Mchezo Mchafu: Kuna kina mama huwatuma mabinti kuingia vyumba vya wapangaji wa kiume, fumanizi la video hufanyika ni aidha utoe pesa ama unaenda jela

Mchezo Mchafu: Kuna kina mama huwatuma mabinti kuingia vyumba vya wapangaji wa kiume, fumanizi la video hufanyika ni aidha utoe pesa ama unaenda jela

Kuna mchezo mpya siku hizi kina mama hasa wenye nyumba za kupanga huwa wanawafundisha mabinti wawe wanaingia vyumba vya wapangaji wa kiume kwa gia ya kuomba kuomba kuangalia tv, kuomba kuwafanyia usafi, kuomba kuingiziwa nyimbo au muvi, n.k. (mbinu kibao) sambamba na mitego ya kuwapandisha hamu ya kuwataka kimapenzi.

Mabinti hawa wengine wametolewa vijijini huko, ukiwauliza miaka washafundishwa waseme wana miaka 19 na hawasomi, siku ya tukio utaambiwa wana miaka 16 na wanasoma.

Wakiingia vyumbani, mama mwenye nyumba anastua marafiki zake kama wawili waje, wengine wanaleta kabisa mtendaji wa mtaa ama polisi ambao washanogewa na pesa za huu mchezo mchafu.

Wakiingia ndani humo hupewi hata nafasi ya kujieleza kila mtu anasema umelala na binti mwenye umri chini ya miaka 18, utajieleza kwamba mlikuwa mnacheki tu tv ila wao watakomaa umelala na binti mdogo, utajitetea alikwambia ana miaka 19 hapo utaoneshwa cheti (hata cha mchongo) kazaliwa 2007.

Hapo kuchomoka uwe na zaidi ya laki 3, kama una ka usafiri ama una vaa vizuri na una kazi tegemea kucheua milioni.

Wengine hutumia mbinu hii kuwatupia jela vijana waliopishana nao kauli

Wahanga wengi huwa ni vijana wa kiume chini ya miaka 30 bado wengi hawajakomaa vizuri kuwa na akili za utu uzima na miili huwa ina nguvu sana
Umeongea ukweli mwingi sana
 
NA WAKUU WA WILAYA WAMEKOSA KAZI MAOFISI...SIKU HIZI WAMEJIINGIZA KWENYE UMBEA NA UDAKU NA MAFUMANIZI...

UPUMBAVU TU. NIMEANZA KUELEWA KWANINI WATU WALIKUWA WANASISITIZA HIVI VYEO VIFUTWE.
Yule jamaa kakosa kazi et saa tano unaenda kufanya fumanizi, alafu unasisitiza watoe majibu unayotaka ww kwa kwenda kuhoji nje ya kamera,
Inakuwaje hapo.
Kutaka sifa tu.
 
Kuna mchezo mpya siku hizi kina mama hasa wenye nyumba za kupanga huwa wanawafundisha mabinti wawe wanaingia vyumba vya wapangaji wa kiume kwa gia ya kuomba kuomba kuangalia tv, kuomba kuwafanyia usafi, kuomba kuingiziwa nyimbo au muvi, n.k. (mbinu kibao) sambamba na mitego ya kuwapandisha hamu ya kuwataka kimapenzi.

Mabinti hawa wengine wametolewa vijijini huko, ukiwauliza miaka washafundishwa waseme wana miaka 19 na hawasomi, siku ya tukio utaambiwa wana miaka 16 na wanasoma.

Wakiingia vyumbani, mama mwenye nyumba anastua marafiki zake kama wawili waje, wengine wanaleta kabisa mtendaji wa mtaa ama polisi ambao washanogewa na pesa za huu mchezo mchafu.

Wakiingia ndani humo hupewi hata nafasi ya kujieleza kila mtu anasema umelala na binti mwenye umri chini ya miaka 18, utajieleza kwamba mlikuwa mnacheki tu tv ila wao watakomaa umelala na binti mdogo, utajitetea alikwambia ana miaka 19 hapo utaoneshwa cheti (hata cha mchongo) kazaliwa 2007.

Hapo kuchomoka uwe na zaidi ya laki 3, kama una ka usafiri ama una vaa vizuri na una kazi tegemea kucheua milioni.

Wengine hutumia mbinu hii kuwatupia jela vijana waliopishana nao kauli

Wahanga wengi huwa ni vijana wa kiume chini ya miaka 30 bado wengi hawajakomaa vizuri kuwa na akili za utu uzima na miili huwa ina nguvu sana
Sexpionage Entrapment for ill-will or for bad intention like personal gain, Characters Assassination Propaganda and Smear Campaign against a particular targeted person. So, always you must be watchful.
 
Kuna mchezo mpya siku hizi kina mama hasa wenye nyumba za kupanga huwa wanawafundisha mabinti wawe wanaingia vyumba vya wapangaji wa kiume kwa gia ya kuomba kuomba kuangalia tv, kuomba kuwafanyia usafi, kuomba kuingiziwa nyimbo au muvi, n.k. (mbinu kibao) sambamba na mitego ya kuwapandisha hamu ya kuwataka kimapenzi.

Mabinti hawa wengine wametolewa vijijini huko, ukiwauliza miaka washafundishwa waseme wana miaka 19 na hawasomi, siku ya tukio utaambiwa wana miaka 16 na wanasoma.

Wakiingia vyumbani, mama mwenye nyumba anastua marafiki zake kama wawili waje, wengine wanaleta kabisa mtendaji wa mtaa ama polisi ambao washanogewa na pesa za huu mchezo mchafu.

Wakiingia ndani humo hupewi hata nafasi ya kujieleza kila mtu anasema umelala na binti mwenye umri chini ya miaka 18, utajieleza kwamba mlikuwa mnacheki tu tv ila wao watakomaa umelala na binti mdogo, utajitetea alikwambia ana miaka 19 hapo utaoneshwa cheti (hata cha mchongo) kazaliwa 2007.

Hapo kuchomoka uwe na zaidi ya laki 3, kama una ka usafiri ama una vaa vizuri na una kazi tegemea kucheua milioni.

Wengine hutumia mbinu hii kuwatupia jela vijana waliopishana nao kauli

Wahanga wengi huwa ni vijana wa kiume chini ya miaka 30 bado wengi hawajakomaa vizuri kuwa na akili za utu uzima na miili huwa ina nguvu sana
Vibinti vimejaa UTI na vinatoa harufu sijui Hawa wahuni wanavisogelea Kwa sababu gani
 
Mambo ya uswazi hayo kwa karne ya sasa sidhani kama yapo, ila kwa mtu mzima anayejitambua sidhani kama atadhubutu kuviita eti vitoto vije kucheki tv dunia imearubika sana

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Kama miezi miwili, Kuna mtu kafungishiwa ndoa ya mkeka, anachosema mleta Uzi ukweli, kuweni makini, njaa Kali siku hizi.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dawa yake wakishaingia ndani kufanya fumanizi la mchongo jifanye umezimia watakimbia wote kutotaka ushahidi
Hatariiiii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Siku hizi hata siwapi kazi ke kwa ofisi yangu ,Toka mlinzi ,cleaner mpaka mawakili it's a male zone ,Huwa na avoid instances za kijinga Kama hizi .
Kingine eti msichana anionbe Hela sijui hajala au amepotea au simu ampigie mamake amtumie nauli Huwa sifanyi .
Sitaki mind games nnzaoona siku hizi , usaidizi kwangu umeishia kwa jinsia yangu tu labda mke na watoto wangu wangu wa kike ,sawia pia ukipatana na wa kwangu ww mwanaume usimsaidie hata maji anitafute mie au ke wenzake .
Cheka na Ile jinsia nyingine utajipata kizimbani ukiuma Chuma
Kabisa kabisa sku hz kuwasaidia hawa watu umegeuka kuwa mtego kwetu sisi wanaume!
 
Suluhisho hapo ni kutoleta mazoea na wenye nyumba. Usiwe mtu wa kushinda hapo kwenye hizo za kupanga. Kuwa Bize na mambo yako uwe mtu wa kutoka saa12 asubuhi na kurudi saa 6 usiku hakuna mtu atakaye kukuulizia. Alafu usiawachekee hivo vibinti ili vikuheshimu vikikeleta mazoea vizabe vibao
 
Haya mambo wanayo wazaramo

Kuna jamaa alijukuta kaozeshwa ndoa ambayo hakuitarajia kisa tu kuzidiwa kihisia na binti wa mwenye nyumba.
 
Nilichoshwa na vibinti vidogo vitoto vya shule kuja kutaka vinioshee vyombo, mara kaje kamoja peke yake, mara kundi, ikawa vinataka kunipikia chakula huku majirani wanajua sina mke ikabidi nihame mtaa kabla sijapakaziwa kashfa ya kuvilala. Mbaya zaidi hata wakubwa wao na walikuwa wanakuja kila mmoja kwa wakati wake iwe mchana au usiku, jamii ikaanza kunisi nabandua, ikabidi nikimbie mtaa. Mtaa mpya nilikohamia sitaki mazoea na wanawake wa umri wowote kuja na kuingia chumbani kwangu. Wauza mboga na vitafunwa wanasimamia mbali ndio waniuzie bidhaa zao, maana hata hao unaweza ukashawishika ukamvutia ndani ikawa habari nyingine
Ukiwa unavikimbia wanakuanzishia kashfa ya ushoga
 
Back
Top Bottom