Mchezaji mahiri na muhimu Yanga SC Kelvin Yondan akosa mazoezi kisa 'chai' huko mkoani Mwanza

Mimi sina timulakini nashangaa inakuwaje mwenye njaa anakipiga kimataifa na matajiri wanazurura tu humu inchini!
 
Popoma katika ubora wake!
 
umesoma gazeti au umesikia vichwa vya habari redioni
 
Mimi sina timulakini nashangaa inakuwaje mwenye njaa anakipiga kimataifa na matajiri wanazurura tu humu inchini!

Everton na Leicester ni Matajiri wanazurura uengereza tu lakini Genk ya Kina Samatta inatamba Ulaya na Liverpool! What's your point?
 
umesoma gazeti au umesikia vichwa vya habari redioni

Swali lako umeuliza kama vile uko Chooni sasa ama Unakunya au Unaharisha hivyo nakuomba maliza Kwanza na hiyo Huduma yako ya Kibinadamu uliyonayo na ukimaliza na Kujiona Akili zimekurudi na huna hizi cha Chooni basi karibu tuendelee na huu Mjadala hapa sawa?
 
ukiwa chooni ndo akili hukupotea!?
 
Tukisema kuna 'njaa' mnakasirika na kununa.

Chanzo: Gazeti la Mtanzania la 26/10/2019, ukurasa wa 21.
wakati huohuo washambuliji wa pyramids FC wakipata breakfast ya nguvu. Tena supu ya pweza, mihogo mibichi, karanga mbichi kutoka songea na vitu vingine kama hivyo. Nasubir Msiba Leo nikazike...
 
Kwanza Mkatoe mgari wenu umekwama kwenye maji Tanga kisa mlikuwa mnaifatilia timu ya wananchi ilipo
 
Tukisema kuna 'njaa' mnakasirika na kununa.

Chanzo: Gazeti la Mtanzania la 26/10/2019, ukurasa wa 21.
Mikia FC jana kakaklia kimoko huko Shy.............upoooogooooooooooooo?????????????
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…