Cute B huenda wanao kugegeda wanakuhonga hela za kubet unazozikashifu Ila sawa ukikua utaaacha.Na kwa kupenda huko mteremko utaikalia kama mie. Ila bora mie ni ya mtu anayejituma.
Kwani na dingi yako anabet?. Tobaaaa. Simtaki tena. Achukue time. Poa dogo kaza msuli utafika tu.Cute B huenda wanao kugegeda wanakuhonga hela za kubet unazozikashifu Ila sawa ukikua utaaacha.
Watu kibao wametajirika mm naishi mjini kwa kubet tu sina kazi nyingineHakuna mcheza kamari aliyefanikiwa kimaisha
As ante kwa ushauri kakaNi ushawishi mzuri wenye kukutesa kihisia, wakati wote wewe utakuwa MTUMWA WA KUBET/MTUMWA WA HAO WAHINDI.
Endapo ni kwel umepata hizo Mil. 7 Usipokuwa mwangalifu, Kwa ulevi wa Kubet hio shekeli zitawarudia hao Wahindi zote.
Hutakuwa na kumbukumbu hata ya Nyama choma wala Uwanja wa 20 kwa 20.
Nakushauri hizo fedha weka kumbukumbu ya Maana kisha Tshs 100, 000/= [LAKI MOJA TU] Zilizobaki hizo ndio uzitumie kwenye ULEVI WA KUBET.
Cute B usione mwaneume barabarani mpaka kuna watu wanafanya kazi kubwa but wanabetKwani na dingi yako anabet?. Tobaaaa. Simtaki tena. Achukue time. Poa dogo kaza msuli utafika tu.
Poa wakuuu ntawawekwa msijariWewe bet, then weka mkeka wako hapa jnsi ulvyobet, na matokeo yake baadae tuwekee. Nukta
Poa wakuuu ntawawekwa msijariWewe bet, then weka mkeka wako hapa jnsi ulvyobet, na matokeo yake baadae tuwekee. Nukta
Wewe nae kibokoWewe milioni 45 kwa wiki 3...mbona nimekupita mkuu...mimi nina mil 50 kwa wiki 3 kwa kubet tu
Poa ucjr mkuuukesho ukiweka mkeka upige picha utupie hapa