Mchezaji mmoja kufunga Mabao 5 ni tukio la aibu

Mwisho ni magoli mangapi kwa mechi moja?
 
Mkuu acha hila. Nakumbuka Andy Cole mwaka 95 ila sikumbuki timu waliyocheza nayo alifunga goli 5 peke yake katika ushindi wa goli 9.
Kwahiyo sio wa kwanza na wala sio ajabu. Tuache negativity kwa kila jambo.
Yanga wana hazina kubwa ya wapumbavu
 
we kweli kilaza mkuu ... kipi kipya chini ya jua?
 
Kupata kishangazo na vituko,bonyeza soka Simba soka Tz
 
Kipindi mayele anawania kiatu mwaka jana,kila mchezaji alikuwa anampa pasi mayele ili mradi afunge tuu,hata tuta moja dhidi ya dodoma nahisi alipewa apige tena saido huyo huyo,alimpokonya mpira djuma shaban mpiga penati akampa mpira mayele,mwisho wa siku mayele akapaisha,mpira mpaka leo haujawahi kurudi duniani,sjui ulienda mars huko,au ile umesahau??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…