Mchimbaji aula kwa kupata mawe ya Tanzanite ya thamani ya Tsh. Bilioni 7.8

Hapo wanamng'angania mikodi kibao 2+B LAZIMA ZIPOTELEE WA MAMLAKA MBALIMBALI NA WAPIGAJI
 
Hizo ni story kua kawe bilionea,wakti hizo pesa kashika zaidi ya hizo miaka 7 imepita..laizer ni billionea kitambo pia hiyo pesa anabaki na nusu mana kuna mdhamini aliekua anahudumia anachukua chake
 
Hizo ni story kua kawe bilionea,wakti hizo pesa kashika zaidi ya hizo miaka 7 imepita..laizer ni billionea kitambo pia hiyo pesa anabaki na nusu mana kuna mdhamini aliekua anahudumia anachukua chake
Afadhali mkuu umeweka historia sawa.
Mtu anamiliki mgodi toka kitambo halafu wanasema amekuwa bilionea sasa hivi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…