Mchezaji wa Orlando Pirates atimuliwa kwenye nyumba na kufilisiwa Mali zake alizoaziandika kwa jina la Mkewe raia wa Afrika Kusini

Mchezaji wa Orlando Pirates atimuliwa kwenye nyumba na kufilisiwa Mali zake alizoaziandika kwa jina la Mkewe raia wa Afrika Kusini

Jamani eeh mwanaume ukijua una Mali nyingi kabla hujaoa ni Bora kusign prenup,unajua mahusiano yanapoanza hakuna anayewaza kuachana au talaka mnakua mnajiona nyie ndio mnapendana dunia nzima yaani lakini ukiingia kwenye ndoa kuna changamoto nyingi usipokua ngangari talaka ndo kimbilio la wengi ,Sasa Mali umetafuta mwenyewe kwa kujituma Sana ukiwa peke yako.unanioa Mimi na kadiploma kangu ka ugavi nalipwa zangu laki tatu halafu siku ya talaka napewa nusu ya Mali zote au worse Kama tuna watoto napewa robotatu [emoji1][emoji1] na za watoto,sijui unaanzaje upya hapo dah, mapenzi matamu lakini na akili zitumike.
Prenup ndio nn...inapatikanaje?
 
Kumwandika jina mkeo ktk mali zako huo ni ujinga wa chuo kikuu. Mwandike mtoto ako, au mzazi wako kwisha kama huna mtoto
 
Kumwandika jina mkeo ktk mali zako huo ni ujinga wa chuo kikuu. Mwandike mtoto ako, au mzazi wako kwisha kama huna mtoto
Haya mambo hayana formula. Una mwandika mzazi, mzazi naye anaandika urithi kwa mtoto mwingine. Mzazi akikata moto, dogo anadai urithi wake.
Hata kumwandika mtoto siyo salama. Kuna mdingi mmoja alimwandika mtoto kama mmiliki wa nyumba yao ya familia. Mtoto akazinyaka. Alipofikisha miaka 18 akatangaza kuuza nyumba. Wazazi wakakimbilia mahakamani kuzia nyumba isiuzwe. Mahakama ikasema 'mwenye nyumba ana haki ya kuuza nyumba yake'. Mtoto akauza nyumba, hakuwapa hata senti wazazi wake.
 
Prenup ndio nn...inapatikanaje?
Prenup(pre nuptials agreement) ni makubaliano wanayoingia watu wawili wanaotaka kuoana kabla ya ndoa kuhusu mgawanyo wa Mali (chini ya wanasheria wao) ikitokea huko mbele ndoa imeshindwa kuendelea na wanataka kutalikiana.mara nyingi mwenye Mali nyingi anaweka vigezo vyake anampa mwenzake asome then akikubali anasaini ndio wanafunga ndoa Sasa.
 
sidhani alifanya hivyo kwasababu ya mapenzi bali policies za SA kuhusu wageni.
mgeni huruhusiwi kununua gari nyumba etc so ukiwa na mpenzi wako utatumia jina lake kununua hivyo vitu na nahisi ndicho alichofanya huyo jamaa huyu jamaa.
Ulianza kuandika ujinga huu.....
Sio kweli, as long as una valid status ambayo ni lazima huyo jamaa anayo (work permit) sababu ni mchezaji official wa timu ni ruhusa kumiliki nyumba na gari, tena kwenye gari ndio rahisi zaidi ukiwa na passport ya kwenu tu unapata Traffic Register na unamiliki chombo.
Na kitendo cha kuoa raia automatically ana qualify kupata resident permit kupelekea kupata citizenship. Kwa mantiki hiyo basi alifanya kwa uzwa uzwa wake mwenyewe kuhisi anapenda sana na sasa imemgharimu.
Then Toxic Concotion akakuweka sawa
dingi bila pepa uwezi nunua gari wala nyumba labda unataka kuweka ligi
Nilipokuelimisha zaidi kuhusu SA, sasa umekuja na kituko hiki!!

Ndio nikahitimisha hii ni mental case.

Adios Amigo.
 
Breaking: Mchezaji wa Orlando Pirates atimuliwa kwenye nyumba na kufilisiwa Mali zake alizoaziandika kwa jina la Mkewe.

Mchezajini wa Orlando Pirates Tendai Ndoro (36) amepoteza Mali zake zote kwa kufilisiwa baada ya kuachana na mkewe Thando Maseke ambaye ni raia wa Afrika kusini.

Taarifa zinaeleza kuwa Mchezaji huyo ambaye ni raia wa Zimbabwe aliandikisha mali zake zote ikiwemo Nyumba na magari ya kifahari kwa jina la Mkewe na hivyo kufuatia mgogoro baina yao alitimuliwa kwenye Nyumba waliyokuwa wakiishi Jijini Johenberg.

View attachment 1995634
Tendai Ndoro na Thando Maseke enzi za ndoa yao

Sio mbaya kama ametoka hai...pesa atatafuta zingine mwenye kipaji si yeye apige kazi mpaka demu akimaliza kula hizo amtafute tena..........
 
Haya mambo hayana formula. Una mwandika mzazi, mzazi naye anaandika urithi kwa mtoto mwingine. Mzazi akikata moto, dogo anadai urithi wake.
Hata kumwandika mtoto siyo salama. Kuna mdingi mmoja alimwandika mtoto kama mmiliki wa nyumba yao ya familia. Mtoto akazinyaka. Alipofikisha miaka 18 akatangaza kuuza nyumba. Wazazi wakakimbilia mahakamani kuzia nyumba isiuzwe. Mahakama ikasema 'mwenye nyumba ana haki ya kuuza nyumba yake'. Mtoto akauza nyumba, hakuwapa hata senti wazazi wake.
Daa dogo mwehu kweli kauza nyumba ambayo hata hakujenga....
 
Haya mambo hayana formula. Una mwandika mzazi, mzazi naye anaandika urithi kwa mtoto mwingine. Mzazi akikata moto, dogo anadai urithi wake.
Hata kumwandika mtoto siyo salama. Kuna mdingi mmoja alimwandika mtoto kama mmiliki wa nyumba yao ya familia. Mtoto akazinyaka. Alipofikisha miaka 18 akatangaza kuuza nyumba. Wazazi wakakimbilia mahakamani kuzia nyumba isiuzwe. Mahakama ikasema 'mwenye nyumba ana haki ya kuuza nyumba yake'. Mtoto akauza nyumba, hakuwapa hata senti wazazi wake.
😅😅😅Mnapigwa kotekote ukisimama unayo ukikaa unayo ukilala unayo pia Safi Sana,,
 
Ulianza kuandika ujinga huu.....

Then Toxic Concotion akakuweka sawa

Nilipokuelimisha zaidi kuhusu SA, sasa umekuja na kituko hiki!!

Ndio nikahitimisha hii ni mental case.

Adios Amigo.
Ujanielimisha na bado NINAKUKUMBUSHA kuwa bila pepa uwezi nunua gari wala nyumba.
uliingia SA kwa kuruka fensi na hayo ndiyo yakawa maisha yako hata kununua vitu ulitumia njia chafu.
uwezi nunua nyumba ama gari bila kuwa na permit ila unaweza nunua second hand stuffs such as car, bike etc.
 
Ulianza kuandika ujinga huu.....

Then Toxic Concotion akakuweka sawa

Nilipokuelimisha zaidi kuhusu SA, sasa umekuja na kituko hiki!!

Ndio nikahitimisha hii ni mental case.

Adios Amigo.
we dingi kiazi kweli.
yaan utoke uko namtumbo ufike Port Elizabeth ununue nyumba na gari bila permit, kweli?.
🤣🤣🤣
 
Mental case.
look at this fool, ignorance is bliss indeed. Continue fooling yourself, a mad man will never agree that he is mad but everyone around him knows that he is mad, such is your case. continue wallowing in your lunatic illusions by yourself.
 
we dingi kiazi kweli.
yaan utoke uko namtumbo ufike Port Elizabeth ununue nyumba na gari bila permit, kweli?.
🤣🤣🤣
My son, ukitaja mji mdogo kama Port Elizabeth kwa wanaoijuwa vizuri South Africa hapa ni kwamba tunadebate na school boy.

Tufanye umeshinda na wewe unajuwa zaidi kuliko sisi Baba zako ambao tumempigia kura Mandela kuingia madarakani mwaka 1994.

Are you happy now? Declare ur victory wewe ni mwamba unajuwa sana.

Tunapoongelea Tanzania mtu akakutajia Songea inabidi umuache tu.
 
My son, ukitaja mji mdogo kama Port Elizabeth kwa wanaoijuwa vizuri South Africa hapa ni kwamba tunadebate na school boy.

Tufanye umeshinda na wewe unajuwa zaidi kuliko sisi Baba zako ambao tumempigia kura Mandela kuingia madarakani mwaka 1994.

Are you happy now? Declare ur victory wewe ni mwamba unajuwa sana.

Tunapoongelea Tanzania mtu akakutajia Songea inabidi umuache tu.
UWEZI NUNUA GARI MPYA AMA NYUMBA BILA KUWA NA PERMIT.

hayo mengine ngoja niyaache.
 
😅😅😅Mnapigwa kotekote ukisimama unayo ukikaa unayo ukilala unayo pia Safi Sana,,
Dhuruma huwa haina manufaa ya kudumu, ya muda tu. Mara nyingi wanawake wa hivyo huishia kudhurumiwa na hata kuawa na wale wanaowaamini. Ndiyo maana kuna ongezeko la habari za wamama matajiri wajane kuuliwa na boyfriend wao kisa mali.
 
Back
Top Bottom