Mchezo mchafu unaofanywa na benki kuwapora wateja pesa zao

Mchezo mchafu unaofanywa na benki kuwapora wateja pesa zao

Hivi wadau naomba kujua, inawezekana kupata bank statement ya akaunti ya marehemu mara baada ya mahakama kukupatia barua ya kufunga mirathi?
 
Mimi ilinitokea, nilipekeka 300,000/= kwenye a/c yangu, iligongwa mihuri yote na sahihi ya mpokeaji( huyo dada namfahamu kwa sura, kwa kua nina mazoea ya kwenda hiyo bank. Cha ajabu siku nakwenda ku withdraw pesaATM inanimbi insufficient fund, nikaangalia bal nikakuta wameniwekea 30,000/ nilifuatilia kwa branch manager, yule dada aliitwa (aliyezipokea) nikaambiwa baada ya nusu saa niangalie bal nitakuta imerekebishwa, na kweli ikawa hivyo. Wizi upo sana kwenye bank
Haujajiunga na huduma ya notification kwenye simu yako?
 
Huna pesa ya kuibiwa ndugu, we ni wa kawaida mama sisi wengine. Walivyo wezi hao jamaa
Hela ipo ndugu yangu...milioni 50+ si haba wangekuwa wameshadokoa!


Kingine mimi napoishi na Nmb bank ni pua na mdomo, a lot of staffs mlee nimesoma nao, wanajua home n.k....nadhani hii ni sababu tosha

Si kwa kufunguka huku[emoji848]
 
Mkuu nashukuru kwa kunielewa,mimi nilibahatika kufanya kazi benki kidogo ila sikukaa front dest/kirishani najua sana operations za benki behind zinafanyikaje..Kable ya hapo nikiwa chuoni/mtaani niliamini kabisa benki wanaiba pesa kama watu wengi wanavyoamini hapa,ila baada ya kupata uzoefu kidogo nimegundua hakuna hata senti ya mteja ianweza potea benki kwa makusudi,labda iwe ni fraud na ikiwa hivyo mteja hatoathirika.
Kuna changamoto za ndani ya benki ambazo wateja wengi hawazijui(Kiuhalisia hawapaswi kujua sababu haiwahusu),lakini kusema tu generally kwamba benki ni wezi wanaiba sio sawa hata kidogo,.
Bank Teller hawezi kuiba pesa kiasi ambacho anajua kabisa mshahara wake hauwezi kulipa iwapo mteja akija kudai,ndio maana unakuta wale sio waaminifu wanaiba elfu 10,20,30 au akizidi sana 50.Teller hawezi iba eti laki1,2,2,5 au 1M.Sabau anajua hiyo amount ni kubwa ni lazima ajulikane na pia lazima mteja aje kudai,na itapelekea hadi yeye kufukuzwa kazi.Kinachotokea ni makosa ya kibinaadamu tu,ila mteja sababu hajui anasema benki ni wezi (Ofcouse ni haki yao kulalamika sababu poesa ni zao).
Pia wanashundwa kujua kwamba hayo makosa yanatokea kote kote,..Kuna mteja alishwahi zidishiwa pesa akawekewa 5M badala ya laki 5,sababu alipata msg alienda branch nyingine faster akatoa 3M,yule teller alifukuzwa kazi kwa uzembe,haya makosa yanatokea pande zote ila wateja sababu ni wengi basi wakilalamika inaonekana benki ni wezi kumbe ni makosa ya kibinadamu tu.
Mkuu hata Mimi nilisha wahi kuwa mfanyakazi wa bank,unachosema ni sahihi katika mambo ya posting ya pesa.
Ni kweli Bank haifanyi makosa,makosa wanafanya wafanya kazi lakini unaanzanje kutofautisha Bank na wafanyakazi??.
Ukiangalia makosa mengi yanafanya na CRDB au NMB mbona Bank zingine hata matukio sio sana,obviously tunaweza tukasema sababu wao ndio wanawataja wengi lakini ukweli ni kuwa Bank hizo management ni mbovu sana tena kupindukia.

Tena mie naona NMB wanajitahidi kwa kuwa wanafanya sana biashara na Serikali,na ni sehemu ya Serikali lakini hao CRDB ni takataka kabisa.
 
Mkuu si unapotezea tu kwani na wewe huibi katika nafasi yako? Huko ofisini hupigi panga? Kila mtu bongo ni mwizi katika nafasi yake. Ukiibiwa potezea tu. Cha kufariji huyo aliyekuubia naye atalizwa na aliyemliza naye atalizwa karma ipo kwa iyo usijali songa mbele
kumbe watu wa benki mpo humu
 
Hawa NMB nikipata muda nitaenda na slip zangu tupige hesabu polepole bila kupigizana kelele. pesa niliyoweka na kutoa haziendani kuna gap la hamsini na kitu

Sasa nimeshapata mwangaza nilijua nimejichanganya kumbe mmenichanganya sasa mtajua hamjui
Nashauri kabla hujaenda kupiga nao hesabu,itabidi kwanza ujue gharama za makato kwa kila muamala uliofanya na pia makato mengine ya benki ie service charge (kama yapo).Maana kutoa pesa sio bure,kuna makato iwe umetumia ATM au umechukulia dirishani,utakatwa.
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Wacha pesa ikutetee mbona unaongea wewe sasa.
Hela ipo ndugu yangu...milioni 50+ si haba wangekuwa wameshadokoa!


Kingine mimi napoishi na Nmb bank ni pua na mdomo, a lot of staffs mlee nimesoma nao, wanajua home n.k....nadhani hii ni sababu tosha

Si kwa kufunguka huku[emoji848]
 
Alafu unamkuta mtu ajiita msomi kumbe mwizi jambazi kama majambazi wengine na wezi wa kuku tu
 
Ivi bank ukichukua pesa bila kuhesabu baadae unagundua kuna kiasi hamna ni sahihi kurudi na kudai
Maana sio kwa kuekeana mzigo wa noti wa 5000 alaf ubaki uhakikishe palepale kwenye kidirisha nyuma watu wanakukodolea mimacho
Siku wakinizingua nitawazingua
 
Jambo kama Hilo limenitokea NMB hivi majuzi

Mwezi wa nne mwaka huu niliangalia salio nikakuta Nina akiba Kama ya 200k, na ushee

Mwezi huu wa tano mwanzoni kabisa nilienda kuchomoa mpunga kutoa 190k ikagoma salio halitoshi, nikajaribu 180k nikaambiwa pia salio halitoshi, nikajaribu 175k pia nikaambiwa salio halitoshi, daaa ndio nikajaribu 170k ndio ikafanikiwa kutoka


Sasa nikajiuliza iweje uwe na salio la 200k halafu hutoe 175k muamala usifanikiwe?


Ina maana kuna kiasi kingine Cha fedha kimepungua kwenye salio la mwanzo bila Mimi mteja kutambua

Tuweni makini kuna mfumo wa upigaji kwenye haya mabenki.
Pole sana mkuu, ninakushauri uende bank uwaambie wakupe bank statement ya miezi miwili April na May, ukiona kilichoandikwa ni tofauti na transaction ulizofanya nenda umuone manager wa bank.
 
Habari zenu ndugu zangu
Naomba kushea na nyie jambo hili

Leo nilikuwa Mahakamani kwa ajili ya shughuli zangu nikakutana na mama mmoja anafuatilia mirathi ya mumewe. Katika mazungumzo yetu akanidokeza jambo moja ambalo nimeshangaa sana.

Anasema baada ya shauri la mirathi kuisha alipewa barua inayomtambulisha kua msimamizi ili akafatilie pesa na mambo mengine

Mumewe alikuwa ni mfanyakazi wa umoja wa mataifa UN.

Alianza na benki aliokuwa anachukulia mshahara mumewe.

Alivyofika baada ya kuwaonesha document walimwambia angoje kidogo wafanyie kazi.

Baada ya muda kidogo wakamuita na kumpa bank statement ambayo alitakiwa apeleke Mahakamani

Bank statement ilionesha account ilikuwa na laki moja na sent kiasi
Akaondoka mpaka Mahakamani na kukabidhi bank statement kwa karani
Anasema karani hakuwa na imani na kiasi cha pesa kilichopo kwenye account ya marehemu kwa sababu document zilionesha alikuwa analipwa milioni 2 kwa mwezi

Karani wa mahakama ikabidi apige simu benki na kuhoji maswali kadhaa kuhusu utata huo
Benki walimjibu kwamba walikosea na kwamba taarifa sahihi account ina milioni mbili na point

Inavyoonekana huu mchezo benki wanaucheza sana.

Fikiria wangapi wamedhulumiwa kwa mtindo kama huu
[emoji35]
Mkuu, kama huyo mama alikushirikisha jina la hiyo benki, kwanini usiweke wazi ili iwasaidie na wengine?
 
Habari zenu ndugu zangu
Naomba kushea na nyie jambo hili

Leo nilikuwa Mahakamani kwa ajili ya shughuli zangu nikakutana na mama mmoja anafuatilia mirathi ya mumewe. Katika mazungumzo yetu akanidokeza jambo moja ambalo nimeshangaa sana.

Anasema baada ya shauri la mirathi kuisha alipewa barua inayomtambulisha kua msimamizi ili akafatilie pesa na mambo mengine

Mumewe alikuwa ni mfanyakazi wa umoja wa mataifa UN.

Alianza na benki aliokuwa anachukulia mshahara mumewe.

Alivyofika baada ya kuwaonesha document walimwambia angoje kidogo wafanyie kazi.

Baada ya muda kidogo wakamuita na kumpa bank statement ambayo alitakiwa apeleke Mahakamani

Bank statement ilionesha account ilikuwa na laki moja na sent kiasi
Akaondoka mpaka Mahakamani na kukabidhi bank statement kwa karani
Anasema karani hakuwa na imani na kiasi cha pesa kilichopo kwenye account ya marehemu kwa sababu document zilionesha alikuwa analipwa milioni 2 kwa mwezi

Karani wa mahakama ikabidi apige simu benki na kuhoji maswali kadhaa kuhusu utata huo
Benki walimjibu kwamba walikosea na kwamba taarifa sahihi account ina milioni mbili na point

Inavyoonekana huu mchezo benki wanaucheza sana.

Fikiria wangapi wamedhulumiwa kwa mtindo kama huu
😡
nyie kumbe kuna upigaji kila kona
 
Mimi ilinitokea, nilipekeka 300,000/= kwenye a/c yangu, iligongwa mihuri yote na sahihi ya mpokeaji( huyo dada namfahamu kwa sura, kwa kua nina mazoea ya kwenda hiyo bank. Cha ajabu siku nakwenda ku withdraw pesaATM inanimbi insufficient fund, nikaangalia bal nikakuta wameniwekea 30,000/ nilifuatilia kwa branch manager, yule dada aliitwa (aliyezipokea) nikaambiwa baada ya nusu saa niangalie bal nitakuta imerekebishwa, na kweli ikawa hivyo. Wizi upo sana kwenye bank

Ulikagua deposit slip?
 
Mi niko Nmb...mwaka wa nne huu

Ukweli kabisa kwangu hawana shida, au kwa kuwa mi bandiduu?[emoji848]
Kama uko kiwango cha Chap Chap account huwez kukutana na changamoto ..hzo ...Sisi tunao fanya deposit ya above 5m na kuendelea... Huko ndo wakudiscuss hapa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mie pia nahisi niliwahi kupigwa hapo bank! Maana kuna kipindi niliweka mahali mzigo nikawa na draw bila kufuatilia ila nikashangaa ile hela imeisha kwa muda mfupi sana! Nilikuwa natolea hela dirishani sababu kadi ilikuwa ime expire
Kutolea hela dirishan kwa Nmb n 6000 service charges ..so you can imagine miamala uliokua unaitoa ....
 
Wanakula wote wampe adhabu ya nini! Juzi nimeenda kununua tu dawa pharmacy kubwa kabisa nikaambiwa bei kabisa naenda kulipia kwa cashier eti hataki kurudisha change, namuuliza change yangu eti kwani umeambiwa sh ngapi! Ndiyo kakanirudishia halafu ni kamdada, wanawake siku hizi nao wamekuwa majizi sana.

Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Dah nchi imeoza hii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
NMB ndio utapigwa utachakaa...Hio tabia almost watu wanaolalamikia humu 80% wamefanyiwa uhuni NMB
Nmb labda ufungue bonus account ambayo kwa mwaka utatoa pesa mara nne ...hii ndo hawawez kukuibia
 
Back
Top Bottom