Mchezo Mchafu: Kuna kina mama huwatuma mabinti kuingia vyumba vya wapangaji wa kiume, fumanizi la video hufanyika ni aidha utoe pesa ama unaenda jela

Mchezo Mchafu: Kuna kina mama huwatuma mabinti kuingia vyumba vya wapangaji wa kiume, fumanizi la video hufanyika ni aidha utoe pesa ama unaenda jela

mkuu ulileta uzi humu hizo nywele zako nyekundu zinazokufanya utoswe kila mara na mabinti,

ulipata suluhisho


View attachment 2686306
Dah[emoji23]
 
Kuna mchezo mpya siku hizi kina mama hasa wenye nyumba za kupanga huwa wanawafundisha mabinti wawe wanaingia vyumba vya wapangaji wa kiume kwa gia ya kuomba kuomba kuangalia tv, kuomba kuwafanyia usafi, kuomba kuingiziwa nyimbo au muvi, n.k. (mbinu kibao) sambamba na mitego ya kuwapandisha hamu ya kuwataka kimapenzi.

Mabinti hawa wengine wametolewa vijijini huko, ukiwauliza miaka washafundishwa waseme wana miaka 19 na hawasomi, siku ya tukio utaambiwa wana miaka 16 na wanasoma.

Wakiingia vyumbani, mama mwenye nyumba anastua marafiki zake kama wawili waje, wengine wanaleta kabisa mtendaji wa mtaa ama polisi ambao washanogewa na pesa za huu mchezo mchafu.

Wakiingia ndani humo hupewi hata nafasi ya kujieleza kila mtu anasema umelala na binti mwenye umri chini ya miaka 18, utajieleza kwamba mlikuwa mnacheki tu tv ila wao watakomaa umelala na binti mdogo, utajitetea alikwambia ana miaka 19 hapo utaoneshwa cheti (hata cha mchongo) kazaliwa 2007.

Hapo kuchomoka uwe na zaidi ya laki 3, kama una ka usafiri ama una vaa vizuri na una kazi tegemea kucheua milioni.

Wengine hutumia mbinu hii kuwatupia jela vijana waliopishana nao kauli

Wahanga wengi huwa ni vijana wa kiume chini ya miaka 30 bado wengi hawajakomaa vizuri kuwa na akili za utu uzima na miili huwa ina nguvu sana
"Uswahilini kuna vituo! hivi ni vituko kutoka uswahilini"!!
 
Ni mnyukano tu wa kisheria, binti wa miaka 16 ni mtu mzima anajua anachokifanya na mwili wake kimakuzi unawaka tamaa. Sasa kwa nini aingie chumbani kwa kijana wa kiume wanayekaribiana umri, anataka nini kama si kunyanduliwa no matter ni mwanafunzi? Vijana wa kiume wanaopanga wawe waangalifu sana kuruhusu wanawake wa umri wowote kuingia vyumbani mwao nyakati zote, wengine hawana nia nzuri, nina exprience na vitina hizo. Wakiingia wewe toka, ukibaki na mwanamke ndani huku nje watajua tu umemlamla hata kama hukufanya. Kwanza wanatia hasara kwa kuchukua chochote cha kula kama sukari, chumvi, mboga, unga, mkaa, mikate, sabuni na wanakula msosi uliojiandalia kwa bajeti ndogo ya kwako tu halafu unaishia kubambikiwa kashfa ya kumlamla
 
NA WAKUU WA WILAYA WAMEKOSA KAZI MAOFISI...SIKU HIZI WAMEJIINGIZA KWENYE UMBEA NA UDAKU NA MAFUMANIZI...

UPUMBAVU TU. NIMEANZA KUELEWA KWANINI WATU WALIKUWA WANASISITIZA HIVI VYEO VIFUTWE.
eti wakuu wa wilaya nao wamejiingiza kwenye mitego ya mafumanizi, wanasema ushahidi wa kamera wanao. Unashangaa huyu mkuu wa wilaya alipata wapi muda wa kwenda kutega kamera anase tukio la fumanizi kama si mkuda na mpenda udaku? Badala ya kuzuia tukio lisifanyike yeye anarekodi ili aje amlipue muhanga wa tukio
 
Nilichoshwa na vibinti vidogo vitoto vya shule kuja kutaka vinioshee vyombo, mara kaje kamoja peke yake, mara kundi, ikawa vinataka kunipikia chakula huku majirani wanajua sina mke ikabidi nihame mtaa kabla sijapakaziwa kashfa ya kuvilala. Mbaya zaidi hata wakubwa wao na walikuwa wanakuja kila mmoja kwa wakati wake iwe mchana au usiku, jamii ikaanza kunisi nabandua, ikabidi nikimbie mtaa. Mtaa mpya nilikohamia sitaki mazoea na wanawake wa umri wowote kuja na kuingia chumbani kwangu. Wauza mboga na vitafunwa wanasimamia mbali ndio waniuzie bidhaa zao, maana hata hao unaweza ukashawishika ukamvutia ndani ikawa habari nyingine
 
Kuna wakati naanza kazi ya ualimu niliponea chuchupu kupakaziwa nalabua wanafunzi, Kwa kuwa nilikuwa mgeni awali kwa nia nzuri tu wanafunzi wakubwa walikuwa wanakuja kunipatia msaada wa kuchota maji na kupika wanapokuwa wapo mapumziko. Tabia ikazoeleka yapata miaka miwili walimu wenzangu wakongwe wakaanza kuingiwa na wivu kwa nini bado naendelea kupikiwa. Chuki ikaingia wakapanga kunilipua kwa kuwatumia haohao mabinti wanafunzi wanipakazie kuwa huwa nawatongoza na kuwashika matiti wakimaliza kupika na huwa wananipa penzi. Mabinti saba wawili wakakataa kunisemea uongo mbele ya mkutano wa baraza la shule ikawa pona yangu. Ilikuwa niende na maji. Tangu wakati huo sitaki mabinti wanafunzi waje washiriki kuniandalia chakula chumbani kwangu ni balaa
 
Kuna wakati naanza kazi ya ualimu niliponea chuchupu kupakaziwa nalabua wanafunzi, Kwa kuwa nilikuwa mgeni awali kwa nia nzuri tu wanafunzi wakubwa walikuwa wanakuja kunipatia msaada wa kuchota maji na kupika wanapokuwa wapo mapumziko. Tabia ikazoeleka yapata miaka miwili walimu wenzangu wakongwe wakaanza kuingiwa na wivu kwa nini bado naendelea kupikiwa. Chuki ikaingia wakapanga kunilipua kwa kuwatumia haohao mabinti wanafunzi wanipakazie kuwa huwa nawatongoza na kuwashika matiti wakimaliza kupika na huwa wananipa penzi. Mabinti saba wawili wakakataa kunisemea uongo mbele ya mkutano wa baraza la shule ikawa pona yangu. Ilikuwa niende na maji. Tangu wakati huo sitaki mabinti wanafunzi waje washiriki kuniandalia chakula chumbani kwangu ni balaa
Wapike miaka 2 usiwafanye kitu huo ni uongo , sema ulipotea chup chup tu,
 
Yn hao wamama na mabinti zao wanavyofanya naona ni sahihi kabisa, mana wanafanya kwa mwanaume ambaye hajitambui.

Wanaume mwenye akili timamu hawezi kumuingiza binti wa watu ety kuja kuangalia tv nk.

Na mpaka huyo binti afanye hvy inaonyesha hamna mahusiano nae ya kujuana sasa inakuaje unamleta watu hovyo kwenye nyumba yako.
Haanzi ghafra mzee, anaanza na maziwa mdogo mdogo, na we utaanza kumla huyo manzi ukidhani kuwa unafaudi, siku zinaenda ukiendelea kumgonga, kumbe n watu wako kazini wanakulia tyming

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mchezo mpya siku hizi kina mama hasa wenye nyumba za kupanga huwa wanawafundisha mabinti wawe wanaingia vyumba vya wapangaji wa kiume kwa gia ya kuomba kuomba kuangalia tv, kuomba kuwafanyia usafi, kuomba kuingiziwa nyimbo au muvi, n.k. (mbinu kibao) sambamba na mitego ya kuwapandisha hamu ya kuwataka kimapenzi.

Mabinti hawa wengine wametolewa vijijini huko, ukiwauliza miaka washafundishwa waseme wana miaka 19 na hawasomi, siku ya tukio utaambiwa wana miaka 16 na wanasoma.

Wakiingia vyumbani, mama mwenye nyumba anastua marafiki zake kama wawili waje, wengine wanaleta kabisa mtendaji wa mtaa ama polisi ambao washanogewa na pesa za huu mchezo mchafu.

Wakiingia ndani humo hupewi hata nafasi ya kujieleza kila mtu anasema umelala na binti mwenye umri chini ya miaka 18, utajieleza kwamba mlikuwa mnacheki tu tv ila wao watakomaa umelala na binti mdogo, utajitetea alikwambia ana miaka 19 hapo utaoneshwa cheti (hata cha mchongo) kazaliwa 2007.

Hapo kuchomoka uwe na zaidi ya laki 3, kama una ka usafiri ama una vaa vizuri na una kazi tegemea kucheua milioni.

Wengine hutumia mbinu hii kuwatupia jela vijana waliopishana nao kauli

Wahanga wengi huwa ni vijana wa kiume chini ya miaka 30 bado wengi hawajakomaa vizuri kuwa na akili za utu uzima na miili huwa ina nguvu sana
Aisee
 
Kula kimasihara huwa inawaponza. Mtu unakubali tu mazoea ya hovyo kisa unatengeneza mazingira ya kula kimasihara
 
Back
Top Bottom