Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aisee yaani hamna timu kabisaSimba Bado ni team changa
Yaani hamna kituHilo swala lipo wazi
WajeNgoja GENTAMYCINE na CPA wa mchongo aka mhasibu OKW BOBAN SUNZU waje.
Nikiwa na kama shabiki, maanachama na mwanaSIMBA umesema kweli tupu.Kama kichwa Cha habari kinavyosema Kwa Kila nikiangalia kikosi Cha wachezaji wa 5imba wanavyocheza nasema hamna mchezaji hata mmoja wa 5imba anaeweza kuingia first eleven ya yanga na ikibidi hata benchi sioni mchezaji wa simba akikaa benchi aisee hii timu inacheza kama WALEVI yaani yanaenda enda tu kama mazombi ndio maana yalipigwa 5 aisee kiufupi Kwa hili soka la tanzania yanga atabeba ubingwa mara 10 mfulilizo na hii naisema serious nimeshamaliza kuchambua tanzania hamna timu ya kupambana na yanga
Chama sio first eleven Yanga.Mwaka 2024
Chama first eleven.....Yanga
Fredi...................................USM Alger
Kanute...........................Js Kabylie
Barbakar........... Sar Js Kabylie
Innonga...........As Far Rabat
Onana...........Al-Hilal Benghaz
.........
Gwede........... Singida United
Romalisa....... As Lupopo
Bench warmer aka squad player.Chama sio first eleven Yanga.
Kolo hilo unalifahamu vizuri sana ila unajitoa ufahamu.
Kama Chama ni first eleven tuambie anamuweka nani benchi?
Ukiona Chama kaanza ujue profesa Gamondi hajaipa umuhimu hiyo mechi.
Che Malone Fondoh kwa Dickson Job/ Mwanyeto.Heri ya mwaka mpya wanamichezo!
Mchezaji gani wa Simba a.k.a Makolo ambaye anaweza akaingia kwenye first eleven ya Yanga? Kama yupo mtaje kuna hesabu napiga hapa
mana anaingia hapo. malone hata mwanyeto amkalishi benchi. beki ana leak magori kibao. last season na beki bora wa Congo kala 5. kuwa serious.Che Malone Fondoh kwa Dickson Job/ Mwanyeto.
Debra Fernandez kwa Duke Abuya/ Mudathir Yahya.