Na mimi mkuu, Tunaweza kutoka kwa msaada wa jamaa yetu..Naku pm. Kila mkeka utakao kuwa una bet wewe, utanitumia ili nicopy. Ama vipi mkuu
Mkuu, Usibishane nao....Asiyejua maana, Haambiwi maana....Mimi naamini, kwa sababu hata mimi nashindaga...ingawaje ni kiasi kidogo kidogo (30,000/=, 8000/= ,20,000/= etc)Cute B huenda wanao kugegeda wanakuhonga hela za kubet unazozikashifu Ila sawa ukikua utaaacha.
Ucjr mkuuu ni pm ntakusaidiaMkuu, Hongera sana aisee....Mi naomba unitengenezee Mkeka wa Timu za Leo....Timu Tano za Uhakika.
NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU KWA UTAYARI WAKO WA KUSAIDIA VIJANA WENZIO.
Upo mkoa ganiEbu nipe taratibu zikoje, sijawahi beti nataka siku moja nijaribu. Nanunua tiketi au nafanyaje? Na tiketi yenyewe ikoje?
Dar.Upo mkoa gani
Ndugu wanajamvi leo nimebet na nimefanikiwa kushinda Tsh milioni saba laki nane na elfu sitini na tano timu za mapema ambazo hata sizijui ,Ushauri ndugu zangu tubet mpaka tuwafilisi hawa wahindi na wazungu Mimi nimeanza kubet nina wiki ya tatu ninaona hiii biashara inalipa kwa sababu sijapoteza zaidi ya kuongeza Nawasihi sana ambae mtu anawasiwasi na team anipm ntamshauri kuwa timu hiyo itashinda au la kuliko kukaa anacheza puli .Hela zipo vijana achani Kuala.
Nasema tena mwenye uhitaji wa ushauri juuu ya team ambayo itashinda ani pm ntamsaidia tena bureeeee Mimi kila siku kwa taarifa yenu nawala meridian mpaka niliona watanijua Leo nabet Fire ,kesho Tabata,Magomeni nk na sehem zote napiga milioni mbili na zaidi nimeshindwa kuficha siri hiiii.
Karibuni wana JF wenzangu msife njaaa kaka yenu wakuwashauri nipo.
Aksanteeee cheers to bet.
mkuu hongera sana. unaweza kuweka hapa huo mkeka tuuone ili utuhamasishe?Ndugu wanajamvi leo nimebet na nimefanikiwa kushinda Tsh milioni saba laki nane na elfu sitini na tano timu za mapema ambazo hata sizijui ,Ushauri ndugu zangu tubet mpaka tuwafilisi hawa wahindi na wazungu Mimi nimeanza kubet nina wiki ya tatu ninaona hiii biashara inalipa kwa sababu sijapoteza zaidi ya kuongeza Nawasihi sana ambae mtu anawasiwasi na team anipm ntamshauri kuwa timu hiyo itashinda au la kuliko kukaa anacheza puli .Hela zipo vijana achani Kuala.
Nasema tena mwenye uhitaji wa ushauri juuu ya team ambayo itashinda ani pm ntamsaidia tena bureeeee Mimi kila siku kwa taarifa yenu nawala meridian mpaka niliona watanijua Leo nabet Fire ,kesho Tabata,Magomeni nk na sehem zote napiga milioni mbili na zaidi nimeshindwa kuficha siri hiiii.
Karibuni wana JF wenzangu msife njaaa kaka yenu wakuwashauri nipo.
Aksanteeee cheers to bet.
mkuu leo nawapa ushindi benfica, spurs na braga. niondoe timu ipi hapa nipige hela mkuu?Mkuuu suala nikuniomba ushauri timu gani unaona zitashinda mimi ntakushauri zipi ondoa zipi weka na hakika utafanikiwa na utakuja kutoa ushuhuda Hapa.
Bob ni online au kwa muhindi?Mkuu hata mimi j mosi nilipiga milioni 12 najenga sasa hivi
Asee me niinbox za leo tule wote mpunga huoMkuuu suala nikuniomba ushauri timu gani unaona zitashinda mimi ntakushauri zipi ondoa zipi weka na hakika utafanikiwa na utakuja kutoa ushuhuda Hapa
Kesho ya jana si no leo??Mara ya nne napiga mpunga za mhindi