mimiamadiwenani
JF-Expert Member
- Mar 9, 2022
- 5,718
- 7,784
Much knowwewe ushavuka miaka 30 ushakuwa na akili za kiutu uzima
weka ushauri kwa vijana walengwa wengi ambao ni under 30,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Much knowwewe ushavuka miaka 30 ushakuwa na akili za kiutu uzima
weka ushauri kwa vijana walengwa wengi ambao ni under 30,
Umemaliza kila kitu .Mm hapa mtaani nna miaka hata 6 lkn kuna watu hata hawanijui, sasa mabinti wa mtaani ndo kabisa hawajui kama kuna mimi kwenye huu mtaa.
Tupunguze mazoea na hawa mabinti sio watu wazuri kwa afya ya mwanaume
Dah[emoji23]mkuu ulileta uzi humu hizo nywele zako nyekundu zinazokufanya utoswe kila mara na mabinti,
ulipata suluhisho
Mwezi huu nimekataliwa na warembo 4 kwa sababu ya kuwa na nywele nyekundu
Jamani hali gani? Niruke kwenye hoja yangu. Mimi ni mwanaume handsome tu safi, ninajua kuvaa na nina vihela vya kubadili mboga na tugari. Nimekuwa nikipata shida mno kupata mwanamke wa kuingia naye mahusianoni kwa sababu ya shida yangu ya nywele nyekundu. Nina nywele nyekundu ndiyo, ila si...www.jamiiforums.com
View attachment 2686306
"Uswahilini kuna vituo! hivi ni vituko kutoka uswahilini"!!Kuna mchezo mpya siku hizi kina mama hasa wenye nyumba za kupanga huwa wanawafundisha mabinti wawe wanaingia vyumba vya wapangaji wa kiume kwa gia ya kuomba kuomba kuangalia tv, kuomba kuwafanyia usafi, kuomba kuingiziwa nyimbo au muvi, n.k. (mbinu kibao) sambamba na mitego ya kuwapandisha hamu ya kuwataka kimapenzi.
Mabinti hawa wengine wametolewa vijijini huko, ukiwauliza miaka washafundishwa waseme wana miaka 19 na hawasomi, siku ya tukio utaambiwa wana miaka 16 na wanasoma.
Wakiingia vyumbani, mama mwenye nyumba anastua marafiki zake kama wawili waje, wengine wanaleta kabisa mtendaji wa mtaa ama polisi ambao washanogewa na pesa za huu mchezo mchafu.
Wakiingia ndani humo hupewi hata nafasi ya kujieleza kila mtu anasema umelala na binti mwenye umri chini ya miaka 18, utajieleza kwamba mlikuwa mnacheki tu tv ila wao watakomaa umelala na binti mdogo, utajitetea alikwambia ana miaka 19 hapo utaoneshwa cheti (hata cha mchongo) kazaliwa 2007.
Hapo kuchomoka uwe na zaidi ya laki 3, kama una ka usafiri ama una vaa vizuri na una kazi tegemea kucheua milioni.
Wengine hutumia mbinu hii kuwatupia jela vijana waliopishana nao kauli
Wahanga wengi huwa ni vijana wa kiume chini ya miaka 30 bado wengi hawajakomaa vizuri kuwa na akili za utu uzima na miili huwa ina nguvu sana
eti wakuu wa wilaya nao wamejiingiza kwenye mitego ya mafumanizi, wanasema ushahidi wa kamera wanao. Unashangaa huyu mkuu wa wilaya alipata wapi muda wa kwenda kutega kamera anase tukio la fumanizi kama si mkuda na mpenda udaku? Badala ya kuzuia tukio lisifanyike yeye anarekodi ili aje amlipue muhanga wa tukioNA WAKUU WA WILAYA WAMEKOSA KAZI MAOFISI...SIKU HIZI WAMEJIINGIZA KWENYE UMBEA NA UDAKU NA MAFUMANIZI...
UPUMBAVU TU. NIMEANZA KUELEWA KWANINI WATU WALIKUWA WANASISITIZA HIVI VYEO VIFUTWE.
Wapike miaka 2 usiwafanye kitu huo ni uongo , sema ulipotea chup chup tu,Kuna wakati naanza kazi ya ualimu niliponea chuchupu kupakaziwa nalabua wanafunzi, Kwa kuwa nilikuwa mgeni awali kwa nia nzuri tu wanafunzi wakubwa walikuwa wanakuja kunipatia msaada wa kuchota maji na kupika wanapokuwa wapo mapumziko. Tabia ikazoeleka yapata miaka miwili walimu wenzangu wakongwe wakaanza kuingiwa na wivu kwa nini bado naendelea kupikiwa. Chuki ikaingia wakapanga kunilipua kwa kuwatumia haohao mabinti wanafunzi wanipakazie kuwa huwa nawatongoza na kuwashika matiti wakimaliza kupika na huwa wananipa penzi. Mabinti saba wawili wakakataa kunisemea uongo mbele ya mkutano wa baraza la shule ikawa pona yangu. Ilikuwa niende na maji. Tangu wakati huo sitaki mabinti wanafunzi waje washiriki kuniandalia chakula chumbani kwangu ni balaa
Haanzi ghafra mzee, anaanza na maziwa mdogo mdogo, na we utaanza kumla huyo manzi ukidhani kuwa unafaudi, siku zinaenda ukiendelea kumgonga, kumbe n watu wako kazini wanakulia tymingYn hao wamama na mabinti zao wanavyofanya naona ni sahihi kabisa, mana wanafanya kwa mwanaume ambaye hajitambui.
Wanaume mwenye akili timamu hawezi kumuingiza binti wa watu ety kuja kuangalia tv nk.
Na mpaka huyo binti afanye hvy inaonyesha hamna mahusiano nae ya kujuana sasa inakuaje unamleta watu hovyo kwenye nyumba yako.
AiseeKuna mchezo mpya siku hizi kina mama hasa wenye nyumba za kupanga huwa wanawafundisha mabinti wawe wanaingia vyumba vya wapangaji wa kiume kwa gia ya kuomba kuomba kuangalia tv, kuomba kuwafanyia usafi, kuomba kuingiziwa nyimbo au muvi, n.k. (mbinu kibao) sambamba na mitego ya kuwapandisha hamu ya kuwataka kimapenzi.
Mabinti hawa wengine wametolewa vijijini huko, ukiwauliza miaka washafundishwa waseme wana miaka 19 na hawasomi, siku ya tukio utaambiwa wana miaka 16 na wanasoma.
Wakiingia vyumbani, mama mwenye nyumba anastua marafiki zake kama wawili waje, wengine wanaleta kabisa mtendaji wa mtaa ama polisi ambao washanogewa na pesa za huu mchezo mchafu.
Wakiingia ndani humo hupewi hata nafasi ya kujieleza kila mtu anasema umelala na binti mwenye umri chini ya miaka 18, utajieleza kwamba mlikuwa mnacheki tu tv ila wao watakomaa umelala na binti mdogo, utajitetea alikwambia ana miaka 19 hapo utaoneshwa cheti (hata cha mchongo) kazaliwa 2007.
Hapo kuchomoka uwe na zaidi ya laki 3, kama una ka usafiri ama una vaa vizuri na una kazi tegemea kucheua milioni.
Wengine hutumia mbinu hii kuwatupia jela vijana waliopishana nao kauli
Wahanga wengi huwa ni vijana wa kiume chini ya miaka 30 bado wengi hawajakomaa vizuri kuwa na akili za utu uzima na miili huwa ina nguvu sana
sikuwafanya kitu japo walitamani niwatandike ila niliogopa kufukuzwa kazi na utumishi kisha nishitakiwe kwa kuwalabua wanafunzi, woga ulinisaidiaWapike miaka 2 usiwafanye kitu huo ni uongo , sema ulipotea chup chup tu,
Hupaswi wapa lift watoto wasio wakoUsikubali aingie kwako, mbona rahisi hiyo. Wewe watoto wa jirani wanaingiaje kwenye chumba chako??
Hata lifti usitoe kwa mtoto akiwa peke yake, awe wa kiume au wa kike. Ni afadhali upakie kundi na wakishuka washuke wote.