauna faida yeyote zaidi ya kujinufaisha yeye binafsi
GSM ni moja ya wadhamini wa ligi kuu
wakati kanjibhai analalamika anapata hasara kila siku 😁😁
 
Wachezaji wa klabu kubwa kama simba hawawezi kuchezea klabu isiyo na malengo, klabu inayojali zaidi mechi ya tamasha kuliko mechi ya klabu bingwa.
Klabu kubwa kwa wapi? Hii hii iliyofurumushwa na wabotswana wacheza makhirikhiri?
 
Yanga hata kama wakiambiwa wapewe uwezo wa kumfunga simba kila mechi ila kwa condition moja tu hawachukui ubingwa, yanga watakubali kwasababu wana dhana moja wanaitumia kama comfort "mabingwa wa kihistoria"

Kwa hiyo hata kama watakosa ubingwa mara 20 mfululizo wao hawajali watatumia hilo neno hapo juu kama backup
Sasa mbona unalia lia kila siku kuhusu yanga? Team ndogo lakini bado inakuuma sana, ndugu zako ahly ahly si wapo? mchezaji kule kawekwa beki 😁
 
-Manula vs Djui, Manula[emoji736]
-Kapombe vs Djuma, Kapombe[emoji736]
-Tsabalala vs Mustafa/Kibwana/Brayson, Tshablala[emoji736]
-Job vs Enock Baka, Enock Baka[emoji736]
-Onyango Vs Mwamnyeto, Onyango[emoji736]
-Mkude Vs Khalid, Mkude(nungunungu anapiga pasi wewe acha masihara)[emoji736]
-Morrison vs Farid/Sogne/Saido, Morrison (all day everyday)[emoji736]
-Moloko Vs Kibu, Kibu[emoji736]
-Kagere Vs Fiston mayele, Kagere[emoji736]. Utakuwa mjinga kumchagua mayele dhidi ya kagere angalia stats i.e. goals/minutes played.
Pablo Vs Nabi, Pablo[emoji736]

Wachezaji wa yanga wataobaki ikiwa utachukua combined squad ya Yanga na Simba ni hawa hapa
-Feisal anawin kwa Sakho/Bwalya
- Bangala vs Sadio Kanoute, Bangala[emoji736] (Ila akirudi Lwanga aliye majeruhi Bangala atasubiri)

takwimu zinasemaje!?




Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
GSM ni moja ya wadhamini wa ligi kuu
wakati kanjibhai analalamika anapata hasara kila siku 😁😁
Usiishie kusema mdhamini kuna watu wanafatilia huu uzi na wengine wanatoka nchi tofauti na tanzania, unapozungumzia swala la udhamini jaribu kuambatanisha na hilo dau aliloweka

Wadau na wafatiliaji wa kutoka nchi zingine wanaweza kushtuka waka perceieve huo udhamini kwa angle kubwa ambayo inafanyika na wadhamini wa nchi zao wakaona jamaa katoa kibunda kumbe hela yenyewe imetoka kwenye kidosho

Hiyo hela ya udhamini hata vikoba vya huku mtaani vyenye watu 20 vina uwrzonwa kuimudu, hii nisawa na kugawa pipi kwa yatima halafu unawapiga sana mapicha kujionesha umewasaidia huku ukificha thamani ya msaada uliyotoa
 
Back
Top Bottom