Mchezaji mmoja kufunga Mabao 5 ni tukio la aibu

Una wajua Tanzania prison?? Alie kwambia wameshuka daraja nani ? Match ya kujipigia ni ya simba wanao cheza na Costal union hawa ni ndugu lazima Saidi aji pigie tu wata ungana hadi na costal kumpa pass side
Coastal bado wako kwenye hatari ya kuingia kwenye playoffs kwa hiyo nao wanahitaji ushindi. Ila Mayele asipocheza kabisa hata kuwepo benchi, Saido itamrahisishia kazi zaidi. Atatupia zake mbili halafu Simba watamtoa apewe standing ovation.

Mayele akicheza halafu atake kukimbizana na Saido mnahatarisha kujeruhiwa mumkose mechi ya Azam, kwa hiyo uchaguzi ni wenu. Pia mkicheza mpira wa nguvu kadi zinaweza kuwahusu mkazidi kupoteza wachezaji wenu. Mtego huu.
 
huo mtego tutaunasua kijanja
 
sasa hiyo ndio sawa na mtu mmoja kufunga goli 5?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…