Mchezaji kutokea Colombia anayetarajiwa kusajiliwa na Simba ni Galasa wa kutupa

Mchezaji kutokea Colombia anayetarajiwa kusajiliwa na Simba ni Galasa wa kutupa

Hii Nchi Kila eneo Kuna wahuni, Yaani kweli ukamlete mchezaji wa ligi ya daraja la kwanza kutoka Colombia, Chile. Peru n.k anaye cheza kama winga au mshambuliaji Tangu 2016 mpaka Leo 2023 anagoli 10 aje alete mabadiliko kwenye timu Yako apa Tanzania?
Ata kama mmewaona mashabiki wenu ni ma mbumbumbu lakini si kwa level hizo jamani.
Awa mbumbumbu ni WA Tanzania wenzetu msi wanyanyase kwa kiwango mnachotaka kuwafanyia.
Mpira ni sehemu ya furaha Yao katika maisha
Hii aina tofauti na mkataba wa kufua umeme wa Richmond [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Umesema ukweli ndugu ubarikiwe, maan kuna wafia timu hapa wanatamani hat kunipiga makofi baad ya kuuanika ujinga unaoendelea.
 
Habari Wakuu,

nimeona nisiwe mnafiki kuwahabarisha mapema juu ya ujio wa huyu Miquissone mwingne aliyechangamka asije mkasema ohhh wana JF nyie ni watafiti mmeshindwa kufatilia Data za huyu mtu mkatuambia mapema tusiweke tumaini hewa juu ya huyu mtu.

Hii "Colombia invasion" itakuja kumuingiza mtu mkenge maana Baad ya kupata tetesi za usajili wa huyu mchezaji anayechezea klabu ya comerciantes Ligue 2, ikabidi niingie Chimbo kutafuta data za huyu mtu maan dunia ni kama kijiji.....La haula nilichokutana nacho kinasikitisha pamoja na kukera kwa pamoja,

Huyo mchezaji ni ana historia mbaya kwenye career yake sijapata ona, kwanza tangu kaanza kucheza mpira katika maisha yake mnamo mwaka 2016 mpaka leo hii 2023 ana idadi ya magoli 10 tu, Ndiyo hujasoma vibaya ni (Magoli 10) tu, cha kusikitisha zaidi huyu mtu ni straika.

Na cha kusikitisha zaidi Mwaka huu 2023 kacheza jumla ya mechi 22 Ila ana magoli 2 pekee Assist 0, ila cha kustajabisha zaidi Mchezaji huyu ana Kadi za njano Tatu mwaka huu ambazo ni nyingi kuliko idadi yake ya magoli.,

Kiufupi hakuna mchezqji hapo labda atakuja kubadilika kwenye ligi letu ila kiufupi tusijiwekee matumani makubwa endapo mchezaji huyu akisajiliwa Simba, Mimi ni shabiki wa Simba ila huu uhuni umeniumiza sana

Kuhusu yule mchezaji wa Colombia Franklin cannavaro aliyesajiliwa na Azam huyo yeye ndo nimetafuta Data zake hadi simu ilikuwa imejaa chaji mia mpaka ikaisha ila sijaziona.

Chini ni Picha za rekodi kuhusu Mchezaji anayetarajiwa kusajiliwa na Simba.


View attachment 2856398View attachment 2856401View attachment 2856402vvView attachment 2856404
we umejuaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mafanikio ya mwiko nyuma ni kupiku simba rank za Caf na sio kuchukua ubingwa wa CAFCL au CAFC?
Ili kuonekana umekuwa Giant ni lazima Kupanda ranking na sio kubeba tu kombe mara moja na kuludi katk form ya kawaida,

kubeba kombe linaweza kutokea tu kwa yoyote hata Leicester alishafanya hivyo ila shida inakuja kwenye Kutengeneza Continuously Winning Form na kutengeneza Top class team hapo ndo shida inapoanzia,

Ukifanikiwa tu kubeba kombe alafu ukaingia mitini hata kwenye ranking za vilabu Top ten haupo,... hapo ni sawa tu na umebahatisha kama Leicester.
 
[emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706][emoji706]
Simba janja janja nyingi sana. Naombea wamlete tu alafu tuzid kupoteza. Kuwa Giants of africa tunahtaj watu kwel kwel
 
Ili kuonekana umekuwa Giant ni lazima Kupanda ranking na sio kubeba tu kombe mara moja na kuludi katk form ya kawaida,

kubeba kombe linaweza kutokea tu kwa yoyote hata Leicester alishafanya hivyo ila shida inakuja kwenye Kutengeneza Continuously Winning Form na kutengeneza Top class team hapo ndo shida inapoanzia,

Ukifanikiwa tu kubeba kombe alafu ukaingia mitini hata kwenye ranking za vilabu Top ten haupo,... hapo ni sawa tu na umebahatisha kama Leicester.
Nipe rank ya berkane na mazembe hapa afrika
 
Ligi ya Colombia ndo unalinganisha na ya Tz
Kwahyo ukiwa ligi gumu ndo mshambuliaji inabidi usifunge utoke na Magoli 2 tu katka mechi 22 kwasababu Ligi ni gumu sana ?? Aisee we jamaa umeanza kufatilia mpira ukiwa na umri gani ? Au ulimuachia simu mtoto ndo akaandika hivi
 
Tuonyeshe ushahid wa hilo usemalo, pia hata kama ni Winga basi nionyeshe Rekodi zake za Assist maana kwa rekodi zilizopo huyo mtu hana Assist hata moja msimu huu
Screenshot_20231229-170402_Pixel Launcher.png


Source

Ana goli 2 assist 3.

Na sio Kila winga role yake ni kutoa assist Kuna aina nyingi za wachezaji wanaotumika mifumo tofauti tofauti.
 
Hii Nchi Kila eneo Kuna wahuni, Yaani kweli ukamlete mchezaji wa ligi ya daraja la kwanza kutoka Colombia, Chile. Peru n.k anaye cheza kama winga au mshambuliaji Tangu 2016 mpaka Leo 2023 anagoli 10 aje alete mabadiliko kwenye timu Yako apa Tanzania?
Ata kama mmewaona mashabiki wenu ni ma mbumbumbu lakini si kwa level hizo jamani.
Awa mbumbumbu ni WA Tanzania wenzetu msi wanyanyase kwa kiwango mnachotaka kuwafanyia.
Mpira ni sehemu ya furaha Yao katika maisha
Hii aina tofauti na mkataba wa kufua umeme wa Richmond [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Hahaaaaa, umeandika kwa kutia huruma sana bro.
 
View attachment 2856680

Source

Ana goli 2 assist 3.

Na sio Kila winga role yake ni kutoa assist Kuna aina nyingi za wachezaji wanaotumika mifumo tofauti tofauti.
Kwahyo mkuu kwa Mtu kufunga magoli 2 na assist 3 katika mechi 22 wewe unaona ni kawaida kabsa Na unahisi anaweza kuisaidia timu kubeba kombe ? Sasa si bora ya Ntibazonkiza tu
 
Back
Top Bottom