Mchimbaji aula kwa kupata mawe ya Tanzanite ya thamani ya Tsh. Bilioni 7.8

Mchimbaji aula kwa kupata mawe ya Tanzanite ya thamani ya Tsh. Bilioni 7.8

Watu huko Washapiga sana hizo huko
Sema kwa Utaratibu wa serikali Sahv wanakutangaza...
Syo mtu anakuambia mm bilionea sjui kwa siku natumia mln 2 blh Blh nyingi....

Ova
 
Kunyaland mnapoambiwa Tanzania ndio isha-TEKKoFF mnaona ni utani.

Anyway povu linaruhusiwa
Screenshot_20200624-123502_WhatsApp.jpg
IMG-20200624-WA0057.jpg
IMG-20200624-WA0058.jpg
IMG-20200624-WA0056.jpg


Sent from my SM-A520F using JamiiForums mobile app
 
Kwa uzito wa mawe hayo kulipwa 7.7 Billion bado kapunjwa kodogo, mi nilitaka kumpa 10 Billion ambapo London stock market wali pledge kunilipa 15 Billion
Hata yule aliyepiga almasi shinyanga angeenda uza Belgium angepata pesa ndefu zaidi...
Any way waridhike na walichopata

Ova
 
Siku ya juzi viunga vya mererani kulishuhudiwa maajabu ambayo hayajatokea kwa miaka 15

Baada ya mchimbaji mdogo anayejulikana kwa jina la Laizer kunyan kuibuka na madini ya Tanzanite yenye uzito wa Kg 15

Kwakuwa njia za kihuni za kutoroshea madini nairobi zimethibitiwa ilibidi BOT iingilie kati na kununua madini hayo kwa thamani ya Bilion 7

Hongera Magufuli uliahidi kuzalisha mabilionea ahadi zako zimeanza kutimia

Hongereni pia wana Arusha kwa kuongeza idadi ya mabilionea
 
Kwa uzito wa mawe hayo kulipwa 7.7 Billion bado kapunjwa kodogo, mi nilitaka kumpa 10 Billion ambapo London stock market wali pledge kunilipa 15 Billion
Kwa nini huendi mnadani umekaa tu mitandaoni. si uwe unaenda sokoni umekaa tu kazi kuangalia internet unategemea vishoka wakuletee? raisi Magufuli alishadhibiti hilo utasubiri sana vishoka walishaondolewa sokoni

sass hivi zile enzi za mtu anakuletea tanzanite gizani uchochoroni mtu anakupa mzigo unamlipa akiondoka unamtumia majambazi yako wanampora pesa ulizomlipa wanakurudishia unabaki na madini na pesa hazipo tena !!!

nenda sokoni kila kitu ni benki na wazi penye ulinzi wa uhakika.
 
Back
Top Bottom