Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
🤣🤣🤣Ila Tanzania tulikuwa na propaganda Mara tunaongoza kwa Vita ya chini Duniani!?
Mara sisi Ni wa pili Duniani kwa intelligensia. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Enzi za Mwl it was funny.
utakuwa mnyarwanda wewe, ni wabaguzi sana hao watuRwanda wako vizuri Sana, na Kuna siku wataiteka nchi hii na kuitawala
Magaidi wamesha ukimbia muji wa afungi kwa sasa! Hari iko shwari,soon raia watarudi kwenye makazi yao. SADC bado wana panga mabegi kwenda ku saidia mwanachama.
View attachment 1884673
View attachment 1884674
View attachment 1884675
View attachment 1884676
View attachment 1884677
View attachment 1884678
View attachment 1884679
View attachment 1884680
View attachment 1884681
View attachment 1884682
View attachment 1884684
View attachment 1884685
Daaa mwamba unachamba kinomIla wanajeshi wa kiafrika hawana stamina...vimekondeana mpaka mishipa inaonekana.......hongera sana kama wamefanikisha, kwahiyo wazungu mipango yao imekufa!
Vitalu vya Gas vya wafaransa wamewatuma lakini pia wako close na Mossad ambao always wako aware na islamic millitants ukitaka msaada wao wanakupa tuZitto Jrgeopolitical interests za Rwanda huku Cabo Delgado ni zipi na uwepo wa Rwanda una athari gani kwa usalama wa Tanzania katika ukanda huu ?
Naskia wajeshi wa rwanda wamechapika, kumbe wanamgambo hawakuishaMagaidi wamesha ukimbia muji wa afungi kwa sasa! Hari iko shwari,soon raia watarudi kwenye makazi yao. SADC bado wana panga mabegi kwenda ku saidia mwanachama.
View attachment 1884673
View attachment 1884674
View attachment 1884675
View attachment 1884676
View attachment 1884677
View attachment 1884678
View attachment 1884679
View attachment 1884680
View attachment 1884681
View attachment 1884682
View attachment 1884684
View attachment 1884685
Ngojea kwanza wayaone wanafikiri islamic militia sawa na ethnic militia wa Mashariki ya Congo.Wawaulize wenzao Wakenya , Warundi, Waganda huko SomaliaNaskia wajeshi wa rwanda wamechapika, kumbe wanamgambo hawakuisha
endeleen kufanya zuluma dhidi ya uislamu na waislamu, Allah atawalipeni.Kwa hiyo hawa washenzi muda huu washapewa warembo wao bikra huko mbinguni[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1889281
Allah huyu huyu anayewaogopa wayahudi /Israel?endeleen kufanya zuluma dhidi ya uislamu na waislamu, Allah atawalipeni.
imeeandikwa:, makafiri hawatokuwa radhi hadi mfuate mika zao.
Kwan ww unamjua Allah?Allah huyu huyu anayewaogopa wayahudi /Israel?
Safi sana jeshi la Rwanda na GuineaMagaidi wamesha ukimbia muji wa afungi kwa sasa! Hari iko shwari,soon raia watarudi kwenye makazi yao. SADC bado wana panga mabegi kwenda ku saidia mwanachama.
View attachment 1884673
View attachment 1884674
View attachment 1884675
View attachment 1884676
View attachment 1884677
View attachment 1884678
View attachment 1884679
View attachment 1884680
View attachment 1884681
View attachment 1884682
View attachment 1884684
View attachment 1884685
Wajaze kichwa tu, siku wajichanganye wataona umahiri wa jeshi letu..Rwanda wako kwenye ubora wao in term of military Power... Tuliwachokoza siku moja watatukojoza saana.
Safi sana jeshi la Rwanda na Guinea,uku kwetu jeshi la tozo limenyoosha mikonoMagaidi wamesha ukimbia muji wa afungi kwa sasa! Hari iko shwari,soon raia watarudi kwenye makazi yao. SADC bado wana panga mabegi kwenda ku saidia mwanachama.
View attachment 1884673
View attachment 1884674
View attachment 1884675
View attachment 1884676
View attachment 1884677
View attachment 1884678
View attachment 1884679
View attachment 1884680
View attachment 1884681
View attachment 1884682
View attachment 1884684
View attachment 1884685
Kwenye hili la uzalendo tuko pamoja hawa watu wakijaribu kuweka pua Tanzania ni kwamba rwanda itakuwa mkoa mpya wa TanzaniaEndelea kuota!
Bro ukubwa wa nchi haupimwi kwa nguvu ya kijeshi, kama ukubwa wa nchi unapimwa kwa nguvu ya kijeshi basi nendeni mkaiambie jwtz ikavamie Israel yenye watu kama million 9,kwa logic nyepes muone vile mtakapo chapika, kama kigezo ni ukubwa wa nchi ndio uwezo wa kijeshi bas uingereza isingetawara dunia, kama ukubwa wa nchi ni kigezo cha uimara kijeshi bas China ingeivamia haraka zaid Taiwan....watanzania Tunaishi kwa hisia ndio maana tunaonekana wendawazimu na ovyo kifikraUmeandika kama taahira ndugu yangu, Tz haiwezi kuchokozana na kata kama ya vingunguti, huko ni kujidhalilisha
Jifariji kwa jeshi lenu hata top 10 haripo katika ubora wa Africa ,lilingane na nyinyi ambao mnavifaa duni vya kijeshi, intellegencia mbovu,Kwenye hili la uzalendo tuko pamoja hawa watu wakijaribu kuweka pua Tanzania ni kwamba rwanda itakuwa mkoa mpya wa Tanzania
Acha kuleta itikadi ya dini, na heshimu imani ya mtu, maana imani yako tu umeishindwa kuifata lakin bado unaleta chokochoko kwenye imani za watu, hii ndio shida kwa ngozi nyeusi, kutawala dunia hadi Mungu arudi...Mbona haisaidii Palestina wakati watu billion mbili wote wakimuomba kwa bidii na mashindano aingamize Israeli?
Dogo kata gogo kwanza urudi vizuriJifariji kwa jeshi lenu hata top 10 haripo katika ubora wa Africa ,lilingane na nyinyi ambao mnavifaa duni vya kijeshi, intellegencia mbovu,