Aaaaaaaaah πππππpole sana kwa kilichokutokea Kweny ajari ya tairiKuingia kwenye Tairi kubwa unajikunja humo halafu Mwenzako analiachia kwenye mlima..
Sitaki kukumbuka kilichonikutaga mara ya mwisho mpka nikaacha huu mchezo..
Nikahamia kwenye ndege, Japo nako nilikua nikikosa nadungua njiwa wa watu, nikimkuta hata ni bandani anakula manati, naenda kulingishia nimeua.
Ilikuwa ni burudani yangu mi mwenyewe tu ndio maana sikuwa nashirikisha mtu mwinginemkuu kwani hao kenge ulikuwa mnafanya kitoweo? Au kuwinda ilikuwa ktk michezo yako
siku izi wapo bize wanachezea remote wanachek movieSema nilichokuwa napenda hii michezo ilikuwa inakuja kama trend kwa kipindi fulani, mfano kuna wakati mtaa mzima ni malingi tuu, mara mtaa utaamia kwenye golori, kipindi cha kombolela, kitakuja kipindi cha manati sana
Sema tumeenjoy udogo wetu sana, juzi napiga story na vitoto fulani pale mbweni havijuo ata kutengeneza manati ahahah
Mchezo nilikuwa napenda ni uwindaji ndege, kuwinda paka na mbwa, na mpira.
Hawa watoto wetu yani hawana hata amsha amsha ukipita mitaani saa 1 jioni tu kimyaaaaaaaaa hakuna kombolela wala kukimbizana, muda huo wanacheza magemu tuSema nilichokuwa napenda hii michezo ilikuwa inakuja kama trend kwa kipindi fulani, mfano kuna wakati mtaa mzima ni malingi tuu, mara mtaa utaamia kwenye golori, kipindi cha kombolela, kitakuja kipindi cha manati sana
Sema tumeenjoy udogo wetu sana, juzi napiga story na vitoto fulani pale mbweni havijuo ata kutengeneza manati ahahah
Mchezo nilikuwa napenda ni uwindaji ndege, kuwinda paka na mbwa, na mpira.
Nilikua napenda one touch (football) alafu kuna ule mnatumia vifuniko vya soda(wachezaji) na ndulele(mpira) then mnachora chini kama play station ya soccer!!Sema nilichokuwa napenda hii michezo ilikuwa inakuja kama trend kwa kipindi fulani, mfano kuna wakati mtaa mzima ni malingi tuu, mara mtaa utaamia kwenye golori, kipindi cha kombolela, kitakuja kipindi cha manati sana
Sema tumeenjoy udogo wetu sana, juzi napiga story na vitoto fulani pale mbweni havijuo ata kutengeneza manati ahahah
Mchezo nilikuwa napenda ni uwindaji ndege, kuwinda paka na mbwa, na mpira.
Hawa watoto wetu yani hawana hata amsha amsha ukipita mitaani saa 1 jioni tu kimyaaaaaaaaa hakuna kombolela wala kukimbizana, muda huo wanacheza magemu tu
Nilikua napenda one touch (football) alafu kuna ule mnatumia vifuniko vya soda(wachezaji) na ndulele(mpira) then mnachora chini kama play station ya soccer!!
ha ha ha sasa ulikuw unataka uchaguliwe nani nani mkuu ππππNilikuwa sipendi kucheza ile michezo ya baba na mama kila wakati nilikuwa nikichaguliwa mimi kuwa baba sasa sijui kutokana na umbile langu
Mdako,rede na mpira wa miguuKila mtu katika makuzi yake kuna michezo ilikuwa ni ngumu kuacha ata baadhi imeweka alama katika miili yetu,
Kombolela ni mchezo wakujificha alafu unatafutwa,nilikuwa napenda kujificha na kasichana flani sehemu moja tulivu sana.
Watatafuta mpaka wachoke wenyewe tumetulia tunafanya yetu.
Unakumbuka michezo gani ambayo ulikuwa tayari unyimwe chakula lakini sio kuacha kucheza?
View attachment 1464060View attachment 1464063View attachment 1464064View attachment 1464065