Mwenyekiti, mtendaji, wameshindwa wote mpaka DC, duuu.Angekuwa mdogo wako au mwanao ndio kafanyiwa hivyo ungeelewa umuhimu wa DC kuwepo hapo, usichokijua ni kwamba huyo jamaa mchezo wa kukigonga hicho kitoto anao muda mrefu na taarifa zilishamfikia mpaka D, akitoka salama akatambike.
Tuviheshimu hivi vibinti chini ya miaka 18 la sivyo vitawatia sana matatizoni.
Tena skuiz awe mtoto wa kike au wakiume usithubutu kuweka nao mazoea ni hatari sana unaeza ukasingiziwa umemfanyia kitu mpaka uchunguzi ukamilike umesota nyuma ya nondo vibaya, hapa napokaa jirani kuna kitwisheni vitoto vinakujaga yani hata wakinisalimia najifanya sijawasikia huyo ndani kwang nafunga geti.Kabisa mkuu.hata sijui kuwapa watoto pipi nikitu kibaya sana maana ukibambikizwa ushahid upo mtaan unawarubun kwa kutumia pipi.
Unaishi nchi gani kwanza? Maana nisije kuwa naongea na mtu anayeishi Nyuyoku.Mwenyekiti, mtendaji, wameshindwa wote mpaka DC, duuu.
According to Intelligence strategy hii inaitwa "Counter attack techniques" we mbabe, safi sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122][emoji122]Ahahahahaha.
Mleta mada umenikumbusha mbali sana.
Kuna siku kuna kabint asubh asubh kamekuja nyumban et kanaomba msaada kanateswa kwa boss wake kanataka kurud kwao.Nilikua nimelala bado na ilikua weekend kamvua kananyesha nyesha.Wife kashaamka na watoto pia.
Bas wife akampiga maswali kishenziiiii kisha akaja kuniaamsha et "nimsadie achukue uamuzi gani".
Kwa mujib wa intelijensia ya kichwa changu nikajua kabisa huu ni mtego wife kuna kitu anataka ku confirm kama anachezewa mchezo like kuna kinachoendelea. [emoji23][emoji23] akil mtu wangu ..kwa kuligundua hilo nikatuliza nafsi kisha nikamwambia wife, unataka nifanyaje sasa kama wewe ushamuhoji, ? Akasema na wewe muulize ..
Nikamiuliza jina lake (naona wife anatutazama kwa makin sana asome kitu) .Aliponijib maswal kadhaa nikamwambia wife,
Msaidie ila usimruhusu huy kuondoka kwanza mpigie simu mjumbe aje amhoji kisha amchukue na kama unataka kumsaidia nauli mpe mbele ya mjumbe.
Nikarud ndani nacheeka rohoni. Wanawake bwana!!
Mkuu hizi huenda ndo mishe zako!!Kuna mchezo mpya siku hizi kina mama hasa wenye nyumba za kupanga huwa wanawafundisha mabinti kujenga ukaribu na wapangaji wa kiume ili kuingia vyumbani mwao kuangalia tv, kuomba kuwafanyia usafi, kuomba kuingiziwa nyimbo au muvi, n.k. (mbinu kibao) sambamba na kuwafunza mitego ya kuwazuzua kimapenzi. vijana walengwa huwa ni wale wa chini ya miaka 30, wengi bado hawajakomaa vizuri kiutu uzima.
Mabinti hawa wanaotumika kama chambo wengi huwa shule zishawashinda ama watoro waliotukuka, Binti anaweza kuwa na miaka 16 lakini ni mtundu si kidogo, upole wake ni script tu, ashafundishwa akwambie ana miaka 19 akutoe uwoga ila siku ya fumanizi watasema ana miaka 14 na umemlaghai aache kwenda shuleni.
Mpango mzima unakuwa hivi, Kama umekuwa na msimamo hutegeki kimapenzi basi hutumia mbinu zingine kuingia chumbani, mfano binti anakuja kuomba maji ya kumezea panado kichwa kinamuuma, akinywa maji anaomba apumzike nusu saa anaomba apumzike, hapo ndipo mama mwenye nyumba anastua matapeli wenzie wawili watatu waje, wengine wanaleta kabisa mtendaji wa mtaa ama polisi ambao washanogewa na pesa za huu mchezo mchafu.
Wakiingia ndani humo wanarekodi video kwa simu, hupewi hata nafasi ya kujieleza kila mtu anasema umelala na binti mwenye umri chini ya miaka 18, utajitetea kwamba mlikuwa mnacheki tv au alikuwa kapumzika anaumwa lakini haitasaidia, utajitetea alikwambia ana miaka 19 utaoneshwa cheti (hata cha mchongo) kazaliwa 2007 kiufupi hapa upo ndani ya 18 zao!.
Hapo kuchomoka hakuna kiwango maalum, watakukadiria kulingana na hali yako ya uchumi na ufundi wako wa maneno, ila wengi huwa wanachapwa laki 5 hadi 8. Hapo watamalizana kimya kimya, inakuwa siri na ndio maana ni ngumu kukuta habari hizi hadi uwe na ukaribu na wahanga.
kijana hawezi kubaki hio nyumba atahama tu hata kama kabakiza kodi ya miezi minne, muendelezo wa upigaji huu unaendelea kwa wapangaji wapya.
Kwa watu wasio na shida na hela bali kisasi ama kukomoana hutumia mbinu hii kuwatupia vijana jela, kwa wengine binti akiwa mzigo nyumbani hii ndio njia ya ndoa ya mkeka.
Sio jibu,Unaishi nchi gani kwanza? Maana nisije kuwa naongea na mtu anayeishi Nyuyoku.
Ni vizuri jifanye nice guy utaamin.Tena skuiz awe mtoto wa kike au wakiume usithubutu kuweka nao mazoea ni hatari sana unaeza ukasingiziwa umemfanyia kitu mpaka uchunguzi ukamilike umesota nyuma ya nondo vibaya, hapa napokaa jirani kuna kitwisheni vitoto vinakujaga yani hata wakinisalimia najifanya sijawasikia huyo ndani kwang nafunga geti.