Afisa Tabibu
JF-Expert Member
- Oct 29, 2021
- 511
- 848
Sas wanafurahia nini? Hadi mwisho wa msimu ndo tutajua atakayecheka sanaYanga ni wakati wao wa kufurahi..Sisi Simba tuliyaishi hayo kwa miaka minne mtawalia..kuimba kupokezana!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sas wanafurahia nini? Hadi mwisho wa msimu ndo tutajua atakayecheka sanaYanga ni wakati wao wa kufurahi..Sisi Simba tuliyaishi hayo kwa miaka minne mtawalia..kuimba kupokezana!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Magazeti ambayo yalimpamba Yikpe Nyamiee?Jibu hili apaView attachment 2065809
Kumbuka hili sio gazeti la yanga.....ni mwanaspotMagazeti ambayo yalimpamba Yikpe Nyamiee?
Ujinga mtupu, kinachowasumbua mashabiki wa Yanga ni kutoona mambo haya kwa muda mrefu zaidi, na ubingwa hawachukui.
Ndo maana nasema kuruta hujawahi kuwa na akili umezoea kuswagwa kama mfugo.Huna akili wewe, mkataba wa jezi Yanga kama timu inapata kiasi cha sh. 1,300/= tu.
GSM ndiyo anachukua pesa nyingi, timu za simba na Yanga bado haziingizi faida badala yake zinajiendesha kwa hasara tu.
Kumbe umejawa wivu mtupu na hasira kama andazi liljlovimba kwa hamira.Magazeti ambayo yalimpamba Yikpe Nyamiee?
Ujinga mtupu, kinachowasumbua mashabiki wa Yanga ni kutoona mambo haya kwa muda mrefu zaidi, na ubingwa hawachukui.
Jibu hili apaView attachment 2065809
Kumbuka hili sio gazeti la yanga.....ni mwanaspot
Pesa ya uwanja imefika sh ngapi?Kila kwenye jezi moja inayouzwa Yanga anapata sh ngapi?
Pasi zinatakiwa zipigwe wapi?Pasi 700 afu zote zinapigwa kwenye eneo lao
Kutoka eneo lenu mpaka eneo la upinzani huku mnapiga vyengaPasi zinatakiwa zipigwe wapi?
Aya kakojoe ukalale sasa tume kusikia.Hakuna mwana Simba yoyote kwa Sasa anayetamani kukutana na Yanga, kuanzia MO mbaka mfua jezi wa timu. Hii Yanga itainyanyasa Sana Simba msimu huu.
Kwa mara ya Kwanza nimeiona Simba Ina paki basi dhidi ya Yanga, yaa ni Kagere ana anza kukabia katikati ya uwanja timu yote ime paki nyuma lakini bado onyango na Manura walikua wakipoteana.
Dhumuni la kupiga pasi ni lipi? Je Yanga haifungi?Kutoka eneo lenu mpaka eneo la upinzani huku mnapiga vyenga
Sio mpira mnacheza kwenye lango lenu halafu mnakuja kuvimba eti mmepiga pasi nyingi
Pesa ya uwanja imefika sh ngapi?
ChamaHeri ya mwaka mpya wanamichezo!
Mchezaji gani wa Simba a.k.a Makolo ambaye anaweza akaingia kwenye first eleven ya Yanga? Kama yupo mtaje kuna hesabu napiga hapa