Scars
JF-Expert Member
- Apr 8, 2017
- 48,055
- 116,512
Anazeeka vibaya huyo Mzee
Na huyo mtangazaji anamuuliza Mzee maswali kwa mtindo wa kumpa majibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anazeeka vibaya huyo Mzee
Si ndio icon yenu makolo hii, saa hizi unaisema inazeeka vibaya tena. Haya mkuu.Anazeeka vibaya huyo Mzee
Na huyo mtangazaji anamuuliza Mzee maswali kwa mtindo wa kumpa majibu.
Aina ya viongozi mliokua nao wanavyowaingiza chaka,Yanga hii ya GSM imtake mchezaji hlf madunduka wamuibe 😀Simba kufungwa mara nyingi sikatai
Ila mara nyingi kwa idadi ngapi ndio hoja
Tunafahamu nyie ni watu wa kutengeneza takwimu hewa
View attachment 2736802
Hongereni,mngefikisha 5 ingekuwa poa sana
Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!GENTAMYCINE Alishaongelea hili.
Mashabiki wa Simba ni wasahaulifu sana. Ingekuwa hiyo mechi wamecheza Yanga, wangekuja na maneno ya shombo kweli kweli. Ila kwa sababu imecheza timu yao, wanajifanya kusifia.Makolo wanapita mle mle now walipokua wakiibeza Yanga ikicheza na kina friends ranger,trans camp,jku n.k 😀😀
Upewe mauwa yako, hili ulituambia mapema.Mimi ndiyo GENTAMYCINE The King!!!!
We unavyodhani rage alikosea kuwapa lile jina 😀Mashabiki wa Simba ni wasahaulifu sana. Ingekuwa hiyo mechi wamecheza Yanga, wanhekuja na maneno ya shombo kweli kweli. Ila kwa sababu imecheza timu yao, wanajifanya kusifia.
Kwan ww ndiye UNAMLIPA? Huo ni UMALAYAYaani hadi friend game mchezaji tegemeo anacheza dakik 90 vipi akiumia??
Watoto wa 2000 wanataka kuifuta hustoria kwa nguvu na kutengeneza ya kwao.
Kakosea wapi sasa? Au hujui Mahmoud Bin Zuberi ni simba lialia? Ila kwa vile ni mhenga hawezi kupingana na matukio ambayo kayashuhudia kwa macho yake?Anazeeka vibaya huyo Mzee
Na huyo mtangazaji anamuuliza Mzee maswali kwa mtindo wa kumpa majibu.
Kwanini umechagua mfano wa Mayele na sio Kibu?Kakosea wapi sasa? Au hujui Mahmoud Bin Zuberi ni simba lialia? Ila kwa vile ni mhenga hawezi kupingana na matukio ambayo kayashuhudia kwa macho yake?
Hivi mfano ww utakuja kukataa tukio la mayele kupiga goli mbili peke yake mchezo wa ngao ya jamii?
Vyovyote vile hata ile ya simba 4-1 yanga, ni ngumu sana kwa mtu aliyeshuhudia lile tukio kukataa hata iwe miaka 100 mbele. Ni vitoto tu vitaibuka na kukataa historia hiyo.Kwanini umechagua mfano wa Mayele na sio Kibu?
Unajua utofauti wa miaka ya saizi na miaka ya nyuma unatenganishwa na mstari m maendeleo ya kidigitali.Vyovyote vile hata ile ya simba 4-1 yanga, ni ngumu sana kwa mtu aliyeshuhudia lile tukio kukataa hata iwe miaka 100 mbele. Ni vitoto tu vitaibuka na kukataa historia hiyo.
Watu wanapinga historia kwa utashi wao wenyewe wenye mlengo wa kishabiki.Unajua utofauti wa miaka ya saizi na miaka ya nyuma unatenganishwa na mstari m maendeleo ya kidigitali.
Kizazi cha miaka ya baadaye itakuwa ni ngumu kupinga rekodi za miaka hii kwasababu rekodi haitamtegemea kumbukumbu za mtu wa miaka hii aje asimulie, wakati anaweza kuingia mtandaoni akashuhudia mechi yote.
Unafikiri kwanini Zakazakazi aliibua mjadala kuhusu wasiwasi wa uhalisia wa ubingwa wa Simba na Yanga?
Aliweka na hoja kuonesha watu wamekuwa wakiamini historia ambayo haipo, wapo waliojitokeza kum challenge lakini aliwapa majibu ambayo nao walikuwa hawayajui.
Unafikiri kwanini Yanga walibisha kuwa Simba haijawahi kufika fainali ya michuano ya CAF??
Katika rekodi za Yanga na Simba kuna rekodi yeyote unayoijua ya Yanga kumfunga Simba goli 9 bila?
Zakazakazi alikuwa na hoja, alitoa sababu kwanini watu wamekuwa wakiamini ndivyo sivyoWatu wanapinga historia kwa utashi wao wenyewe wenye mlengo wa kishabiki.
Historia ya Simba na Yanga imebaki tu vichwani mwa watu esp walioshuhudia na wengine kusimuliwa ukiachana na historia za hivi karibuni kipindi cha kidigitali.
Kuna matukio mengi sana ya simba na Yanga ambayo yamesahaulika either maksudi kwa kupotoshwa au kutowekwa kwenye rekodi au rekodi kutoweka.
Ni imani yangu kua hata hiyo rekodi ya CAF ya simba wanaipinga kishabiki tu hata kama mashindano hayo yamepitia mabadiliko mbalimbali.
Zakazakazi nae anapinga rekodi za simba na Yanga kishabiki tu ukizingatia kuwa mashindano hayo yamekua yakibadilishwa majina mwaka hadi mwaka.
Katika rekodi za Yanga na Simba kuna rekodi yeyote unayoijua ya Yanga kumfunga Simba goli 9 bila?
Nakuuliza, unakubaliana na hii rekodi?View attachment 2738975Hivi hapa goli 9 alipigwa nani, simba au yanga?
Tunakubaliana vipi ndugu ilihali hatukuwepo, historia yyte yenye vyanzo zaidi ya kimoja huenda ina kitu.Nakuuliza, unakubaliana na hii rekodi?