Mchezo wa bahati nasibu (mkeka) umenitoa kimaisha

w
eka huo mkeka hapa ..tuuone
 
Kaka usihangaike kutafuta pesa bet mimi napiga hela sana masela you can immagine nimeanza kubet three weeks ago but up to now nina Tsh million 45 nilianza kwa mtaji wa buku tano
Naku pm. Kila mkeka utakao kuwa una bet wewe, utanitumia ili nicopy. Ama vipi mkuu
 
Maskini kuna watu wanapenda mdebwedo ehh. Kazi ipo. Fanya kazi kijana achana na kudanganya wenzio. Inawezekana hata huna ulichopata.
 
Maskini kuna watu wanapenda mdebwedo ehh. Kazi ipo. Fanya kazi kijana achana na kudanganya wenzio. Inawezekana hata huna ulichopata.
Wewe ni Mwanamke mtu wa kuhongwa sitaki kuongea na ww
 
Hivi mtoa mada kupata millioni 7 ndo unajiona umetoka kimaisha???? kweliiiiiii????
 
Kaka usihangaike kutafuta pesa bet mimi napiga hela sana masela you can immagine nimeanza kubet three weeks ago but up to now nina Tsh million 45 nilianza kwa mtaji wa buku tano
Hapa nndo ulipoharibu!
 
Jamani nina ipad mbili za apple Toledo jipya nauza moja tuwasiliane 0762405614
 
Kumbe unapenda kuukalia eeeeeee ni pm nikupe mambo cute B
Nakalia ya baba yako sio wewe unayependa mdebwedo. Baba yako si analima kwa nguvu zake?. Weww nwenzangu siku nyingine utaombwa na wewe kwa kupenda kitonga.
 
Inawezekana huyu mleta post ametumwa na wahindi? kweli mjini shule!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…