Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Hiyo ya 701 iliyoleta goli ni baada ya dodomo jiji kujifungaYap na pass ya 701 anapiga ndefu na kukufunga
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo ya 701 iliyoleta goli ni baada ya dodomo jiji kujifungaYap na pass ya 701 anapiga ndefu na kukufunga
Mchezaji kuwekwa beki ni jambo la kufurahia kuwa na mchezaji mwenye multtalentSasa mbona unalia lia kila siku kuhusu yanga? Team ndogo lakini bado inakuuma sana, ndugu zako ahly ahly si wapo? mchezaji kule kawekwa beki 😁
We inaonekana mgeni, hukumsikia hersi juzi kati naye analalamika kuwa anapata hasara?GSM ni moja ya wadhamini wa ligi kuu
wakati kanjibhai analalamika anapata hasara kila siku 😁😁
Malengo ya klabu na aina ya mashindano klabu inayoshiriki ndio ukubwa wa klabu. Sasa klabu inajiandaa zaidi na tamasha kuliko mechi ya klabu bingwa, sasa hiyo nayo utaita klabu kubwa?Klabu kubwa kwa wapi? Hii hii iliyofurumushwa na wabotswana wacheza makhirikhiri?
Una mashabiki ndezi sana na wapo wengi kwelikweliNdo maana mpira wa bongo huwa naangalia nikikosa tu mishe za kufanya maana sio kwa vituko hivi [emoji23].
Ndio hivyo mkuu afu wamefunga goli 20 mpaka sasa! Kama pasi za nyuma zinafunga magoli mengi hivi acha wapige tuPasi 700 afu zote zinapigwa kwenye eneo lao
"Change is the only thing that is permanent" anonymous.Form is temporary, class is permanent. Bila shaka ume maanisha hivyo.
Ipi ligi ya walemavu walioshindwa kupambana vya kutosha.Nimeshangazwa sana, kwamba Simba ambayo ipo hatua ya makundi ya CC haina mchezaji anayeweza kuingia kwenye first eleven ya timu ya mchangani. [emoji23]
Umeua sisimizi kwa nyundo mkuu-Manula vs Djui, Manula[emoji736]
-Kapombe vs Djuma, Kapombe[emoji736]
-Tsabalala vs Mustafa/Kibwana/Brayson, Tshablala[emoji736]
-Job vs Enock Baka, Enock Baka[emoji736]
-Onyango Vs Mwamnyeto, Onyango[emoji736]
-Mkude Vs Khalid, Mkude(nungunungu anapiga pasi wewe acha masihara)[emoji736]
-Morrison vs Farid/Sogne/Saido, Morrison (all day everyday)[emoji736]
-Moloko Vs Kibu, Kibu[emoji736]
-Kagere Vs Fiston mayele, Kagere[emoji736]. Utakuwa mjinga kumchagua mayele dhidi ya kagere angalia stats i.e. goals/minutes played.
Pablo Vs Nabi, Pablo[emoji736]
Wachezaji wa yanga wataobaki ikiwa utachukua combined squad ya Yanga na Simba ni hawa hapa
-Feisal anawin kwa Sakho/Bwalya
- Bangala vs Sadio Kanoute, Bangala[emoji736] (Ila akirudi Lwanga aliye majeruhi Bangala atasubiri)
takwimu zinasemaje!?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Goli 20 ilikua lazima zifike maana siku hizi hata refa pia ana assistNdio hivyo mkuu afu wamefunga goli 20 mpaka sasa! Kama pasi za nyuma zinafunga magoli mengi hivi acha wapige tu
Kiujumla ni kuwa unawashwa tuMalengo ya klabu na aina ya mashindano klabu inayoshiriki ndio ukubwa wa klabu. Sasa klabu inajiandaa zaidi na tamasha kuliko mechi ya klabu bingwa, sasa hiyo nayo utaita klabu kubwa?
ahly alhy wameingiaje hapa haya ndio madhara ya kuwa kuruta.Ukiwa umevimbiwa dona la maharagwe unaweza kuamua tu kusema; HAKUNA MCHEZAJI WA AL AHLY ATAPATA NAMBA YANGA.
Yanga bado timu isiyo na exposure wala experience kimataifa kuizidi hata Namungo ya Ruangwa kwa Majaliwa.
Ndio mimi ni mgeni natokea ukoloni.We inaonekana mgeni, hukumsikia hersi juzi kati naye analalamika kuwa anapata hasara?
Kilichowafanya msipige hizo pasi mlipokutana na wale wanaijeria ni nini?Hakuna we kama tu kutoa sare wanashangilia Hadi leo hawaamini nani ataweza penya kwenye hilo kosi linalopiga pasi 700 kwa gemu Moja
Wewe anus una hoja za kujamba tu,miaka minne utopolo amefanya nini cha maana?Kiujumla ni kuwa unawashwa tu
Man City anashiriki UEFA lakini bado hapuuzii ligi kuu
lakini wewe kolo mmoja huna hata uwanja unadai ligi kuu ni tamasha, kwanza malengo gani hayo mnayosema kila mwaka na hayaonekani?
Umeandika kama hauna kichwa-Manula vs Djui, Manula[emoji736]
-Kapombe vs Djuma, Kapombe[emoji736]
-Tsabalala vs Mustafa/Kibwana/Brayson, Tshablala[emoji736]
-Job vs Enock Baka, Enock Baka[emoji736]
-Onyango Vs Mwamnyeto, Onyango[emoji736]
-Mkude Vs Khalid, Mkude(nungunungu anapiga pasi wewe acha masihara)[emoji736]
-Morrison vs Farid/Sogne/Saido, Morrison (all day everyday)[emoji736]
-Moloko Vs Kibu, Kibu[emoji736]
-Kagere Vs Fiston mayele, Kagere[emoji736]. Utakuwa mjinga kumchagua mayele dhidi ya kagere angalia stats i.e. goals/minutes played.
Pablo Vs Nabi, Pablo[emoji736]
Wachezaji wa yanga wataobaki ikiwa utachukua combined squad ya Yanga na Simba ni hawa hapa
-Feisal anawin kwa Sakho/Bwalya
- Bangala vs Sadio Kanoute, Bangala[emoji736] (Ila akirudi Lwanga aliye majeruhi Bangala atasubiri)
takwimu zinasemaje!?
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Ahly ahly wanacheza CAF nyie chezeni na kina mimosas na gor mahia.simba wapo shirikisho africa, ni ya 12 katika caf rankings. level ya simba ni kina alhaly acheni kujisahaulisha. mnakisa heshima sababu tupo nchi moja
KMC mlimfunga Ngapi?Hili swali hua hawataki kabisa kuliskia. Hua wanatukana sana.