rekebisha hapo, sio mkali wa bongo fleva bali mchezaji wa coastal union Ali Salehe.Mchezaji anayekipiga klabu ya Baroka FC ya Afrika Kusini na timu ya taifa ya Tanzania 'Taifa Stars' pia aliyewahi kuzichezea Simba SC na Coastal Union ya Tanga Abdi Banda, alfajiri ya leo Agosti 1, 2018 amefunga ndoa na Zabibu Kiba, ambaye ni dada wa mkali wa Bongo Fleva Ali Kiba kwenye msikiti wa Ahmad al maseeid uliopo Tabata jijini Dar es salaam.View attachment 823966View attachment 823967View attachment 823969View attachment 823968View attachment 823970
HakikaNi jambo jema kuwatakia heri kwa ndoa yao wadumishe upendo na amani
Hahahaende akaitumikie kwa uhuru na maarifa...
WEWE LINIAllah aidumishe ndoa yao Inshaallah
Ili wakakumbatianeDuh harusi gani sasa hii
Asubuhi asubuhi alfajiri yote hii na baridi hili?