Mchezaji gani Simba anaweza akaingia kwenye First Eleven ya Yanga?

Mchezaji gani Simba anaweza akaingia kwenye First Eleven ya Yanga?

Ukiangalia mechi za Yanga za miaka ya nyuma 3_4 ivi, utacheka sana. Yaan ilikuwa papatu papatu, butua butya ilimradi tu. Ndo maana jina utopolo likaibuka.
Ukweli ni kwamba tulikuwa kwenye hali ngumu!! Eti mastraika wetu ni pamoja na akina Yikpe na Molinga bila kumsahau Mapinduzi Balama!! Huyo Molinga alivyokuwaga na nyodo kwa kujiona top straika sasa 😂😂😂
 
Trust kwa kikosi cha Yanga Cha mwaka huu, Labda Zimbwe tu... Ila karibia wachezaji wote pale Simba hakuna anayeweza kuingia first 11 ya Yanga..
Kwanza wachezaji wetu wengi Simba umri umewatipa Mkono..
Mimi ni Simba damu kabisa Ila hii Yanga ya Mwaka huu watcha wachukukuwe tu makombe yote hapa Bongo wanastahili kongole kwao
 
Ni sawa na kuuliza ni mchezaji gani wa Bayern Munich anaweza kupata namba Arsenal...

Wanaojua soka wamenielewa...

Ni hatari kulinganisha timu ya kimataifa na ya mchangani...

Thread ingeleta mantiki kama ungeuliza ni wachezaji gani wa IHEFU wanaweza kupata nafasi YANGA.
Sasa Ihefu na Kolos FC so Bora Ihefu jamani
 
Heri ya mwaka mpya wanamichezo!

Mchezaji gani wa Simba a.k.a Makolo ambaye anaweza akaingia kwenye first eleven ya Yanga? Kama yupo mtaje kuna hesabu napiga hapa

Utopolo hebu kwanza jitahidini walau katika mechi za Kimataifa mfunge hata goal moja hata kama hamshindi,ndiyo mje na hizi hadithi zenu za first eleven
 
Ukweli ni kwamba tulikuwa kwenye hali ngumu!! Eti mastraika wetu ni pamoja na akina Yikpe na Molinga bila kumsahau Mapinduzi Balama!! Huyo Molinga alivyokuwaga na nyodo kwa kujiona top straika sasa 😂😂😂
I hope kuna watu walikua wananufaika at the expense ya klabu. Wanatumia hela ndogo kusajili huku zingne zikiingia mifukoni mwao.

Makolo wametamba sana, but this time around bado ligi ngumu, tuone nani atasimanishwa kati kati hapo maana na yenyewe bado yanakaza kamba.
 
I hope kuna watu walikua wananufaika at the expense ya klabu. Wanatumia hela ndogo kusajili huku zingne zikiingia mifukoni mwao.

Makolo wametamba sana, but this time around bado ligi ngumu, tuone nani atasimanishwa kati kati hapo maana na yenyewe bado yanakaza kamba.
Hilo la upigaji kupitia usajili lipo sana lakini kwa upande mwingine, tusisahau hicho ni kile kipindi cha baada ya kutoka Manji na Yanga tukawa tunategemea bakuli! Mbaya zaidi, wakati sisi tunategemea bakuli, wenzetu Makolo walikuwa njema mno kutokana na pesa iliyokuwa inatolewa na Mwamedi!!
 
Yanga inapata faida? Maajabu haya
Ndio kwa sasa yanga inaingiza faida mauzo ya jezi, Brand inakua kubwa siku hadi siku, mishahara inalipwa kwa wakati tofauti na mwanzo kwako faida ni ipi
maana GSM mdhamini anauza biashara zake kupitia yanga.
 
Ndio kwa sasa yanga inaingiza faida mauzo ya jezi, Brand inakua kubwa siku hadi siku, mishahara inalipwa kwa wakati tofauti na mwanzo kwako faida ni ipi
maana GSM mdhamini anauza biashara zake kupitia yanga.
Sasa katika ulivyoviorodhesha vyote simba anavifanya tena simba yupo level za robo fainali caf cl iweje apate hasara?
 
Ni sawa na kuuliza ni mchezaji gani wa Bayern Munich anaweza kupata namba Arsenal...

Wanaojua soka wamenielewa...

Ni hatari kulinganisha timu ya kimataifa na ya mchangani...

Thread ingeleta mantiki kama ungeuliza ni wachezaji gani wa IHEFU wanaweza kupata nafasi YANGA.
Thread closed
 
Heri ya mwaka mpya wanamichezo!

Mchezaji gani wa Simba a.k.a Makolo ambaye anaweza akaingia kwenye first eleven ya Yanga? Kama yupo mtaje kuna hesabu napiga hapa
Manula, kapombe, shabalala, inonga, onyango, mkude, sakho, kanoute, mugalu, bwalya, morison... hii ni timu nzima ya yanga itakaa benchi...
Sub:
 
Heri ya mwaka mpya wanamichezo!

Mchezaji gani wa Simba a.k.a Makolo ambaye anaweza akaingia kwenye first eleven ya Yanga? Kama yupo mtaje kuna hesabu napiga hapa
Bado mnasafari ndefu sana
IMG-20211214-WA0018.jpg
IMG-20211214-WA0014.jpg
IMG-20211214-WA0015.jpg
 
Ndio kwa sasa yanga inaingiza faida mauzo ya jezi, Brand inakua kubwa siku hadi siku, mishahara inalipwa kwa wakati tofauti na mwanzo kwako faida ni ipi
maana GSM mdhamini anauza biashara zake kupitia yanga.
Huna akili wewe, mkataba wa jezi Yanga kama timu inapata kiasi cha sh. 1,300/= tu.

GSM ndiyo anachukua pesa nyingi, timu za simba na Yanga bado haziingizi faida badala yake zinajiendesha kwa hasara tu.
 
Mazuzu wanaanzisha uzi wa kutekenyana na kuchekeshana , kupeana like.

Ratiba ya Makundi kombe la Shirikisho Africa na Ile ya kombe la Mapinduzi ilishatoka.
 
Back
Top Bottom