Mchezo wa bahati nasibu (mkeka) umenitoa kimaisha

Mchezo wa bahati nasibu (mkeka) umenitoa kimaisha

Wewe bet, then weka mkeka wako hapa jnsi ulvyobet, na matokeo yake baadae tuwekee. Nukta
 
Ni ushawishi mzuri wenye kukutesa kihisia, wakati wote wewe utakuwa MTUMWA WA KUBET/MTUMWA WA HAO WAHINDI.

Endapo ni kwel umepata hizo Mil. 7 Usipokuwa mwangalifu, Kwa ulevi wa Kubet hio shekeli zitawarudia hao Wahindi zote.

Hutakuwa na kumbukumbu hata ya Nyama choma wala Uwanja wa 20 kwa 20.

Nakushauri hizo fedha weka kumbukumbu ya Maana kisha Tshs 100, 000/= [LAKI MOJA TU] Zilizobaki hizo ndio uzitumie kwenye ULEVI WA KUBET.
 
Ni ushawishi mzuri wenye kukutesa kihisia, wakati wote wewe utakuwa MTUMWA WA KUBET/MTUMWA WA HAO WAHINDI.

Endapo ni kwel umepata hizo Mil. 7 Usipokuwa mwangalifu, Kwa ulevi wa Kubet hio shekeli zitawarudia hao Wahindi zote.

Hutakuwa na kumbukumbu hata ya Nyama choma wala Uwanja wa 20 kwa 20.

Nakushauri hizo fedha weka kumbukumbu ya Maana kisha Tshs 100, 000/= [LAKI MOJA TU] Zilizobaki hizo ndio uzitumie kwenye ULEVI WA KUBET.
As ante kwa ushauri kaka
 
Jamaa anaambiwa weka mkeka anarukaruka tu. Tupia watu waone km vp lipia tangazo la biashara
 
Back
Top Bottom