Mkuu nchi imeoza hiiAisee.. Kuna account yangu bank ya standard chartered,
Juzi nmeweka 190,000 kwa njia ya m pesa cha jabu hiyo bank wakafyeka 22,000 nzima. Mpaka sasa hivi nawaza wamekata kwa jili ya nini sipati jibu.
Basi mimi nitakua ni Local, maana mshahara wangu haufiki hata 2m..UN huwa kuna grades mbili za mishahara-local na international. Fuatilia hata matngazo ya kazi ya UNHCR na WHO Tanzania.
Vv
Nilimtizama yule nikaishia kutoa macho na mshangaoDah nchi imeoza hii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Nilidhani labda marehemu alikuwa na fixed accnt kumbe ni accnt ya kawaida, ss km mshahara ulikuwa ukiingia tu anautoa unategemea ibaki sh ngp?Habari zenu ndugu zangu
Naomba kushea na nyie jambo hili
Leo nilikuwa Mahakamani kwa ajili ya shughuli zangu nikakutana na mama mmoja anafuatilia mirathi ya mumewe. Katika mazungumzo yetu akanidokeza jambo moja ambalo nimeshangaa sana.
Anasema baada ya shauri la mirathi kuisha alipewa barua inayomtambulisha kua msimamizi ili akafatilie pesa na mambo mengine
Mumewe alikuwa ni mfanyakazi wa umoja wa mataifa UN.
Alianza na benki aliokuwa anachukulia mshahara mumewe.
Alivyofika baada ya kuwaonesha document walimwambia angoje kidogo wafanyie kazi.
Baada ya muda kidogo wakamuita na kumpa bank statement ambayo alitakiwa apeleke Mahakamani
Bank statement ilionesha account ilikuwa na laki moja na sent kiasi
Akaondoka mpaka Mahakamani na kukabidhi bank statement kwa karani
Anasema karani hakuwa na imani na kiasi cha pesa kilichopo kwenye account ya marehemu kwa sababu document zilionesha alikuwa analipwa milioni 2 kwa mwezi
Karani wa mahakama ikabidi apige simu benki na kuhoji maswali kadhaa kuhusu utata huo
Benki walimjibu kwamba walikosea na kwamba taarifa sahihi account ina milioni mbili na point
Inavyoonekana huu mchezo benki wanaucheza sana.
Fikiria wangapi wamedhulumiwa kwa mtindo kama huu
[emoji35]
Yes wale manyoka ( teller) usifikiri wanajifanyia tuu huu wizi...hii ni deal
Bank staffs wana njaa sana waone hivi hivi tu, labda loan officer ndo angalau
Wakiona huu uzi Mama atalipwa in fullHabari zenu ndugu zangu
Naomba kushea na nyie jambo hili
Leo nilikuwa Mahakamani kwa ajili ya shughuli zangu nikakutana na mama mmoja anafuatilia mirathi ya mumewe. Katika mazungumzo yetu akanidokeza jambo moja ambalo nimeshangaa sana.
Anasema baada ya shauri la mirathi kuisha alipewa barua inayomtambulisha kua msimamizi ili akafatilie pesa na mambo mengine
Mumewe alikuwa ni mfanyakazi wa umoja wa mataifa UN.
Alianza na benki aliokuwa anachukulia mshahara mumewe.
Alivyofika baada ya kuwaonesha document walimwambia angoje kidogo wafanyie kazi.
Baada ya muda kidogo wakamuita na kumpa bank statement ambayo alitakiwa apeleke Mahakamani
Bank statement ilionesha account ilikuwa na laki moja na sent kiasi
Akaondoka mpaka Mahakamani na kukabidhi bank statement kwa karani
Anasema karani hakuwa na imani na kiasi cha pesa kilichopo kwenye account ya marehemu kwa sababu document zilionesha alikuwa analipwa milioni 2 kwa mwezi
Karani wa mahakama ikabidi apige simu benki na kuhoji maswali kadhaa kuhusu utata huo
Benki walimjibu kwamba walikosea na kwamba taarifa sahihi account ina milioni mbili na point
Inavyoonekana huu mchezo benki wanaucheza sana.
Fikiria wangapi wamedhulumiwa kwa mtindo kama huu
😡
Benk statement imekosewa? sema Pia mkuu ungetusaidia kujua hata jina la hiyo benk na hiyo account namba tuifanyie utafiti,hapa kuna harufu ya zulumaHabari zenu ndugu zangu
Naomba kushea na nyie jambo hili
Leo nilikuwa Mahakamani kwa ajili ya shughuli zangu nikakutana na mama mmoja anafuatilia mirathi ya mumewe. Katika mazungumzo yetu akanidokeza jambo moja ambalo nimeshangaa sana.
Anasema baada ya shauri la mirathi kuisha alipewa barua inayomtambulisha kua msimamizi ili akafatilie pesa na mambo mengine
Mumewe alikuwa ni mfanyakazi wa umoja wa mataifa UN.
Alianza na benki aliokuwa anachukulia mshahara mumewe.
Alivyofika baada ya kuwaonesha document walimwambia angoje kidogo wafanyie kazi.
Baada ya muda kidogo wakamuita na kumpa bank statement ambayo alitakiwa apeleke Mahakamani
Bank statement ilionesha account ilikuwa na laki moja na sent kiasi
Akaondoka mpaka Mahakamani na kukabidhi bank statement kwa karani
Anasema karani hakuwa na imani na kiasi cha pesa kilichopo kwenye account ya marehemu kwa sababu document zilionesha alikuwa analipwa milioni 2 kwa mwezi
Karani wa mahakama ikabidi apige simu benki na kuhoji maswali kadhaa kuhusu utata huo
Benki walimjibu kwamba walikosea na kwamba taarifa sahihi account ina milioni mbili na point
Inavyoonekana huu mchezo benki wanaucheza sana.
Fikiria wangapi wamedhulumiwa kwa mtindo kama huu
😡
mkuu acha kugeneralize eti kila mtu mwizi....watu wengine ni waaminifu kwa asilimia zote. Hata kama wapo kumi nchi nzima sio jambo la busara kuwsingiza wote kwenye genge lenu la ujambaziMkuu si unapotezea tu kwani na wewe huibi katika nafasi yako? Huko ofisini hupigi panga? Kila mtu bongo ni mwizi katika nafasi yake. Ukiibiwa potezea tu. Cha kufariji huyo aliyekuubia naye atalizwa na aliyemliza naye atalizwa karma ipo kwa iyo usijali songa mbele
We jamaa mbona unatetea ujinga? Au upo bank?Mkuu si unapotezea tu kwani na wewe huibi katika nafasi yako? Huko ofisini hupigi panga? Kila mtu bongo ni mwizi katika nafasi yake. Ukiibiwa potezea tu. Cha kufariji huyo aliyekuubia naye atalizwa na aliyemliza naye atalizwa karma ipo kwa iyo usijali songa mbele
People are easy at judging anaweza alikuwa ni mfanya usafi pale ama hata secretary basi mtu anakimbilia kuhukumuUnajua alikuwa anafanya kazi gani UN?