Mchezaji kutokea Colombia anayetarajiwa kusajiliwa na Simba ni Galasa wa kutupa

Mchezaji kutokea Colombia anayetarajiwa kusajiliwa na Simba ni Galasa wa kutupa

Ni kweli bado hajasajiliwa ila Simba wametuma ofa ya kumnunua mazungumzo bado yanaendelea kwa pande zote mbili,

Kuhus kwamba sio striker, basi tunakuomba ulete ushahidi wako wa kuonyesha nafasi sahihi ya huyo mchezaji, maan mm nmeweka ushahidi wa Source ya kuaminika kabsa ya Wikipedia na wew leta yako.

Umesema kuhus kuingia Wikipedia na kumuongezea au kumpunguzia takwimu basi jaribu kufanya hivyo kam ni rahisi kias hicho, na kingne ni mtanzania gani aatanza kuhangaika kufeki data za Mchezaji wa Ligi daraja la pili la huko Peru ?

Ukiangalia hizo data za Wikipedia inaonyesha mwisho wa Kuwekwa ilikuwa July mwaka huu kipindi hicho hata Tetesi za kusajiliwa kwake hazikuwepo na hata Simba yenyewe ilikuwa haijatuma ofa yoyote kwake.
Umbumbumbu ni kipaji, haelimiki
 
UTOPOLO FC shida yao kuona Simba anasajili wachezaji wa rank za chini na sio za juu kama Colombia nk.

Hakuna mchezaji aliyesajiliwa simba utopolo wakamkubali.
 
Inakera kwakweli. Halafu Okrah huyoooo kwa Watopolo. Akifanya vizuri huko sura zetu sijui tutazificha wapi tu.
Mi mpaka sasa sina hamu ya kwenda kiwanjani,miaka miwili mfululizo hamna kombe, na bado hamna matumaini mwaka huu, miaka miwili yote bado timu inajitafuta ni fukuza fukuza na usajili wa hovyo halafu viongozi ni wale wale

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii sasa ndo shida ya mashabiki wa Simba na Yanga watu ukweli hawapendagi kabsa kuuskia.
Ulichokiandika wala sio ukweli bali ni ujuaji wako tu wa kawaida wakibongo,wa kila mtu kujifanya anajua kila kitu.mchezaji ata hajafika umeshasema ni gharasa kisa tu umeangalia uko mitandaoni.
 
Hii Nchi Kila eneo Kuna wahuni, Yaani kweli ukamlete mchezaji wa ligi ya daraja la kwanza kutoka Colombia, Chile. Peru n.k anaye cheza kama winga au mshambuliaji Tangu 2016 mpaka Leo 2023 anagoli 10 aje alete mabadiliko kwenye timu Yako apa Tanzania?
Ata kama mmewaona mashabiki wenu ni ma mbumbumbu lakini si kwa level hizo jamani.
Awa mbumbumbu ni WA Tanzania wenzetu msi wanyanyase kwa kiwango mnachotaka kuwafanyia.
Mpira ni sehemu ya furaha Yao katika maisha
Hii aina tofauti na mkataba wa kufua umeme wa Richmond [emoji2957][emoji2957][emoji2957]
Unataka wachezaji wakubwa wakuleta mabadiliko bongo hii hii yenye ujinga mwingi hivi.utasubiri sana.hao wanaokuja ndio level zetu kwa sasa.tena hapo tumepiga hatua kubwa mno.tushukuru ata kwa hao wanaokubali kuja kucheza uku kwenye ligi yetu ya timu mbili na viwanja vibovu na marefa wa mchongo plus tiiiiiifufuuu
 
Back
Top Bottom