Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
Haya ndio madhara ya kuzaliwa kwenye tigo na wazazi wako.Wewe anus una hoja za kujamba tu,miaka minne utopolo amefanya nini cha maana?
unakurupuka wala huelewi, utakuja ku mirindiwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya ndio madhara ya kuzaliwa kwenye tigo na wazazi wako.Wewe anus una hoja za kujamba tu,miaka minne utopolo amefanya nini cha maana?
Sio ligi wewe liutopolo.Klabu lako lilijiandaa zaidi na tamasha la siku yawananchi kuliko kujiandaaa dhidi ya rivers utd.Kiujumla ni kuwa unawashwa tu
Man City anashiriki UEFA lakini bado hapuuzii ligi kuu
lakini wewe kolo mmoja huna hata uwanja unadai ligi kuu ni tamasha, kwanza malengo gani hayo mnayosema kila mwaka na hayaonekani?
Mudi ametoa bei gani ya udhamini tuanzie hapa.Usiishie kusema mdhamini kuna watu wanafatilia huu uzi na wengine wanatoka nchi tofauti na tanzania, unapozungumzia swala la udhamini jaribu kuambatanisha na hilo dau aliloweka
Wadau na wafatiliaji wa kutoka nchi zingine wanaweza kushtuka waka perceieve huo udhamini kwa angle kubwa ambayo inafanyika na wadhamini wa nchi zao wakaona jamaa katoa kibunda kumbe hela yenyewe imetoka kwenye kidosho
Hiyo hela ya udhamini hata vikoba vya huku mtaani vyenye watu 20 vina uwrzonwa kuimudu, hii nisawa na kugawa pipi kwa yatima halafu unawapiga sana mapicha kujionesha umewasaidia huku ukificha thamani ya msaada uliyotoa
haya wabotswana makhirikhiri walipowafurumusha kwa kipigo cha mbwa mwizi. mpka huko shirikisho shida yenu ilikuwa nini?Sio ligi wewe liutopolo.Klabu lako lilijiandaa zaidi na tamasha la siku yawananchi kuliko kujiandaaa dhidi ya rivers utd.
Tulia we mtopolo. Unareply kama kichwani kwako kuna Nnya.Umeandika kama hauna kichwa
Injinia hersi anapata faida?GSM ni moja ya wadhamini wa ligi kuu
wakati kanjibhai analalamika anapata hasara kila siku 😁😁
Wakati ikiwa bora..kwa sasa haiwezi kulinganishwa na YangaWachezaji wa Simba awawezi kucheza kwenye timu za matopeni bondeni uko kwenye mafuriko
Wakacheze timu hata kimataifa haimo!
Makolo huwa mnatia aibu sanaTimu inayocheza local ligi inapojilinganisha na timu inayoshiriki mashindano ya kimataifa
Injinia ni mmoja ya mabosi tu halipi mdhaminiInjinia hersi anapata faida?
Hapa umeongea kisoka!! Ukweli ni kwamba, mwaka huu hata kama Simba atachukua ubingwa bado Yanga pia alikuwa ana-deserve ubingwa! Lakini kama miaka 3 hadi 4 nyuma Yanga angechukua ubingwa basi tungechukua ubingwa bila ku-deserve ubingwa! Na miaka 3-4 nyuma ndipo nilipo-conclude kwamba ligi yetu ni nyepesi sana manake hatukustahili hata kushika hiyo nafasi ya 2; na pale tuliposhika nafasi ya 2 basi ilibidi tuipate kwa mbinde lakini haikuwa hivyo!Yanga ni wakati wao wa kufurahi..Sisi Simba tuliyaishi hayo kwa miaka minne mtawalia..kuimba kupokezana!
Sasa anakuja vipi kutuambia timu za simba na ya yanga ni hasara kila mwaka?Injinia ni mmoja ya mabosi tu halipi mdhamini
Shida ni kwamba huu ni msimu mbaya kwetu ila tunashiriki shirikisho. Msimu mzuri najua unajua huwa tunakuwaje. Ila kwa utopolo kuongoza ligi tu ni msimu mzuri. Hakika luc hakukosea.haya wabotswana makhirikhiri walipowafurumusha kwa kipigo cha mbwa mwizi. mpka huko shirikisho shida yenu ilikuwa nini?
Kashazeeka,mwaka huu mwezi wa 4 tu hapo hamna kitu hapoManula
Nadhani alitaka kubalance tu lakini ukweli ni kuwa simba inaendeshwa kwa hasaraSasa anakuja vipi kutuambia timu za simba na ya yanga ni hasara kila mwaka?
From mikia wanajulikana. Wanajifanyaga kuikana ligi yao tu wakishikwa makalioniNdo maana mpira wa bongo huwa naangalia nikikosa tu mishe za kufanya maana sio kwa vituko hivi [emoji23].
Kwanza hakuna siku mliyowahi kuwa vizuri, ni vile hapa kati kati tuliteterekaShida ni kwamba huu ni msimu mbaya kwetu ila tunashiriki shirikisho. Msimu mzuri najua unajua huwa tunakuwaje. Ila kwa utopolo kuongoza ligi tu ni msimu mzuri. Hakika luc hakukosea.
Takwimu ndio zinaongea sio wewe utopolo.Kwanza hakuna siku mliyowahi kuwa vizuri, ni vile hapa kati kati tulitetereka
hakika rage hakukosea
Ukiangalia mechi za Yanga za miaka ya nyuma 3_4 ivi, utacheka sana. Yaan ilikuwa papatu papatu, butua butya ilimradi tu. Ndo maana jina utopolo likaibuka.Hapa umeongea kisoka!! Ukweli ni kwamba, mwaka huu hata kama Simba atachukua ubingwa bado Yanga pia alikuwa ana-deserve ubingwa! Lakini kama miaka 3 hadi 4 nyuma Yanga angechukua ubingwa basi tungechukua ubingwa bila ku-deserve ubingwa! Na miaka 3-4 nyuma ndipo nilipo-conclude kwamba ligi yetu ni nyepesi sana manake hatukustahili hata kushika hiyo nafasi ya 2; na pale tuliposhika nafasi ya 2 basi ilibidi tuipate kwa mbinde lakini haikuwa hivyo!
Yanga inapata faida? Maajabu hayaNadhani alitaka kubalance tu lakini ukweli ni kuwa simba inaendeshwa kwa hasara
Mo hapendi shobo za kufanya udhamini ili kujitengenezea uwepesi kwenye ligiMudi ametoa bei gani ya udhamini tuanzie hapa.